Gunda66
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 516
- 312
maarifa mtu huzaliwa nayo,elimu ni kusanda
Labda,, kwahiyo ulikuwa na maana kwamba wewe ndo ulikuwa watoa elimu kwa hawa madada zatu??
maarifa mtu huzaliwa nayo,elimu ni kusanda
Basi heanding ungeandika'wanawake wanaouza wanashusha thamani yao'
Hivyo ulivyoandika umejumuisha thamani ya wanawake wote.
Kujitambua kukoje?
i
i dont worship debt currencies i worship GOD THE ALMIGHTY
fungua thread yake mkuu tukemee maovu ila tofautisha usafi na uchafu ingawa vyote ni dhambi kwa unavyoclaim
unaupewo mdogo sana,unadhani tumekuja kula,kulala na kufa
be carefully
Siyo kila aliyeko jf yupo kufungua thread,
umezoea fb hauwezi kushinda bila kuupdate status,vyivyohivyo na jf hauwezi kuishi bila kuanzisha new topic,
hatufanani,
ila nadhani niliyekua nimemqoute siyo wewe..
Tetea thread yako kwa umakini na siyo kuongozwa na hisia na kulazimisha kila mtu akubaliane na wewe.
unajua mana huyo??
what so special about mapaja,umengangania mapaja mapaja,ndo mawazo yako sio??
siko huko unakofikiri ila nakemea unayokubali ndo tofauti ipo hapo
Akili yako haijapambazuka kubali au ukatae. Na ikipambazuka utagundua you are just a single entity in the world of 7 bilions. Each one came with own purpose that u don have a single right to interfere whatsoever. ..
go back to school read and reread
devil doctrines
kujua ukweli inaitaji hekima na utulivu ila sio kukurupuka na matapishi ambayo ni nje ya syntax za kumjibu mtu
Yes your right i don't know that much but this much i know is quite enough for myself,
i know you want me to please you..Idiot.
Tupo mimi sili,wee unataka kuniambia unaenda makaburini kinondoni? Kwa uelewa wangu anayejiuza ni wale malaya,anatembea na yeyote ilimradi apate pesa.Mimi hawa naona kinyaa.Hii ni tofauti na kuwa na mpenzi.Umaskini mkuu mbaya sana ni kuwahurumia wengine...ila bila hawa wanaojiuza sijui wengine tungeponeaga wapi..? Hivi kuna mwanaume hajawahi kula mwanamke anaejiuza kweli..?
Tupo mimi sili,wee unataka kuniambia unaenda makaburini kinondoni? Kwa uelewa wangu anayejiuza ni wale malaya,anatembea na yeyote ilimradi apate pesa.Mimi hawa naona kinyaa.Hii ni tofauti na kuwa na mpenzi.
Pole Husny, umekosa mume.