Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Upadri si utashi wa mtu na kazi kama kazi nyingine , ulokole sio ajira kama
Kwenda mbinguni kunahitaji
uelewa basi maprofessor wote na maphd holder wangejaza siti mbinguni . Endelea na maisha yak ya mapambano iwe ya jinsia yako sawa wewe sio wa kwanza . Uzuri sisi wanaume hatutishwagi na wanawake kama nyie zaidi tunajiongeza kwa kuwaheshimu kwani mlituzaa na tumewazalisha
pia , mkitaka mtuweze jizalisheni wenyewe, huko sijui majipa raha kama si midoli basi yupo dume longine linajisaidia.
Sorry mkuu naomba nikukosoe kidogo.

Tunamwabudu MUNGU kwa kiwango kile tunachomuelewa na tunachomjua
Ndiyo maana Ayubu Anasema mjue Sana Mungu .
Huwezi ukamwabudu Mungu kwa kiwango ambacho hujamuelewa..yaani nje ya kiwango unachomuelewa.

Pamoja na kwamba tuna Neema ya Kristo lakini pia tunahitaji maarifa ambayo huwezi kuwa nayo pasi na kuwa na uelewa..ndiyo maana Neno linasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.
 
Sorry mkuu naomba nikukosoe kidogo.

Tunamwabudu MUNGU kwa kiwango kile tunachomuelewa na tunachomjua
Ndiyo maana Ayubu Anasema mjue Sana Mungu .
Huwezi ukamwabudu Mungu kwa kiwango ambacho hujamuelewa..yaani nje ya kiwango unachomuelewa.

Pamoja na kwamba tuna Neema ya Kristo lakini pia tunahitaji maarifa ambayo huwezi kuwa nayo pasi na kuwa na uelewa..ndiyo maana Neno linasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.

Good comment Mkuu,

Kumwelewa Mungu kunaanz na kuamini kama yupo so inaanz imani na imani chanzo chake kusikia neno la Mungu neno la Mungu ambalo
Limo ndani ya bible , siku hizi kuna mahubiri mengi ni maoni ya watu , unakuta mhubiri anahubiri mwanzo mwisho haja court hata mstari mmoja wa bible hapo utamuelewa vp Mungu , ukiisha kuwa mshiriki wa kusikiliz neno la Mungu na kuliganyia kazi kwa
Kuliamini huo ndio ufahamu wa neno la Mungu ninaoujua
Mimi neno la Mungu na likae kwa
Wingi ndani yetu , neno likika kaa unakuwa huru huru kweli kweli ,

Hata utapoenda shiriki ibada popote pale , itakuwia rahisi kuelewa somo
Au maono ya huduma mahali hapo.
 
Good comment Mkuu,

Kumwelewa Mungu kunaanz na kuamini kama yupo so inaanz imani na imani chanzo chake kusikia neno la Mungu neno la Mungu ambalo
Limo ndani ya bible , siku hizi kuna mahubiri mengi ni maoni ya watu , unakuta mhubiri anahubiri mwanzo mwisho haja court hata mstari mmoja wa bible hapo utamuelewa vp Mungu , ukiisha kuwa mshiriki wa kusikiliz neno la Mungu na kuliganyia kazi kwa
Kuliamini huo ndio ufahamu wa neno la Mungu ninaoujua
Mimi neno la Mungu na likae kwa
Wingi ndani yetu , neno likika kaa unakuwa huru huru kweli kweli ,

Hata utapoenda shiriki ibada popote pale , itakuwia rahisi kuelewa somo
Au maono ya huduma mahali hapo.
Wewe pale juu kwenye comment yako umechukulia Kama uelewa si chochote katika Imani.
Sasa nilikuwa nakusahihisha.

Pia jifunze kuheshimu wapakwa mafuta wa Bwana Hata Kama Wewe si wa dehebu hilo...Umeonyesha kumshusha Sana padri wakati kiuhalisia haiko hivyo na Ndiyo maana si kila mtu anaweza kuwa Padre.
Kwahiyo suala la shule ni mojawapo kati ya vitu muhimu Sana katika kumuelewa huyu Mungu na Ndiyo maana Mungu aliachilia huduma ya ualimu(ualimu wa Neno la MUNGU)..though shule(elimu)si kipimo pekee Cha kumjua Mungu .
Hebu kitu Cha kuappreciate just show appreciation.

Ni hayo tu nilitaka kukwambia .
 
Sorry mkuu naomba nikukosoe kidogo.

Tunamwabudu MUNGU kwa kiwango kile tunachomuelewa na tunachomjua
Ndiyo maana Ayubu Anasema mjue Sana Mungu .
Huwezi ukamwabudu Mungu kwa kiwango ambacho hujamuelewa..yaani nje ya kiwango unachomuelewa.

