Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,152
- 190,689
Hana lolote huyo, utoto unamsumbua. Hawa ndio wale kuosha vyombo na kufua geto kwa mwanaume wake anaona kama anamfanyia favor sana. Watu wa kumaindisha vitu vya kijinga. Hekima tu ni 0%Wewe Umeamua tu kuleta Utata Au Labda hio Message ina kuhusu vizuri
Kwani kuwaita Mara Tatu ndio nini yani, ndio justification ya kuzungumzi Wanawake Wote ?
Mimi Sijaoa Niko Single
Kwahiyo watu wasitoe uzoefu wao kwamba ni kusimanga ? Kusimanga wakat hatujuani humu, kusimanga kwako hakuleti Maana
Njoo unitoe basi Mimi uswahili ili ukanifokee vizuri Kwenye Prado lako Masaki![]()

