Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

E bana huyu ni dada yangu mmoja ivi ndio ana tabia hizo. Aisee kampanda mumewe kichwani mpaka aibu tunaona sisi kaka zake. Sijui kamloga? Maana kuna vitu mwanaume mwenzio anaweza kuwa anafanyiwa we ukiangalia hasira zinakupanda vibaya sana!
Kuna siku tupo kwenye harusi watu kibao ndugu, jamaa na marafiki na huyo dada alikuwepo na mume wake. Yaani dada anadiriki kuwaambia watu "huyu ni mwanaume? We unaona kuna mwanaume hapa? Yaani wanaume wakiitwa na huyu atatoka?" Na maneno mengine kama hayo na jamaa anasikia..! Yule jamaa kusema kweli nilishindwa kuelewa ni nini hasa tatizo. Ila sema saa nyingine mwanaume ukiwa mpole sana halafu uwe huna hela aisee utapata tabu sana hapa duniani labda usiwe na mwanamke.
Hakiyani ningemzibua mbele za hao watu na wao ndio wangekua mashahidi hata kama sina pesa huwezi niendesha kimbulula hivyo aisee!
 
E bana huyu ni dada yangu mmoja ivi ndio ana tabia hizo. Aisee kampanda mumewe kichwani mpaka aibu tunaona sisi kaka zake. Sijui kamloga? Maana kuna vitu mwanaume mwenzio anaweza kuwa anafanyiwa we ukiangalia hasira zinakupanda vibaya sana!
Kuna siku tupo kwenye harusi watu kibao ndugu, jamaa na marafiki na huyo dada alikuwepo na mume wake. Yaani dada anadiriki kuwaambia watu "huyu ni mwanaume? We unaona kuna mwanaume hapa? Yaani wanaume wakiitwa na huyu atatoka?" Na maneno mengine kama hayo na jamaa anasikia..! Yule jamaa kusema kweli nilishindwa kuelewa ni nini hasa tatizo. Ila sema saa nyingine mwanaume ukiwa mpole sana halafu uwe huna hela aisee utapata tabu sana hapa duniani labda usiwe na mwanamke.
Ukitaka umuweze mwanamke,mosi uwe na pesa kumzidi na usimpe nafasi ya kukuzidi,pili uwe na ka ukaksi kiasi yaani usioneshe unampenda au kumjali saana wewe kuwa kauzu na vibao viwe vinahusika ,mwisho sio kila lalamushi au dai unalitekeleza hapo utaishi salama kinyume chake utadhalilishwa na utakuwa punda wa kutumikishwa kila siku.Mimi hata mwanamke ajilalamishe vipi huwa sijali nafanyaga yangu
 
Hili tayari limeshakuwa tangu hapo zamani. Hautaweza kufanya maamuzi kwakutumia mfuko wa mwenzio.
Pesa imenunua watu , pesa imenunua uhai wa watu.
Hauna namna kwasasa.
Hili la pesa ni muhimu Sana la sivyo fanya hata manuva uwe controla wa pesa za mkeo au tumia zakekutafuta zako zaidi hata kwa janja janja ya kumlubuni ili ushike uchumi.
Mke wa Daudi alivumilia ikabidi amwambie mumewe umekuwa maskini haina maana tena si Bora ufe tu
Suleiman pamoja na hekima zake ilibidi apewe utajiri ili akisema kitu watu wamuelewe vinginevyo wangemwambia geuza maneno yako kuwa pesa
 
Hajazaliwa wa kunikemea kwa kweli usipoteze mda wako bure, hao wanawake wakinipinga hamna shida plus nyie wanaume so I don't care Baki na unachoamini sijakulazimisha kila mtu na msimamo wako kemea familia yako inatosha. Hafu huwa napenda mijadala huru isiyo na unafiki ndani yake tofauti na wanafiki so my dear relax, maana sikuhizi na spare my energy hukubaliani nami there is ignore list tusifanye iwe big issue, kikubwa tukutane mbinguni mtakatifu wa JF
Umepewa title huko ,they call you "Great Cariha" 😆😆😆😆
 
