Wanawake wanaojiuza wanashusha thamani ya mwanamke

Wanawake wanaojiuza wanashusha thamani ya mwanamke

nimeangalia mabandiko yako nimeona huna tofauti na thinky na @KUFALAZIMA maana hizi ni id tofauti ila mtu ni mmoja kisha wakapotea wote ghafla sijui ndio wewe?
back to the topic
wengine hawaamini uwepo wa mungu sasa wamuhofie nani wakati sheria za nchi hazikatazi ?
huwezi kuifanya jamii iishi unavyotaka kila mtu huishi anavyotaka
kumbuka wanaojiuza sio wote maisha magumu wengine nu starehe kama kunywa pombe
 
Last edited by a moderator:
Naomba ufanye yako kiongozi haya mambo ya nani kavaa vipi waachie wavaaji kwani ni ruksa mtu kuvaa apendavyo ili mradi havunji sheria!!

Kiroho safi ni ushauri tu...
 
Kutokana na ushamba wako we unaamini kila anayevaa jinsi anajiuza. But nina uhakika ukipata fursa ya kuendelea kukaa mjini matongotongo yakakutoka utamaind biznez zako na kuacha kukodolea mapaja ya wadada...

unajua ushamba ni nini??

tatizo you take things simple kwasababu huelewi context ya nachomaanisha.Huko mjini unakopasifia whats so special about it,kwanini uvae jeans na wewe ni mwanamke??

kwanini utete ngono zembe kama nawe si mfuasi,unaijua adhabu yake??
 
nikiwaangalia wadada wanavyopita mtaani na vipedo,jeans,nusu uchi mi naona tu makahaba for real mwanamke yule anayejitambua hapendi ya dunia,ana dress smart ,mtu wa mungu na always anajiheshimu all the time,very natural in skin and hair,na anaelewa thamani yake nje ya hapo hata uweje,uwe na mali gani we ni kahaba tu

Utajuaje thamani ya mwanamke kama hajiuzi, au unawalalamikia wale wanaoshusha thamani kwa kujiuza kwa bei ya chini buku kumi badala ya kuanzia laki tano?
 
unajua ushamba ni nini??

tatizo you take things simple kwasababu huelewi context ya nachomaanisha.Huko mjini unakopasifia whats so special about it,kwanini uvae jeans na wewe ni mwanamke??

kwanini utete ngono zembe kama nawe si mfuasi,unaijua adhabu yake??

Kwahiyo jeans za wanawake zimetengenezwa kwa ajili yako?
 
nimeangalia mabandiko yako nimeona huna tofauti na thinky na @KUFALAZIMA maana hizi ni id tofauti ila mtu ni mmoja kisha wakapotea wote ghafla sijui ndio wewe?
back to the topic
wengine hawaamini uwepo wa mungu sasa wamuhofie nani wakati sheria za nchi hazikatazi ?
huwezi kuifanya jamii iishi unavyotaka kila mtu huishi anavyotaka
kumbuka wanaojiuza sio wote maisha magumu wengine nu starehe kama kunywa pombe

huo uhuru wa kuhoji na kudadisi mazingira ya ulimwengu sababu ya ubongo bila kutulia na kuelewa existance na destiny,principles na rules in nature na kutojitambua ndo hupelekea huo ujinga wa niishi nitakavyo ilhali hujui whats ahead
vry dangerous
 
Last edited by a moderator:
Naomba ufanye yako kiongozi haya mambo ya nani kavaa vipi waachie wavaaji kwani ni ruksa mtu kuvaa apendavyo ili mradi havunji sheria!!

Kiroho safi ni ushauri tu...

elimu ni nini??tuanzie hapa
 
Kwa ninavyodhani au nijuavyo tunaweza sema elimu ni maarifa yarithishwayo toka kizazi kimoja kwenda kingine!! au we unajibu la namna gani??

maarifa mtu huzaliwa nayo,elimu ni kusanda
 
Nahisi kufikiri kwetu kumekuwa kwa kimagharibi sana..UHURU umezidi!!.
. Thinkyyy una point mkuu!!..
 
Last edited by a moderator:
nikiwaangalia wadada wanavyopita mtaani na vipedo,jeans,nusu uchi mi naona tu makahaba for real mwanamke yule anayejitambua hapendi ya dunia,ana dress smart ,mtu wa mungu na always anajiheshimu all the time,very natural in skin and hair,na anaelewa thamani yake nje ya hapo hata uweje,uwe na mali gani we ni kahaba tu

wacha wajiuze bana wengine hatuna muda wa kutongoza wanatuokoa!!!!
 
kwahiyo tusikemee tutubu tufate maisha yetu kila mmoja atahukumiwa kivyake ,

kwanini umsupport shetani afu ujifanye mwema mbele za mungu??
unajua duniani tumekuja kufanya nini??
Huwezi hata kwa nukta kujua duniani tumekuja kufanya nini. Stay in your lane and follow your path. Vitu vinavyokuwazisha havina maana unavyoipa.........
 
nilikua nawashangaa wanawake wanaojiuza but toka nishuhudie jamaa akipost picha za hasara hasara za mzazi mwenzie hata sielewi nimshangae yupi.
 
Nahisi kufikiri kwetu kumekuwa kwa kimagharibi sana..UHURU umezidi!!.
. Thinkyyy una point mkuu!!..

Mkuu uhuru ndo mtihani mpaka sasa bado wako section A afu zimebaki dakika 2.5 za kumaliza mtihani

Mungu hawajui walitendalo wasamehe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom