Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Wewe Umeamua tu kuleta Utata Au Labda hio Message ina kuhusu vizuri

Kwani kuwaita Mara Tatu ndio nini yani, ndio justification ya kuzungumzi Wanawake Wote ?

Mimi Sijaoa Niko Single
Kwahiyo watu wasitoe uzoefu wao kwamba ni kusimanga ? Kusimanga wakat hatujuani humu, kusimanga kwako hakuleti Maana

Njoo unitoe basi Mimi uswahili ili ukanifokee vizuri Kwenye Prado lako Masaki
Hana lolote huyo, utoto unamsumbua. Hawa ndio wale kuosha vyombo na kufua geto kwa mwanaume wake anaona kama anamfanyia favor sana. Watu wa kumaindisha vitu vya kijinga. Hekima tu ni 0%
 
Hakuna kitu sipendi kama majibu na kauli za hovyo, nakumbuka kuna siku nikiwa dukani alikuja dada mmoja na mmewe yule dada kwa kauli zake inaonesha tu kamzid mumewe kama sio kipato basi ndio kashampanda kichwani. Kaka wa watu mpole(sijui alikua amenywea kutokana na hali ile ya kufokewa na mkewe). Ivi kweli mwanamke unapata wap nguvu ya kuropoka maneno ya hovyo kwa mumeo/baba watoto wako.
Alimwambia mumewe lione linachagua chagua nguo kama chizi fanya haraka unanichelewesha nna mambo mengi mjini hapa sijui nilitokea wapi nikaolewa na wewe mzubao chagua haraka kama hutaki hela yangu ina matumizi mengi. Ilibidi yule kaka aache kuchagua nguo na wakaondoka. Nilimuonea huruma sana yule jamaa
E bana huyu ni dada yangu mmoja ivi ndio ana tabia hizo. Aisee kampanda mumewe kichwani mpaka aibu tunaona sisi kaka zake. Sijui kamloga? Maana kuna vitu mwanaume mwenzio anaweza kuwa anafanyiwa we ukiangalia hasira zinakupanda vibaya sana!
Kuna siku tupo kwenye harusi watu kibao ndugu, jamaa na marafiki na huyo dada alikuwepo na mume wake. Yaani dada anadiriki kuwaambia watu "huyu ni mwanaume? We unaona kuna mwanaume hapa? Yaani wanaume wakiitwa na huyu atatoka?" Na maneno mengine kama hayo na jamaa anasikia..! Yule jamaa kusema kweli nilishindwa kuelewa ni nini hasa tatizo. Ila sema saa nyingine mwanaume ukiwa mpole sana halafu uwe huna hela aisee utapata tabu sana hapa duniani labda usiwe na mwanamke.
 
Hasa wanawake si ndio?
Kwenye kuitafuta amani wote mpo responsible. Lazma muhakikishe all stressings are out! Vitu ambavyo sio vya lazima muachane navyo concetrate on what works kwa wakati huo na kushirikiana. Mambo ya kuvimbiana ndio yanaua amani katika ndoa nyingi. Ukifanyia jambo zuri mpenzi wako humfanyii favor bali unatekeleza wajibu wako kama patner. First approach towards a happy relationship.
 
E bana huyu ni dada yangu mmoja ivi ndio ana tabia hizo. Aisee kampanda mumewe kichwani mpaka aibu tunaona sisi kaka zake. Sijui kamloga? Maana kuna vitu mwanaume mwenzio anaweza kuwa anafanyiwa we ukiangalia hasira zinakupanda vibaya sana!
Kuna siku tupo kwenye harusi watu kibao ndugu, jamaa na marafiki na huyo dada alikuwepo na mume wake. Yaani dada anadiriki kuwaambia watu "huyu ni mwanaume? We unaona kuna mwanaume hapa? Yaani wanaume wakiitwa na huyu atatoka?" Na maneno mengine kama hayo na jamaa anasikia..! Yule jamaa kusema kweli nilishindwa kuelewa ni nini hasa tatizo. Ila sema saa nyingine mwanaume ukiwa mpole sana halafu uwe huna hela aisee utapata tabu sana hapa duniani labda usiwe na mwanamke.
Aisee mie ni mpole ila muongeaji mzuri na pia siwezi kuvumilia uonevu. Personally, siwezi vumilia kauli ya namna hio nitaingia lawama tu ya kumpasua mtu.

