Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Nalijua Hilo Shansarie, ila ni ngumu kujua Kama mtu amekuzimia Kama ulivyo au ni profile yako.

Ukimchunguza sana kuku humli.afu ukiwa unajishtukia sana kwamba kila anayekuja kafata profile yako utaishia kudokoa tu wenzio wanakusaidia kula.
 
hahahahahah! ni kweli shosti...yaani hata ktk mkusanyiko tu wa watu wakiwa wamesimama, ukiangalia kha! utataka kulia! wenzetu hawa kwa ufupi wamejaaliwa aisee......hahahahahahaha halafu naona hii thread imewagusa mno naona wapo KIMYA!!!!!!Sijui hawajaiona au basi tu? hahahaha msitumeze jamani mbona nyie mnatupondaga humu na si tunakomaa nanyi tu..hhahahahahahah!!!!!!ngoja waje wafupi wabishi wenyewe uone watakavyotoka mapovu humu!!!!

ha ha ha haaaaaaa ..................... wabishe tena ili wajulikane wafupi????
 
hii thread TAMU SANA! wahusika KIMYAAAAAAA!!!!!!! hhahahahahahah.....yaani ataketoka povu tu hapa na kuanza kubisha, basi yeye ni mfupi!
 
Ina maana maandunje wamekula kona jamiif?
 
hii thread TAMU SANA! wahusika KIMYAAAAAAA!!!!!!! hhahahahahahah.....yaani ataketoka povu tu hapa na kuanza kubisha, basi yeye ni mfupi!

Hahaaa mchokozi wewe....ngoja tuone...
 
Hiyo picha unayoiona kwenye avatar ndio Mimi tinna! Unataka niweke full image! I'm not for sale.
 
Huwa sipendi majigambo ila labda nikufahamishe kidogo, Nina elimu ya kutosha sana, Nina kazi nzuri thank god, na sipo bongo, ni sehemu ninayoishi hakuna wadada kutoka bongo! Above all nisingependa kupendwa kwasabab ya elimu yangu au kipato changu, urefu wala u handsome wangu @ Shansarie.

na haya ni manini!!!!!!!!!!!
 
Ilinipasa nimfahamishe bidada kutokana na kauli yake! Nafikiri amenisoma @ heaven on earth.
 
Am 167cm do I qualify in the category of being tall.......... just asking the ladies?
 
Vitu vitatu wanavyopenda wanawake:-
1. Pesa
2.Pesa
3.Pesa
Urefu au ufupi sio hoja, mm mwenyewe mrefu na sijawahiona mwanamke ananiambia your sexiest mpaka nitoe pesa.. Over!!!!!!!!!!

umenena
 
Back
Top Bottom