ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,564
- 119,623
Nadhani ametoa solution pia, katika ku-shape tabia za watu this has to happen. Unakuwa bitter ili kutengeneza na kama amekuwa bitter basi this is for the better.Unapenda kulaumu wanawake wewe sijui unataka ku impress wanaume humu as if wewe ni mwanaume, I always prefer a solution taker kuliko a blame person, coz hapa JF mada za kusema wanawake ndio hupata comments nyingi.
She's trying to shape up the society which is starting to be broken. Wanawake waropokaji mostly wamelelewa vibaya, wamekopi hulka mbaya either za wazazi au walezi wao.