Japokuwa Mimi ni muumini wa mfumo dume ila siungi kabisa hoja ya kumpiga mwanamke Kama njia ya kumfunza adabu
Wanawake hamfanani tabia na mtizamo wa masuala ya ndoa,watu wa vyama vya jinsia hao wa kutetea maslahi ya wanawake Kuna mwaka fulani wafanya utafiti wa hiyo hojayako sasa Cha kushangaza wanawake waliunga mkono makofi Kama njia ya kwenda sambamba kwenye ndoa huku wanaume wakikiri kuzabua makofi japo wao walidai hawaipendi hiyo njia Ila inawalazimu
Hata Mimi nimethibitisha hii njia ikiwemo aggressiveness so sio Mara zote anachodai mwanamke hapendi au hataki kwamba anamaanisha ,big No
 
True mkuu mimi nilikuwa nawatetea sana wanawake hadi nilipoanza kuwajua namna wanabehave kwa makusudi. Kuna muda unaona kabisa kuwa mwanamke ni anataka kukujaribu na kuona ubavu wako au jeuri yako ina nguvu kiasi gani.... Yaani kwakifupi anakuwa anakushawishi umlabue...
Mimi nilikuwa sipendi mambo ya kuzabana vibao na kiufupi nilikuta vibao havileti tija huwa Niko tayari kubwaga manyanga maana unaweza ishia jela ,sasa mwanamke akawa Mara ajisifie alivyokuwa anaogopeka kwa kuzaba wanaume wakiwa shule,Mara aseme yeye ananiheshimu tu kwa kuwa ni mume Ila anaweza nizabua na bla bla kibao za kuonyesha yeye ni mwamba kumbe anajaribu kutafuta kupima ubavu si unajua ukiwa slim wengi wao ni mabonge .
Zamani sikuwa nimemjua nikaja kugundua nikamtegea aje aingie king ili ajue treni inabeba reli,siku akajichanganya kwa nyodo fulani aisee nikasema si huyu ,hapo nilitoa kisago Cha uhakika na sikuwa naruhusu anishike ni vitasa tena vya ngumi kabisa huku nikimkumbusha yale maneno aliyokuwa anasema anapiga wanaume shule Hadi leo sikuwahi sikia tena na adabu kashika nadhani nafsi yake sasa imeridhika kwamba ana mwanaume ,saizi nikikoroma lazima afanye hata ajifanye sitaki sijui umenuna anajua mikanda itamhusu.
Hawa ndugu huwa wanataka ku test je yaliyoko yamo? Sio wote wanataka ile maisha laini wengine wanataka harakati za makofi,mikanda etc
 
Wanawake hamfanani tabia na mtizamo wa masuala ya ndoa,watu wa vyama vya jinsia hao wa kutetea maslahi ya wanawake Kuna mwaka fulani wafanya utafiti wa hiyo hojayako sasa Cha kushangaza wanawake waliunga mkono makofi Kama njia ya kwenda sambamba kwenye ndoa huku wanaume wakikiri kuzabua makofi japo wao walidai hawaipendi hiyo njia Ila inawalazimu
Hata Mimi nimethibitisha hii njia ikiwemo aggressiveness so sio Mara zote anachodai mwanamke hapendi au hataki kwamba anamaanisha ,big No
Kupigwa kwangu mimi,HAPANA na namaanisha HAPANA kweli
 
Halafu wewe haupo sawa kiakili nikwambie tena mara ya mia ngapi sijui.

Kwa mtu timamu anajua kabisa mada inaelekeza nini, wewe unasema ni kupangia watu maisha, wewe ni ukweli tu kuwa hauna adabu na ni mtovu wa nidhamu.

Na nina kuhakikisha mwanaume atakae kuweka ndani asipokulabua makofi siku labda awe sio ridhiki...... Haki ya MUNGU utakuja chezea vitasa.
Wakuu muacheni my dada Cariha apumue anachangamsha kijiwe tu hapa she is understanding mbona Mimi namuelewa,mambo mengine msichukulie serious kiviile not necessarily kwamba ndio mtu Yuko.Sio vibaya kumsemea rafiki
 
Angalia PM

Ushapata mume tyr...


Hapo umemjumuisha na Mzazi wako wa like!?