Pamoja na kwamba tuna Neema ya Kristo lakini pia tunahitaji maarifa ambayo huwezi kuwa nayo pasi na kuwa na uelewa..ndiyo maana Neno linasema watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa.

Saint Anne ;

Nikuongozee na andiko hili hata kwa faida hasa ya hasa wakaidi wapelekeshwao niite kileo na uchumi wa kati’

2 Timotheo 3:1-5
“.. Lakini ufahamu neno hili , ya kuwa siku A mwisho kutakuwako nyakati za hatari . Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe wenye kupenda fedha wenue kujisifu , wenye kiburi , wenye kutukana, wasiotii wazazi wao , wasio na shukrani , wasio safi , wasiopenda wa kwao , wasio taka kufanya suluhu, , wasingiziaji , wasiojizuia , wasingiziaji, wakali , wasiopenda mema , wasaliti , wakaidi , wenye kujivuna , wapendao anasa , kuliko kumpenda Mungu , wenye mfano wa utauwa lakini wakikana nguvu zake , hao nao jiepuashe nao .” Unawez endelea mstari 6-17.

Namshukuru Mungu amenitoa kwenye mafundisho mepesi kama
Maziwa na kujifunza ufahamu wa chakula kigumu cha kumjua Mungu na kusudi la mimi kuja duniani niepuke nn nichukue nitende vp .
 
Saint Anne ;

Nikuongozee na andiko hili hata kwa faida hasa ya hasa wakaidi wapelekeshwao niite kileo na uchumi wa kati’

2 Timotheo 3:1-5
“.. Lakini ufahamu neno hili , ya kuwa siku A mwisho kutakuwako nyakati za hatari . Maana watu watakuwa wenye kujipenda wenyewe wenye kupenda fedha wenue kujisifu , wenye kiburi , wenye kutukana, wasiotii wazazi wao , wasio na shukrani , wasio safi , wasiopenda wa kwao , wasio taka kufanya suluhu, , wasingiziaji , wasiojizuia , wasingiziaji, wakali , wasiopenda mema , wasaliti , wakaidi , wenye kujivuna , wapendao anasa , kuliko kumpenda Mungu , wenye mfano wa utauwa lakini wakikana nguvu zake , hao nao jiepuashe nao .” Unawez endelea mstari 6-17.

Namshukuru Mungu amenitoa kwenye mafundisho mepesi kama
Maziwa na kujifunza ufahamu wa chakula kigumu cha kumjua Mungu na kusudi la mimi kuja duniani niepuke nn nichukue nitende vp .
Shukrani
 
Wewe pale juu kwenye comment yako umechukulia Kama uelewa si chochote katika Imani.
Sasa nilikuwa nakusahihisha.

Pia jifunze kuheshimu wapakwa mafuta wa Bwana Hata Kama Wewe si wa dehebu hilo...Umeonyesha kumshusha Sana padri wakati kiuhalisia haiko hivyo na Ndiyo maana si kila mtu anaweza kuwa Padre.
Kwahiyo suala la shule ni mojawapo kati ya vitu muhimu Sana katika kumuelewa huyu Mungu na Ndiyo maana Mungu aliachilia huduma ya ualimu(ualimu wa Neno la MUNGU)..though shule(elimu)si kipimo pekee Cha kumjua Mungu .
Hebu kitu Cha kuappreciate just show appreciation.

Ni hayo tu nilitaka kukwambia .

Asante nashukuru ila mm nawaheshimu sana wapakwa mafuta wa Bwana na wengi ni marafiki zangu wakubwa na washauri wangu wakuu wa kiroho , ila neno la Mungu zaidi mimi sipendagi mabishano ya kidini na maneno yasio na maana , nilikuwa namsahihisha yule mtoa mada alieyekuwa anawakebei walokole ma kuwatukuza mapadri wasomi bila ya kujua kwamba walokole wote waliandaliwa kwanza na mapadri , wachungaji , Maaskofu , Manabii na Mitume , hajui kama walokole ni watu wamepitia hatua nyingi sana tena za kujidhiri
Katika kumtafuta Mungu na wengi wao huja kuibuka
Kuwa wahubiri wakubwa na huduma kubwa hapa Tz wapo wengi tu Askof Kakobe , Mtume na Nabii Josephat Mwingira , akina Mwamposa wanakuja juu lakini wote hao walikoanzia mwanzo walikuwa waumini chini ya mapadri na wachungaji , kumbuka
Mungu ameruhusu mafundisho yake kuchunguzwa na ameruhusu kupima
Mafundisho , maana wahubiri wote na wasio wahubiri tutasomewa mashtaka yetu siku ya hukumu.
 
