Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Hawa wanawake wa kujibishana watu wanawapataga wapi? Yaani mimi mwanamke anyanyue mdomo wake kuropoka hata tukiwa wawili tu nitamharibu...na siku akiropoka mbele za watu atanitambua mimi ni mtu wa namna gani nitamharibu vibaya sana!!

Atapokea kipigo cha mbwa mwizi!! hao wanaume wanaofanyiwa hivo labda sio wanaume kamili!! Aiseeh Sijui mnanipata lakini najaribu kutengeneza uhalisia wa nitakachokifanya naona hamtanielewa.Ngoja niishie hapa
 
Hebu tuambie research yako hao wanawake wa wapi?

MTU alielelewa maisha ya kustaarabika sizani km ataropoka ovyo,,,

Lkn kwakuwa mpango wako ni kuwasema wanawake wote,,, hii kitu nakataaaaaa!!!!!!!

Ila tu ntakushauri toka huko uswahilini uje huku ustaarabuni ubadilishe saikolojia ya akili yako kidogo .
Ndo maana nakupenda..😍
 
Kunywa maji na upumzike ili upunguze maumivu shostito
Angalia PM

Ushapata mume tyr...


Hapo umemjumuisha na Mzazi wako wa like!?


Usirudie kusemea wote.. Tumia baadhi,,,,

BtN sielewi hao waropokaji wanaishi wapi? Au unazungimzia hao wa uswahilini a.k a vigodoro,, kila MTU anapata mwenza kulingana na alivo,,, wewe km ni wa vogodoro utapata vigodoro wenzio, saaasa ukiwa km jirani ukasikia wanaropokeana unatoka baluu kuja kupost huku,, wacha watu maisha hao yaendelee huwezi huo mtaa hama naenda sehemu zilizo staarabika...
 
ndio mana i dont entertain bullshit, you put them grade A, the moment they open their mouth they drop to the lowest grade. Leo nlikuwa mlimani city jaman kuna wanawake wanajiona gold aisee.... acha kabisaa
...Kama wana pesa acha waringe.
 
Hakuna kitu sipendi kama majibu na kauli za hovyo, nakumbuka kuna siku nikiwa dukani alikuja dada mmoja na mmewe yule dada kwa kauli zake inaonesha tu kamzid mumewe kama sio kipato basi ndio kashampanda kichwani. Kaka wa watu mpole(sijui alikua amenywea kutokana na hali ile ya kufokewa na mkewe). Ivi kweli mwanamke unapata wap nguvu ya kuropoka maneno ya hovyo kwa mumeo/baba watoto wako.
Alimwambia mumewe lione linachagua chagua nguo kama chizi fanya haraka unanichelewesha nna mambo mengi mjini hapa sijui nilitokea wapi nikaolewa na wewe mzubao chagua haraka kama hutaki hela yangu ina matumizi mengi. Ilibidi yule kaka aache kuchagua nguo na wakaondoka. Nilimuonea huruma sana yule jamaa
 
Hakuna kitu sipendi kama majibu na kauli za hovyo, nakumbuka kuna siku nikiwa dukani alikuja dada mmoja na mmewe yule dada kwa kauli zake inaonesha tu kamzid mumewe kama sio kipato basi ndio kashampanda kichwani. Kaka wa watu mpole(sijui alikua amenywea kutokana na hali ile ya kufokewa na mkewe). Ivi kweli mwanamke unapata wap nguvu ya kuropoka maneno ya hovyo kwa mumeo/baba watoto wako.
Alimwambia mumewe lione linachagua chagua nguo kama chizi fanya haraka unanichelewesha nna mambo mengi mjini hapa sijui nilitokea wapi nikaolewa na wewe mzubao chagua haraka kama hutaki hela yangu ina matumizi mengi. Ilibidi yule kaka aache kuchagua nguo na wakaondoka. Nilimuonea huruma sana yule jamaa
Dah, inaumiza sana! Unaeza kuta jamaa ni hardworker sema ni introvert na mpole sana kiasi kwamba mke kamzidi ujanja so anampelekesha kama mwanae.