That only happens when a woman decides to put you down na wewe ukaruhusu. Hio haijaanza ghafla but ni series ya vidharau vidogo vidogo ambavyo mke alianza navyo taratibu ila jamaa akavipotezea tu.

Na jamaa huenda labda hana hela, ila siku akizipata akamtolea mbavuni huyo mwanamke ataonekana mshenzi
,,, "ooh wanaume wakipata hela wanaanza kutudharau" ila msingi wa kudharaulika wanaujengaga wao ila anayemaliza ndio huonekana mkosaji.
 
Hawa wanawake wa kujibishana watu wanawapataga wapi? Yaani mimi mwanamke anyanyue mdomo wake kuropoka hata tukiwa wawili tu nitamharibu...na siku akiropoka mbele za watu atanitambua mimi ni mtu wa namna gani nitamharibu vibaya sana!!

Atapokea kipigo cha mbwa mwizi!! hao wanaume wanaofanyiwa hivo labda sio wanaume kamili!! Aiseeh Sijui mnanipata lakini najaribu kutengeneza uhalisia wa nitakachokifanya naona hamtanielewa.Ngoja niishie hapa
Mkuu huo uhalisia nauelewa mimi tu maana utekelezaji wake nishawahi kuufanya mara kadhaa. Muonekano wake unatakiwa uwe kama hiace iliogongwa na scania 😂😂😂 ili adabu ishike mkondo wake.

Mwanamke ananyanyuaje mdomo na kujibu utumbo. Labda afanye hivyo kwenye simu. Ila sio ana kwa ana ntamfumua vibaya mno.
 
ndio mana i dont entertain bullshit, you put them grade A, the moment they open their mouth they drop to the lowest grade. Leo nlikuwa mlimani city jaman kuna wanawake wanajiona gold aisee.... acha kabisaa
Hahah hao si wana Kaole group lakini. Ukiwakuta pande zao wanapigwa na mvua vituoni utawaonea huruma.
 
umeongea jambo la maana sana mkuu bt mi nadhani tatizo kubwa ni malezi, ke walolelewa vizuri wana-behave sana kwa waume zao nadhani mfano wao ni wewe unaekerwa na jambo hili, kwa kua umeongea wewe mwanamke mwenzao natumai watakuelewa uzuri
Malezi is everything mkuu, watoto wa kike waliolelewa na wazazi waliopendana vyema bila migogoro au wenye ukaribu na baba zao zaidi wana upendo
na huruma sana hata wakiwa ndoani.
 
Unapenda kulaumu wanawake wewe sijui unataka ku impress wanaume humu as if wewe ni mwanaume, I always prefer a solution taker kuliko a blame person, coz hapa JF mada za kusema wanawake ndio hupata comments nyingi.
 
Mwanaume akikolea na akikamatwa kwenye ngono kuchomoka sio kazi nyepesi.
Nimeshiriki kusuluhisha ndoa kadhaa (Field kijijini) katika ndoa nyingi/ mahusiano mengi ngono hua inaevolve na kutumiwa na mwanamke kama 'reward system' so kinachotokea mwanamke anakua jeuri na mwanaume anatarajiwa atii sipotii hapati reward.

Hali inaweza kua mbaya kiasi kwamba mwanaume anaweza akawa conditioned katika hii reward system kiasi kwamba anajikuta anatii baadhi ya tabia za partner wake ili tu asi-fall out of favour ya partner wake.

You see a man yupo katika not-so-easy-to-explain situation ukahisi kalogwa no ni hii reward system imemkolea.
 
