ndetichia
Platinum Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,589
tumalizane hapa hapa.......kule PM hapana
Pm tena..
tumalizane hapa hapa.......kule PM hapana
am sure hata vigezo vingine unavovitaka ninavyo im a complete man
Wanaume warefu wana mvuto sana.. binafsi napenda mwanaume mrefu tena awe na six pacs.. hahahaha
..Urefu wakitu gani unao takiwa?Hata me napenda mwanaume mrefu wafupi amna mvuto...
Hata me napenda mwanaume mrefu wafupi amna mvuto...
Wakuu ktk pitapita zangu za kila siku nakutana na minong'ono kuwa wanaume warefu wana mvuto mkubwa kwa wanawake tofauti na wenzao wafupi. hii nimeisikia kwa baadhi ya wanaume wakikiri kuwa wanaume warefu wanakubalika kirahisi kwa wanawake, basi nikajaribu upande wa pili nisikie wenyewe wanachosema, wengi wamekiri kuwa wanaume warefu wana mvuto sana ila tatizo ni mila na desturi za kwetu haziruhusu mwanamke kumtongoza mwanaume, mwingine akaniambpga kuwa wanaume warefu wengi wao wana confidence na wanajikubali sana, wapo wengi tu wanaokubali kuwa wanaume warefu wanakuwa ni wend mvuto, sasa wanawake wa jf na nyie mnasemaje??
ndetichia pm enheePm tena..
Really!!!!!!!!like vipi just few to mention
Basi mambo tawire..
Mmh! jirani
Oh, really.....?
Teh teh. Halafu wewe utakuwa mrefu eh?
hela za madafu zipo,nina dushelele linalojitosheleza
Hii haina ukweli! Mm ni mfupi kiasi lkn nimewala wadada warefu, wafupi, wanene, wembamba, warembo(top 5 miss tanzania)
Kama huamini nipe namba ya mkeo au demu wako uone!
Umenena jamaa yangu,warefu tuko na advantage sana kwa wadada,utasikia mdada anasema eti hata yule nae ananitongoza,mtu mwenyewe mfupi kama firigisi,nimpeleke wapi?hata bible inataja magiants.
ME NI MFUP TENA MFUPI HASA ILA NAJIAMINI ZAID YA UNAVYOWEZA KUDHANI AF MAISHA NI ZAID YA NGONO ATI,NINA MPENZ AMBAYE KUNA WAKAT HATA ME MWENYEWE NAJISIFU KUWA MACHO YANGU YANAONA VYEMA TENA NI MREF ZAID YANGU ILA MAISHA YANAENDA.FUATILIA MAPENZI YA WALIOKUTANA KWA BAHATI MBAYA KWA KUANGALIA VIGEZO VYA MAUMBILE PASIPO MAPENZ YA DHATI UONE DHAHMA ZINAZOWAKUTA,SI WALITAKA SHOW LOVE?
#my take.........MAPENZI YA KWELI HAYAKOSOI KAZ YA MUUMBA NA NDIYO MAANA WENGINE WANA WAPENZI WALEMAVU.
Wanaume warefu ndio wana mvuto ila hawana yale mapenzi ya kumtoa nyota pangoni. Wana stress kwa sababu wanajua ukimwacha kuna mwingine. Kama unataka kufa kwa pressure siku si zako kuwa na Mwanaume mrefu. Wanaume wafupi wako very caring and loving, utajiona kama queen. They go that extra mile. Akina dada wanaume wafupi ndo mpango mzima 🙂