cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,067
- 46,653
Hajazaliwa wa kunikemea kwa kweli usipoteze mda wako bure, hao wanawake wakinipinga hamna shida plus nyie wanaume so I don't care Baki na unachoamini sijakulazimisha kila mtu na msimamo wako kemea familia yako inatosha. Hafu huwa napenda mijadala huru isiyo na unafiki ndani yake tofauti na wanafiki so my dear relax, maana sikuhizi na spare my energy hukubaliani nami there is ignore list tusifanye iwe big issue, kikubwa tukutane mbinguniWewe lazima ukemewe kwa sababu unapinga mpango wa Mungu , mume kumtawala mke , unajidanya na viconection vyako uchwara sasa hata wanawake wenzio wanakupinga unajibaraguza ohh eti wanataka kuwa impress wanaume ,ni kweli tutakumea mchana na usiku na Mungu aliyeumba watu, Dunia , milima , bahari , ndoa akabariki kuongezeka na kuitawala Dunia unakuja na eti kuthink nje ya box , pole utapopolewa , wakupopoa wanazidi kuongezeka.

mtakatifu wa JF