E bana huyu ni dada yangu mmoja ivi ndio ana tabia hizo. Aisee kampanda mumewe kichwani mpaka aibu tunaona sisi kaka zake. Sijui kamloga? Maana kuna vitu mwanaume mwenzio anaweza kuwa anafanyiwa we ukiangalia hasira zinakupanda vibaya sana!
Kuna siku tupo kwenye harusi watu kibao ndugu, jamaa na marafiki na huyo dada alikuwepo na mume wake. Yaani dada anadiriki kuwaambia watu "huyu ni mwanaume? We unaona kuna mwanaume hapa? Yaani wanaume wakiitwa na huyu atatoka?" Na maneno mengine kama hayo na jamaa anasikia..! Yule jamaa kusema kweli nilishindwa kuelewa ni nini hasa tatizo. Ila sema saa nyingine mwanaume ukiwa mpole sana halafu uwe huna hela aisee utapata tabu sana hapa duniani labda usiwe na mwanamke.

Upole hauna shida na hilo tatizo kuwa mpole adi ushindwe kuusimamia uanaume wako mpaka unakuwa mnyonge ni upumbavu. Me ni mpole lakini kuna mambo siyaruhusu kabisa bora niachane na mwanamke kuliko aanze kunitawala kunishushia heshima. Kuna wanawake wengine wanafanya hayo kwa makusudi baada ya kujua madhaifu ya mwanaume wake na mwanaume kwa hofu ya kumpoteza inamlazimu akae kimya awe mpole tu bila kujua ndio anachochea moto.
Mtu asitumie madhaifu yako kukunyanyasa, upendo wa kweli ni ule unaoona madhaifu yako na bado heshima na mapenzi yanabaki pale pale, ukishaona mtu awezi kuvumilia madhaifu yako ujue hawezi kukupenda na njia pekee ya kumuepuka ni kuachana nae tu maana hata ukijishusha ukawa mpole bado sababu ya kukudharau anayo.
 
Mwanaume kama huna hela confidence inapungua, sasa hawa viumbe wakishalijua hilo atatamani arenew ndoa akuoe yeye
 
Aisee mie ni mpole ila muongeaji mzuri na pia siwezi kuvumilia uonevu. Personally, siwezi vumilia kauli ya namna hio nitaingia lawama tu ya kumpasua mtu.

That only happens when a woman decides to put you down na wewe ukaruhusu. Hio haijaanza ghafla but ni series ya vidharau vidogo vidogo ambavyo mke alianza navyo taratibu ila jamaa akavipotezea tu.

Na jamaa huenda labda hana hela, ila siku akizipata akamtolea mbavuni huyo mwanamke ataonekana mshenzi
,,, "ooh wanaume wakipata hela wanaanza kutudharau" ila msingi wa kudharaulika wanaujengaga wao ila anayemaliza ndio huonekana mkosaji.
Ni kweli mkuu. Ila hata kama huna hela aisee kuna kiwango fulani cha uanaume unatakiwa uki maintain. Kinyume na hapo hawa viumbe watakunyanyasa sana.
 
Mimi ninajua kuwa mwanamke akisimama kwenye nafasi yake amepewa "mamlaka" ya kujenga ndoa yake.
Ukisoma (Mithali 14:1)-
Kila mwanamke aliye na "hekima"hujenga nyumba yake, Bali aliye "mpumbavu" huibomoa kwa mikono yake mwenyewe".
Mara nyingi napenda sana kumkumbusha mwali wangu kwamba "ACHUNGE SANA ULIMI WAKE" kwani maneno yanaweza kuleta uharibifu na maumivu zaidi ya fimbo, kisu, jiwe, bunduki au hata bomu.
Maneno yanaweza kuleta madhara na majeraha ambayo sio rahisi kuyaponya.
Maneno yanaweza kusababisha vifo. Ukisoma katika Mithali 18:21 neno linasema; “Mauti na uzima huwa katika uwezo wa ulimi."
Maneno tunayosema kwa ulimi bila kujali ni mazuri au mabaya, yanachoma. Katika Mithali 12:18 neno linasema; “Kuna anenaye bila kufikiri kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya." Maneno yakinenwa kwa kukurupuka, bila kufikiri hata kama hayakunenwa kwa lengo la kuumiza huchoma kama upanga. Kinyume chake maneno yakinenwa kwa busara na hekima huponya na kutia moyo.
Nakazia mithali 11:22 kama pete ya dhahabu katika pua ya nguruwe kadhalika mwanamke mzuri asiye na akili
 
Back
Top Bottom