Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Wanawake, Wanawake, Wanawake! Nimewaita mara 3

Hapo hakuna upole mwanamme ananyenyekea pesa tu.

Sidhanj hapo wanekutana watu wenye malezi tofauti mke njiwa mume tai tai anajishusha aendane njiwa maana anajua akiamrisha wakiriamsha dude mke hataweza mziki wa mume.
 
Sidhanj hapo wanekutana watu wenye malezi tofauti mke njiwa mume tai tai anajishusha aendane njiwa maana anajua akiamrisha wakiriamsha dude mke hataweza mziki wa mume.
Mwanamke alisikika akisema "chagua haraka kama hutaki hela yangu ina matumizi mengi."

Hapo ndipo kwenye mzizi wa fitna.
 
Mwanamke alisikika akisema "chagua haraka kama hutaki hela yangu ina matumizi mengi."

Hapo ndipo kwenye mzizi wa fitna.

Duuh jamaa kakamatika na mke hana adabu waweza kuta mume kafukuzwa kazi wake wasio na malezi bora ndio hao , siku mume hali yake kipesa ikirudi ndio respect and love huonekana hao wa no money no love kwenye ndoa sio , sasa yamemkuta keshao tayari kaona upande wa pili wa mke mwenye tabia za kihawara.
 
Hebu tuambie research yako hao wanawake wa wapi?

MTU alielelewa maisha ya kustaarabika sizani km ataropoka ovyo,,,

Lkn kwakuwa mpango wako ni kuwasema wanawake wote,,, hii kitu nakataaaaaa!!!!!!!

Ila tu ntakushauri toka huko uswahilini uje huku ustaarabuni ubadilishe saikolojia ya akili yako kidogo .
AIsee!!!!😂 kmmk
 
Unapenda kulaumu wanawake wewe sijui unataka ku impress wanaume humu as if wewe ni mwanaume, I always prefer a solution taker kuliko a blame person, coz hapa JF mada za kusema wanawake ndio hupata comments nyingi.
Amesema Ukweli, Wanaume lazima tuheshimiwa na siyo kuleta ushindani wa kijinga eti haki sawa,simama kwenye nafasi yako Kama Mwanamke na utawa enjoy sana Wanaume!!
 
Pale hatma ya maadili ya jamii inapokuwa mikononi mwa makungwi wa facebook, instagram na vipindi vya redio vya wapiga soga!
 
Wewe nadhani hujanielewa ni wale wakristo wasioolewa maandiko na mwisho huishia upotevuni my logic was very simple watu hawatumii akili zao na kumweka Mungu ka chanzo Cha uvivu wa kufikiria hata Mungu huyo huyo aliumba akili utumie so mwisho mwajichaganya chaganya chaganya, maana wewe umekuja na yako kichwani na hukumu zako tayari eti Mungu sijui simtegemei and blah blah,
Hafu huyo Oprah ana Uhuru wa kuamini atakacho Kama wewe unavoamini huyo mungu wako kwa kunyoosha vidole eeeh mie ni Nani nimhumikumu jamani only God can judge us kwa kweli
Nimecheka hapo kwa jini aisee sasa unavaa silaha za nini nyie ndio mkiona mjusi au paka mnaanza kukemea hovyo viumbe vya Mungu.
Kumekucha tena
 
Hajazaliwa wa kunikemea kwa kweli usipoteze mda wako bure, hao wanawake wakinipinga hamna shida plus nyie wanaume so I don't care Baki na unachoamini sijakulazimisha kila mtu na msimamo wako kemea familia yako inatosha. Hafu huwa napenda mijadala huru isiyo na unafiki ndani yake tofauti na wanafiki so my dear relax, maana sikuhizi na spare my energy hukubaliani nami there is ignore list tusifanye iwe big issue, kikubwa tukutane mbinguni mtakatifu wa JF
Duh
Kikubwa tukutane mbinguniwe dada ni hatari
 
Yani nafunga kwa my personal goal like maintaining my body, na sio kuwa eti ni change na kupangiwa ya kufanya na jamii au mitazamo that's never me. Nitaishi nitakavyo I want to create my own history in this world, I want to be me, so I don't care about external validation. Makamu wa Raisi ni yeye na Mimi ni mimi Niko unique
 
Uliwahi kureply mahali kuwa "mwanamke ahamki tu akaanza kukudharau". Kuna pahala mwanaume unakuwa umezembea, inakuwa alianza kustawisha hiyo tabia taratibu nawe kama mwanaume ukapuuza.
 
Back
Top Bottom