Usirudie kusemea wote.. Tumia baadhi,,,,

BtN sielewi hao waropokaji wanaishi wapi? Au unazungimzia hao wa uswahilini a.k a vigodoro,, kila MTU anapata mwenza kulingana na alivo,,, wewe km ni wa vogodoro utapata vigodoro wenzio, saaasa ukiwa km jirani ukasikia wanaropokeana unatoka baluu kuja kupost huku,, wacha watu maisha hao yaendelee huwezi huo mtaa hama naenda sehemu zilizo staarabika...
Ha ha! Sawa mi nawe sweetie Ni wawapi wavigodoro au..?😂
 
Kupigwa kwangu mimi,HAPANA na namaanisha HAPANA kweli
Mara nyingi sana (japo sio zote) mwanamke kupigwa hua anakutafuta mwenyewe. Mimi tangu namfahamu marehemu baba yangu mpaka nimekua mtu mzima sikuwahi kumuona akimpiga mama. Mwanamke akiwa na busara hasa ya kujua jinsi ya kuchunga domo lake, ni ngumu sana kupigwa. Namshukuru Mungu nipo kwenye ndoa mwaka wa 12 sasa na sijawahi kunyanyua mkono wangu kumpiga wife.
 
Mara nyingi sana (japo sio zote) mwanamke kupigwa hua anakutafuta mwenyewe. Mimi tangu namfahamu marehemu baba yangu mpaka nimekua mtu mzima sikuwahi kumuona akimpiga mama. Mwanamke akiwa na busara hasa ya kujua jinsi ya kuchunga domo lake, ni ngumu sana kupigwa. Namshukuru Mungu nipo kwenye ndoa mwaka wa 12 sasa na sijawahi kunyanyua mkono wangu kumpiga wife.
Kupigwa kwangu mimi ni HAPANA haipo sababu ya kunifanya nichukulie poa kupigwa,,
 
Mi nadhani kwa hili kuna mahali baadhi ya wanaume nao wana fail,hivi mimi unisemee mbovu mbele ya kadamnasi nibakie nakuangalia kwa kukuogopa nini hasa?,busara inaweza kunifanya nikakunyamazia mbele ya kadamnasi lakini ujuwe tukiingia tu nyumbani,nikafunga mlango lazima uipate habari yako,ila ndio hivyo nasema wanaume tuko tofauti,kofi moja lenye akili mara moja moja kwa mwanamke sio kosa,inasaidia sana kutengeneza discipline kwenye nyumba...
 
Mimi huwa nina mkono mwepesi saana. Siwezi jibiwa hovyo na mwanamke nisiunyenyue. Mara nyingi ndugu zangu wananizuia na wananisihi sana niwe mpole kwa mke wangu. Wife huwa anasikia kila kitu na jinsi ninavyozuiwa na ndugu zangu nisimguse.

Siku moja akaona atikise kiberiti, akaninyea mbele za watu afu akaenda kuchukua mabegi yake arudi kwao. Nilimwambia arudishe mabegi yake akagoma. Ikabidi nitumie nguvu kumrudisha. Wakati namrudisha akawa anaendelea kuninyea. Nilifanikiwa kumrudisha, nikafunga mlango, nikavua mkanda nikamchapa eti akajifanya Na yeye kutaka kunirudishia ikabidi niachane na ule mkanda nikamchapa kavu kavu taratibu akashindwa kujitetea akaanza kuomba msamaha.

Kiukweli nilimuumiza saana mpaka nikamuonea huruma. Ila kile kichapo kilisaidia maana baada ya kile kichapo nilikaa nae akaniambia alikuwa anatikisa kiberiti na kama ningezembea ndio ingekuwa trend hiyo.

NB: If you treat her like a star don’t get mad when she treats you like a fan.
 
Wanaiga mambo ya u dominant na u submissive hayo mambo wanayajua wazungu tu, ushawahi ona wapi africa mwanamke anamdominate mwanaume? Ukiona hivyo either kuna madawa yameshahusika hapo unakuta mwanaume kama kondoo hasemi kitu. Kule Mkoani mara ndo pekee wanajua kuwanyoosha hao wanawake wa type hizo!

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Kwenye kuitafuta amani wote mpo responsible. Lazma muhakikishe all stressings are out! Vitu ambavyo sio vya lazima muachane navyo concetrate on what works kwa wakati huo na kushirikiana. Mambo ya kuvimbiana ndio yanaua amani katika ndoa nyingi. Ukifanyia jambo zuri mpenzi wako humfanyii favor bali unatekeleza wajibu wako kama patner. First approach towards a happy relationship.
😍
 
Back
Top Bottom