Asante nashukuru ila mm nawaheshimu sana wapakwa mafuta wa Bwana na wengi ni marafiki zangu wakubwa na washauri wangu wakuu wa kiroho , ila neno la Mungu zaidi mimi sipendagi mabishano ya kidini na maneno yasio na maana , nilikuwa namsahihisha yule mtoa mada alieyekuwa anawakebei walokole ma kuwatukuza mapadri wasomi bila ya kujua kwamba walokole wote waliandaliwa kwanza na mapadri , wachungaji , Maaskofu , Manabii na Mitume , hajui kama walokole ni watu wamepitia hatua nyingi sana tena za kujidhiri
Katika kumtafuta Mungu na wengi wao huja kuibuka
Kuwa wahubiri wakubwa na huduma kubwa hapa Tz wapo wengi tu Askof Kakobe , Mtume na Nabii Josephat Mwingira , akina Mwamposa wanakuja juu lakini wote hao walikoanzia mwanzo walikuwa waumini chini ya mapadri na wachungaji , kumbuka
Mungu ameruhusu mafundisho yake kuchunguzwa na ameruhusu kupima
Mafundisho , maana wahubiri wote na wasio wahubiri tutasomewa mashtaka yetu siku ya hukumu.
Njia uliyotumia kumsahihisha si sahihi

Unasema hupendi kubishana wakati unabishana na kufikia kukejeli watumishi wa MUNGU na kuona kusoma si chochote.
 
Wewe hujampokea Yesu maishani mwako cos unaona haina faida una kuwa hakuna aliye perfect , wewe kukosea unaona ni weakness ya binadamu as long as una akili za maisha . Walokole ni watu wa imani wanajua wao wana weakness wanajua yupo Mungu aliyejifunua kupitia Yesu , walokole wanaamini Yesu alikufa msalabalanj kwa ajili ya weakness zao , kiburi kama chako, uzinzi , ufiraji , wizi , uchawi nk wanaishi maisha ya kujua wao ni binadamu dhaifu kutenda dhambi ambalo ni chikizo kuu la Mungu kwa wanadamu na hawapendi kumuushi Mungu ndio maana wanatubu kila siku , kusali
Na
Kushuhudia , walokole wengi wanabezwa kwa sababu kiasili mwanadamu hapendi makatazo ya Mungu na ukitaka kuuzi watu wahubirie madhaifu yao , mlokole ana ushuhuda wa Mungu alivyombadilisha jambo fulani hapo ndipo walokole wanapobezwa kama wewe cariha unavyowaita walokole wajinga .
Walokole wamejaa imani kali , iliona corona ilipoingia hao wasomi wako mapadri mbona walifunga makanisa yao , mpaka Rais wa nchi Mhe. JPM ikabidi akatoka
hadharani akasali hadhari pale kwenye miamba Dodoma na akahaminisha Dunia corona haitagusa Tz na kweli corona iligwaya ,walokole wamejaa imani wao wanaamini udhihirisho wanamaachia Mungu ukiwebeza hawajali hofu yao kuu ni kumkosea Mungu , wanaanza kuamini then wanafanyia kazi wanachokiaminisha Mungu huwatengeneze ramani mwanadamu wengine labda wale wafunuliwao maono hujua utekelezaji mpango proposal ikapelekwa kwa sir God kwanza.

Nakuombea macho yako ya rohoni yatiwe Nuru ujue tumaini la mwito wake Mungu jinsi ulivyo na urithi na utajiri katika utakatifu jinsi ulivyo .

Wapo walokole matajiri wakubwa duniani wapo wasomi wakubwa walokole ,
Cariha fuatisha sala hii , ee Mungu naomba mimi ..... taja jina lako nisamehe weakness zangu , ee Yesu karibu uingie ndani ya moyo , nafsi , akili na ufahamu yangu uwe kiongozi wa maish yangu , amin baada ya muda utaona mabadiloki katika ufahamu wako nakuombea Roho Mtakatifu atakuombea zaidi .
Wewe ni Nani wakujua kuwa nimempokea bwana Yesu au lah maana Mimi aliye sirini ndio ananijua Imani yangu ndani yangu na ndio mwenye mamlaka juu ya maisha yangu ya kujua undani wangu.
The big problem ya walokole ni kutokujua neno wanafanya misinterpretation ya maandiko kinyume na lengo lao, wao kazi wanayoweza ni unafiki, uzandiki roho mbaya na kunyooshea wengine vidole tu.
Anyway nashukuru kwa hyo sala yako hapo mwisho napokea a biiiiig AMEEEEEEN
 
Wewe ni Nani wakujua kuwa nimempokea bwana Yesu au lah maana Mimi aliye sirini ndio ananijua Imani yangu ndani yangu na ndio mwenye mamlaka juu ya maisha yangu ya kujua undani wangu.
The big problem ya walokole ni kutokujua neno wanafanya misinterpretation ya maandiko kinyume na lengo lao, wao kazi wanayoweza ni unafiki, uzandiki roho mbaya na kunyooshea wengine vidole tu.
Anyway nashukuru kwa hyo sala yako hapo mwisho napokea a biiiiig AMEEEEEEN
Kwa mfano neno gani wanalitafsiri tofauti na lilivyokusudiwa?
 