Ila me ningekuwepo hapo ningenunua kesi walahi. Yani kitendo cha kumuuliza tu huyu ni nani wako akajibu ni mume wangu ningemzaba bonge la kofi. Kisha ningempa jamaa nguo free kabisa kama ni cadet na shati au Tshirt na Jeans free off charge! Imeniuma sana dah!
 
Hakuna kitu sipendi kama majibu na kauli za hovyo, nakumbuka kuna siku nikiwa dukani alikuja dada mmoja na mmewe yule dada kwa kauli zake inaonesha tu kamzid mumewe kama sio kipato basi ndio kashampanda kichwani. Kaka wa watu mpole(sijui alikua amenywea kutokana na hali ile ya kufokewa na mkewe). Ivi kweli mwanamke unapata wap nguvu ya kuropoka maneno ya hovyo kwa mumeo/baba watoto wako.
Alimwambia mumewe lione linachagua chagua nguo kama chizi fanya haraka unanichelewesha nna mambo mengi mjini hapa sijui nilitokea wapi nikaolewa na wewe mzubao chagua haraka kama hutaki hela yangu ina matumizi mengi. Ilibidi yule kaka aache kuchagua nguo na wakaondoka. Nilimuonea huruma sana yule jamaa
Wanaume wengine wapumbavu tu.
Usiogope kuanza upyaz, na kuanza upya sio ujinga.
Mwanamke asipokuwa na nidhani hata mzuri kama nini still nitamuacha tu iwe isiwe.
 
Hakuna kitu sipendi kama majibu na kauli za hovyo, nakumbuka kuna siku nikiwa dukani alikuja dada mmoja na mmewe yule dada kwa kauli zake inaonesha tu kamzid mumewe kama sio kipato basi ndio kashampanda kichwani. Kaka wa watu mpole(sijui alikua amenywea kutokana na hali ile ya kufokewa na mkewe). Ivi kweli mwanamke unapata wap nguvu ya kuropoka maneno ya hovyo kwa mumeo/baba watoto wako.
Alimwambia mumewe lione linachagua chagua nguo kama chizi fanya haraka unanichelewesha nna mambo mengi mjini hapa sijui nilitokea wapi nikaolewa na wewe mzubao chagua haraka kama hutaki hela yangu ina matumizi mengi. Ilibidi yule kaka aache kuchagua nguo na wakaondoka. Nilimuonea huruma sana yule jamaa
Mwanamke anayeweza kukudhalilisha mbele ya kadamnasi huyo ni beyond repair. Hafai hata kwa kulumangia. Na hiki kiburi kinachangiwa na wao kumiliki uchumi. Mwanamke akiwa na hela mwanaume is nothing to her japo sio wote ila atmost 80% ya wanawake wakishika pesa wanakuwa rude to men!
 
Kwanini Wewe una mkalipia Bwanako/Mumeo as if unamuendesha ??

Kama humkalipii kwanini umechukia hiyo Message, imekuuma eeeh ?
Mwanamke yeyote ambaye ni controlling na narcissist lazma achukie ujumbe wa namna hio. Lazma abishane tu ndio hao akina me too. Ila mwanamke submissive hawezi shupaza shingo mbele ya mwanaume.
 
Niliwahi kuongea na mdada mmoja kuhusu hii tabia akasema 'ingia ndoani ndio utaelewa' nikaishia kunyamaza. I
Kwamba kuwa ndoani ndio tiketi ya kuanza kutukanana. Hivi kwanini ndoa isiwe sehemu ya kutafutia amani na furaha katika maisha yenu. Why ndoa itazamwe kama mzigo wa miba? People need to change sababu dhamira ya ndoa si kuumizana.
 
Back
Top Bottom