Wanawake wanaojiuza wanashusha thamani ya mwanamke

Wanawake wanaojiuza wanashusha thamani ya mwanamke

Anayejua maisha ni ngumu kukuoa,halafu ni lazima tukeme maovu ninyi ibilisi

wew huna kazi ya kufanya??? ibilisi ni ww unaeona maovu ya wwnzio utafikiri ww ni smart. punguza umbea best,
 
Kweli mliokuja mjini juzi mna shida sana... mapaja tu yanakuwazisha siku nzima hadi unakuja kupost Jf...

kwanini wajiuze na wewe ununue???
stay in a proper trail hujitambui afu una think very shallow huko kijijini unapokuponda utarudi ukikimbia
TIME WILL TELL
teammakahaba
 
Basi heanding ungeandika'wanawake wanaouza wanashusha thamani yao'

Hivyo ulivyoandika umejumuisha thamani ya wanawake wote.

Kujitambua kukoje?

i
wanaume wanaonunua hawajitambui

thamani yake ipo pale akimilikiwa au kuwa na mpenz mmoja wa maisha na kumcha mungu nje ya hapo ni kahaba


mama yangu ana mme wake,hapaki uchafu,anavaa kiheshima na anasema hao wengine hawajitambui,hawajui thamani yao,vivyo hivyo humdharau muumba.SIWEZI MDHARAU YEYOTE ANAYEJITAMBUA
 
kwanini wajiuze na wewe ununue???
stay in a proper trail hujitambui afu una think very shallow huko kijijini unapokuponda utarudi ukikimbia
TIME WILL TELL
teammakahaba

Mi nina uhakika ukikaa hapo mjini miezi miwili utaanza kuwaza ela utaacha kupagawa na mapaja ya wanawake
 
no one's perfect bro.. tukiwasema wanawake wameshuka thamani kwa kuwa wanajiuza, kumbuka kuna wanaume majambazi na magaidi, sasa yule anayejiuza na yule anayeiba na kuua nani ana afadhali? kwa akili zetu za kibinadamu tutasema bora anayejiuza lakini mbele za Mungu, wote ni wenye dhambi.. wote tumeharibu, cha kufanya ni kutubu na kuendelea na life lako, waache wengine waishi wanavyoishi, kila mtu atahukumiwa kivyake..
 
Umeoa? Kama ndio, ukioa ukiwa bikra?

Kama sio, huyo mwanamke alikuonyesha nini hadi ukaamua kufanya uzinzi endelevu?

ninue mfugo , maradhi na njia ya kuzimu kwa shingapi!!?????
bora umekata
diva
 
Mi nina uhakika ukikaa hapo mjini miezi miwili utaanza kuwaza ela utaacha kupagawa na mapaja ya wanawake

i dont worship debt currencies i worship GOD THE ALMIGHTY
 
Watu bwana....

Kiasili watu wanapiga magome ya miti kufunika vifanyio tu..... walipoendelea saaaaana ni kujifunga lubega. nguo mumshukuru mzungu/mwarabu kuwaletea ila mnanyooshea mwenzenu vidole...

Au mnadhani wahadzabe wanaofunika vifanyio wao hawajiheshimu au kujua thamani yao?

Wangapi wanajifunika gubi gubi na wanagawa k kama pipi?
Na hao eanunuzi je? Wao ni nani marijali au mashujaa?????

Anyway Na wanaume na nyie muache kuvaa vikaptura mnawatamanisha wanawake na hamjiheshimu wala kujitambua kwa kuvaa hivyo..mvae kiheshima kanzu kama za mapadre au waarabu
 
Basi heanding ungeandika'wanawake wanaouza wanashusha thamani yao'

Hivyo ulivyoandika umejumuisha thamani ya wanawake wote.

Kujitambua kukoje?

i

kujitambua we ni nani ,upo duniani kufanya nini,na hatma yako ni ipi


kingine mtu akizini na mmama anayejiuza mama yako atamwona anadifference??
 
Hehehehehehehehehhehe...ncheke miye..nikivaa hijaab wanasema anajifanya mtakatifu yule,nikivaa kimin haha eti malaya sana yule..."i can't please all"
uzuri nakua comfortable na amani moyoni..
 
haa haa haa haya ndio majibu ambayo huwa yanaitwa ya shombo..... Tuko bana you have made my night
Mi nina uhakika ukikaa hapo mjini miezi miwili utaanza kuwaza ela utaacha kupagawa na mapaja ya wanawake
 
Last edited by a moderator:
no one's perfect bro.. tukiwasema wanawake wameshuka thamani kwa kuwa wanajiuza, kumbuka kuna wanaume majambazi na magaidi, sasa yule anayejiuza na yule anayeiba na kuua nani ana afadhali? kwa akili zetu za kibinadamu tutasema bora anayejiuza lakini mbele za Mungu, wote ni wenye dhambi.. wote tumeharibu, cha kufanya ni kutubu na kuendelea na life lako, waache wengine waishi wanavyoishi, kila mtu atahukumiwa kivyake..

kwahiyo tusikemee tutubu tufate maisha yetu kila mmoja atahukumiwa kivyake ,

kwanini umsupport shetani afu ujifanye mwema mbele za mungu??
unajua duniani tumekuja kufanya nini??
 
Back
Top Bottom