Jana ulisema mwanamke ndio yupo responsible kulinda ndoa, hatakiwi kukosea na mumewe akikosea ni lazima amsamehe
Na hii huwa ndiyo point yao! Huko kwengine kote wanazungukaga tu!
 
Haya mambo magumu sana, japo sio mara zote lakini matatizo mengi yanasababishwa na sie wanaume. Msiniulize maswali mengi ila binafsi naamini hivyo. Wanaume ndio tumewafikisha hapo hao baadhi ya wanawake.
Asante kaka! Itawachukua baadhi ya wanaume "milele" kulijua hili hivyo waache waendelee kutupa lawama zote kwa wanawake kana kwamba wao ni innocent!
 
Dah, inaumiza sana! Unaeza kuta jamaa ni hardworker sema ni introvert na mpole sana kiasi kwamba mke kamzidi ujanja so anampelekesha kama mwanae.

Ila me ningekuwepo hapo ningenunua kesi walahi. Yani kitendo cha kumuuliza tu huyu ni nani wako akajibu ni mume wangu ningemzaba bonge la kofi. Kisha ningempa jamaa nguo free kabisa kama ni cadet na shati au Tshirt na Jeans free off charge! Imeniuma sana dah!
 
Unapenda kulaumu wanawake wewe sijui unataka ku impress wanaume humu as if wewe ni mwanaume, I always prefer a solution taker kuliko a blame person, coz hapa JF mada za kusema wanawake ndio hupata comments nyingi.
Ukiona hivyo kuna tatizo. Sasa wewe umeona mleta mada amelaumu au ni upeo wako ni mdogo kwenye kuelewa hoja ya msingi ipo wapi?!
 
Mwanamke yeyote ambaye ni controlling na narcissist lazma achukie ujumbe wa namna hio. Lazma abishane tu ndio hao akina me too. Ila mwanamke submissive hawezi shupaza shingo mbele ya mwanaume.
Ebhana chukua juisi ya ukwaju hapo kwa Mangi nakuja kulipa
 
Hi guys,
Sijawasalimu siku nyingi wacha tu Leo niwasalimu,

Naomba tu nisichokwe, kuna vijitabia kwenye jamii wengine hatuwezi vifumbia macho, wahusika nawasema vizuri tu na wengine humu wenye vijitabia hivyo nawakumbusha tu aiseeh' waachane navyo maana vinaboaa!

Kuna hii tabia hasa naona hawa warembo wa sahii ndiyo wamepamba nayo moto khatari, hivi huu ujasiri wadada wa kuwajibu ovyo waume ama wapenzi wenu mbele za watu mnatoa wapi?

Good Lord! Vidada vya sikuhizi havina kheshima jamani mpaka kero.! Yaani unakuwa pahala mpaka pa kuweka uso wako unakosa, kama ndiyo upo ugenini unatamani kuaga.!

Yaani huwa naishiwa pozi mpaka wakati mwingine nalazimika kutoka nje maana najiskia vibaya sana, nawaza tu Mimi nahisi vibaya hivi, je huyu nwanaume wa watu maskiini! Walaqhi' you guys are passing through hell uwiiih'.. Naanza kupunguza kuwahukumu kuna mambo sisi wanawake ndiyo chanzo, vile nisivyopenda mtu anidharau halafu naona mwanaume, Baba, Kichwa cha familia anadhalilishwa kiasi kile mbele za watu, yaani mwanamke hajali kuna watoto ama mgeni, anaropoka tu neno lolote linalomjia kinywani, wanawake wenye hii tabia kuni yenu inachochewa, mlivyoambiwa 'watiini waume zenu' hamkuambiwa bahati mbaya..!

Hivi ni kizazi gani kinatengenezwa sahii.? Ni ukosefu wa malezi? Ni hizi pesa wanawake wanazomiliki? Ni wanaume kuna mahala mnafeli? Ama ni gani.? Hii kiburi na jeuri wako nayo wanawake wa sahii ni ya dunia nyingine, wametoka nayo wapi, maana khali ndiyo inazidi kuwa mbaya, yaani inafika pahala you can't differentiate the two, hujui here who issa husband, who issa wife maana wote wamemea pembe!

Naomba niachie hapa sintomaliza, Wanaume ni lazima mfanye jambo haqyamama, Ile 'Manhood' kwenye jamii yetu inaenda kutoweka kwa kasi sana, Ladies punguzeni uzungu jamani, this is too much!
Kumbe shida n wanaume wenyewe ,wambie wasimame kwenye nafasi zao
 
Back
Top Bottom