wife keshasema yuko maki ondoa shaka.........nahisi kama unataka kumwingiza wife wangu kwenye ushabiki usiomstahili..
then! i mis u sana.
5'10 si ni kama kimba la mwisho!!! samahani mkuu lakini.Yaani kumbe Ridhiwanai naye anawabeba enheee? Naomba niuulize, kwa urefu wangu wa 5'10 nahesabika kama mbilikimo kwenu kina mama au:frusty:.....naomba jibu sahihi kabla sijaanza kula dawa za kichina.
5'10 si ni kama kimba la mwisho!!! samahani mkuu lakini.Yaani kumbe Ridhiwanai naye anawabeba enheee? Naomba niuulize, kwa urefu wangu wa 5'10 nahesabika kama mbilikimo kwenu kina mama au:frusty:.....naomba jibu sahihi kabla sijaanza kula dawa za kichina.
mbona riz moko ni andunje na nasika anawamega sana warembo.?inakuwaje hapa!!?
Dah...naona umetuwakilisha poa watu wafupi mkuu acha nilog off warefu waendelee kufarijiana.
Hii haina ukweli! Mm ni mfupi kiasi lkn nimewala wadada warefu, wafupi, wanene, wembamba, warembo(top 5 miss tanzania)
Kama huamini nipe namba ya mkeo au demu wako uone!
daddy inamaana ladyfurahia hajui kama daddy wetu umepanda hewani?
Hata sijui...labda wewe uniambie
watu8 kwa maneno unayoandika wewe utakuwa mrefu kama hasheem thabit, kipande cha mtu
Duh... Msiwapige sana mawe maandunje wakuu!
Faida ingine ni kwamba mamen warefu wengi kama sio wote wana mashine kubwa c kama maanduje.
Hapa mia mia, mi sisubiri mwisho wa mwezi mama. Sema kingine