Wanawake wanaojiuza wanashusha thamani ya mwanamke

Wanawake wanaojiuza wanashusha thamani ya mwanamke

God ndio anakwambia uingilie uhuru wa wenzio? We mbona hakuna aliyeingilia uhuru wako...

HIVI kuingilia uhuru wa mtu ni kumsema hivi huoni kama hawa wanaojiuza nao wanaingilia uhuru wawatu,,,harafu suala la kulaumu wanao nunua mimi siungi mkono,kwanini ulaumu mateja badala ya mapusha,,bila mapusha mateja wangepata wapi? sembe.
 
Unadhani majibu yako ya hayo naswali matatu ya mwanzo yanafanana kwa watu wote?

kujitambua we ni nani ,upo duniani kufanya nini,na hatma yako ni ipi


kingine mtu akizini na mmama anayejiuza mama yako atamwona anadifference??
 
HIVI kuingilia uhuru wa mtu ni kumsema hivi huoni kama hawa wanaojiuza nao wanaingilia uhuru wawatu,,,harafu suala la kulaumu wanao nunua mimi siungi mkono,kwanini ulaumu mateja badala ya mapusha,,bila mapusha mateja wangepata wapi? sembe.

Hoja hapa sio kujiuza. Ni mtu kumaindi eti wengine wanavaa vipedo. Mnataka watu wavae sare?
 
Wewe usijenifanya nikapewa ban,mbona hampigii kelele washenzi wanaoiba pesa za umma na kuwaumiza wachache,wanaotumia viungo vyao na kunusa mijasho yenu kutafuta pesa ndo mwawaona wakosaji sana ee,"judge yourself first"
HIVI kuingilia uhuru wa mtu ni kumsema hivi huoni kama hawa wanaojiuza nao wanaingilia uhuru wawatu,,,harafu suala la kulaumu wanao nunua mimi siungi mkono,kwanini ulaumu mateja badala ya mapusha,,bila mapusha mateja wangepata wapi? sembe.
 
harafu =/ halafu

HIVI kuingilia uhuru wa mtu ni kumsema hivi huoni kama hawa wanaojiuza nao wanaingilia uhuru wawatu,,,harafu suala la kulaumu wanao nunua mimi siungi mkono,kwanini ulaumu mateja badala ya mapusha,,bila mapusha mateja wangepata wapi? sembe.
 
hao wanaojiuza unafikiri wanapenda ni dhiki tu,wamejaribu kila biashara imeshindikana,hiyo ndio biashara inayolipa zaidi,
 
Watu bwana....

Kiasili watu wanapiga magome ya miti kufunika vifanyio tu..... walipoendelea saaaaana ni kujifunga lubega. nguo mumshukuru mzungu/mwarabu kuwaletea ila mnanyooshea mwenzenu vidole...

Au mnadhani wahadzabe wanaofunika vifanyio wao hawajiheshimu au kujua thamani yao?

Wangapi wanajifunika gubi gubi na wanagawa k kama pipi?
Na hao eanunuzi je? Wao ni nani marijali au mashujaa?????

Anyway Na wanaume na nyie muache kuvaa vikaptura mnawatamanisha wanawake na hamjiheshimu wala kujitambua kwa kuvaa hivyo..mvae kiheshima kanzu kama za mapadre au waarabu

time,technology,allogenic characters,morals,psycological effects

siandiki sana kama ni thinker jibu hilo hapo
 
kwahiyo tusikemee tutubu tufate maisha yetu kila mmoja atahukumiwa kivyake ,

kwanini umsupport shetani afu ujifanye mwema mbele za mungu??
unajua duniani tumekuja kufanya nini??

kukemea ni jambo zuri, mbona huwakemei na wanaume pia? na kwa nini ukemee humu? unamaanisha makahaba wanapatikana JF?
 
Wanao wanunua hebu sema nao na wao sio uegemee upande mmoja
 
Hoja hapa sio kujiuza. Ni mtu kumaindi eti wengine wanavaa vipedo. Mnataka watu wavae sare?

soma kichwa cha habari dont force fallacy japo nakusoma ubongo wako ulivyo mdogo
 
Wewe usijenifanya nikapewa ban,mbona hampigii kelele washenzi wanaoiba pesa za umma na kuwaumiza wachache,wanaotumia viungo vyao na kunusa mijasho yenu kutafuta pesa ndo mwawaona wakosaji sana ee,"judge yourself first"

fungua thread yake mkuu tukemee maovu ila tofautisha usafi na uchafu ingawa vyote ni dhambi kwa unavyoclaim
 
nikiwaangalia wadada wanavyopita mtaani na vipedo,jeans,nusu uchi mi naona tu makahaba for real mwanamke yule anayejitambua hapendi ya dunia,ana dress smart ,mtu wa mungu na always anajiheshimu all the time,very natural in skin and hair,na anaelewa thamani yake nje ya hapo hata uweje,uwe na mali gani we ni kahaba tu

soma kichwa cha habari dont force fallacy japo nakusoma ubongo wako ulivyo mdogo

Kutokana na ushamba wako we unaamini kila anayevaa jinsi anajiuza. But nina uhakika ukipata fursa ya kuendelea kukaa mjini matongotongo yakakutoka utamaind biznez zako na kuacha kukodolea mapaja ya wadada...
 
Wanao wanunua hebu sema nao na wao sio uegemee upande mmoja

wanunua kwasababu inauzwa nje ya hapo hawatapata kwa kununua bali kutoa hisia za kweli na kuwa mpenz wako

hivi unajua demu akitongozwa wanamjibu,unaringa wakati usiku zimejipanga 3000,
we unaona thamani yako ni ipi hapo??
 
Back
Top Bottom