Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Wanawake walio wengi huvutiwa na wanaume warefu

Yaani nibandike picha hapa! Tinna cute tuwasiliane kwa pm, lol.
 
Wakuu ktk pitapita zangu za kila siku nakutana na minong'ono kuwa wanaume warefu wana mvuto mkubwa kwa wanawake tofauti na wenzao wafupi. hii nimeisikia kwa baadhi ya wanaume wakikiri kuwa wanaume warefu wanakubalika kirahisi kwa wanawake, basi nikajaribu upande wa pili nisikie wenyewe wanachosema, wengi wamekiri kuwa wanaume warefu wana mvuto sana ila tatizo ni mila na desturi za kwetu haziruhusu mwanamke kumtongoza mwanaume, mwingine akaniambpga kuwa wanaume warefu wengi wao wana confidence na wanajikubali sana, wapo wengi tu wanaokubali kuwa wanaume warefu wanakuwa ni wend mvuto, sasa wanawake wa jf na nyie mnasemaje??


Nakupa homework ili ujuwe ukweli ulivyo. Katika pita pita zako hizo hizo hapa jijini uliwahi ulizia kwa nini wanawake wanampenda Diamond Platinumz ambaye yuko futi 5'3? Je, yeye ni mrefu ama? Kuwa mrefu bila akili au kitu uone kama utapata demu wa maana. Chicago matelephone is 5'1 or 5'2 na mademu wanamwinda kichizi, je naye ni mrefu? yaani list ni ndefu mno:A S 39:
 
Urefu muhimu bhana.
Kuna kipindi fulani hivi nikakutana na best friend wa college mate
wangu. Baada ya kum-hug akasema "Dah, height hii ndio inafaa". Nikang'oa
kiulaini kabinti karefu kembamba, even though hatukudumu.

Kengine tuko chuo, kamevaa high heals + plus urefu wake lakini wapi
kidume bado hanifikii, nikasikia "watu kama nyie adimu "... kama kawaida
nikang'oa....

In short ukiwa mrefu, confident na Mungu kakujalia viakili na visent vya
kubadilisha sneakers na mashati ya draft... hakuna mwanamke
anayechomoa. Maandunje mlie tu

nyie nyie ndo mi nawatakaga...,ila co wembamba.ah ah..uwe umepanda na kimwil kipo..apo lazima nigeuke
 
Wakuu ktk pitapita zangu
za kila siku nakutana na minong'ono kuwa wanaume warefu wana mvuto
mkubwa kwa wanawake tofauti na wenzao wafupi. hii nimeisikia kwa baadhi
ya wanaume wakikiri kuwa wanaume warefu wanakubalika kirahisi kwa
wanawake, basi nikajaribu upande wa pili nisikie wenyewe wanachosema,
wengi wamekiri kuwa wanaume warefu wana mvuto sana ila tatizo ni mila na
desturi za kwetu haziruhusu mwanamke kumtongoza mwanaume, mwingine
akaniambpga kuwa wanaume warefu wengi wao wana confidence na
wanajikubali sana, wapo wengi tu wanaokubali kuwa wanaume warefu
wanakuwa ni wend mvuto, sasa wanawake wa jf na nyie mnasemaje??

ofcoz mi mrefu,mwanaume mfupi wa nin?nataka nifute ii gene ya ufupi kwa wanangu...lakin kama mfup na pochi yako ndefu naweza nikakufikiria angalau
 
Nakupa homework ili ujuwe ukweli ulivyo. Katika pita pita zako hizo hizo hapa jijini uliwahi ulizia kwa nini wanawake wanampenda Diamond Platinumz ambaye yuko futi 5'3? Je, yeye ni mrefu ama? Kuwa mrefu bila akili au kitu uone kama utapata demu wa maana. Chicago matelephone is 5'1 or 5'2 na mademu wanamwinda kichizi, je naye ni mrefu? yaani list ni ndefu mno:A S 39:

Naomba nikujibu kaka, wanaume warefu wana mvuto hilo halipingiki. Yaani hao ndiyo dream men kwetu siye wanawake.
Asilimia kubwa tunawatamani na tunavutiwa nao. Inapokuja suala la maisha na majukumu ndipo hata wafupi lakini wenye FEDHA na mapenzi ya kweli wanaweza kuwa SUBSTITUTE ya warefu!
So usishangae Riziwani kubeba watoto wazuri, au Chicago na wengine unaowajua......... pesa ndiyo mpango mzima
 
Haha.. Swaga ni kwa watoto wa secondary, I'm grown a.s.s. Man! Brenda18.
 
mi naona inategemea, waweza kuwa mrefu kutongoza hujui kuhonga ndo kabisaa halafu hauko smart kichwani kuvaa majanga plus uyahaya unafikiri nitakupenda???

but wapo wafupi wanajua kusaundisha balaa,head iko fit wako smart kiaina ila tatizo la wafupi vinawivu halafu ni ving'ang'anizi balaa lol!!!!!!!!
 
hayo mapenzi ya kuangalia pua, macho, urefu, ufupi, baunsa au mwembamba mwisho form four na hata mtoa mada naona ni form two, siku hizi kinachoangaliwa ni future ya mtu tu kuwa mrefu hata mita hamsini kama huna kitu ni bureee, chamsingi tengeneza maisha yako tembelea mkoko wa heshima, nyumba ya kifahari utaona
 
mi naona inategemea, waweza kuwa mrefu kutongoza hujui kuhonga ndo kabisaa halafu hauko smart kichwani kuvaa majanga plus uyahaya unafikiri nitakupenda???

but wapo wafupi wanajua kusaundisha balaa,head iko fit wako smart kiaina ila tatizo la wafupi vinawivu halafu ni ving'ang'anizi balaa lol!!!!!!!!

Ushasema mwenyewe wafupi wanasaundisha mbaya ni pamoja na kuinvest......lazima watakuwa wana wivu, si wameinvest sana kwako????
Mwanaume yeyote anaeinvest moyo na resources kwa mwanamke lazima awe na wivu!! Haijalishi mrefu au mfupi!
Akina Mushi na Munisi nadhani ni warefu manake wachagga wengi ni warefu....
 
Ila watu wafupi huwa wanaongea sana! Sijui huwa wanahisi Kama hawaonekani. Lol
 
Vitu vitatu wanavyopenda wanawake:-
1. Pesa
2.Pesa
3.Pesa
Urefu au ufupi sio hoja, mm mwenyewe mrefu na sijawahiona mwanamke ananiambia your sexiest mpaka nitoe pesa.. Over!!!!!!!!!!
 
2215569_orig.jpg
Tyta ..... teh teh teh....
 
Last edited by a moderator:
Ushasema mwenyewe wafupi wanasaundisha mbaya ni pamoja na kuinvest......lazima watakuwa wana wivu, si wameinvest sana kwako????
Mwanaume yeyote anaeinvest moyo na resources kwa mwanamke lazima awe na wivu!! Haijalishi mrefu au mfupi!
Akina Mushi na Munisi nadhani ni warefu manake wachagga wengi ni warefu....

ndio maana nikasema inategemea, maana waweza ukawa mrefu na bado ukaonekana si chochote mbele ya mwanamke kwakukosa vigezo kadhaa
 
Vitu vitatu wanavyopenda wanawake:-
1. Pesa
2.Pesa
3.Pesa
Urefu au ufupi sio hoja, mm mwenyewe mrefu na sijawahiona mwanamke ananiambia your sexiest mpaka nitoe pesa.. Over!!!!!!!!!!

bora hata wewe umeongea ukweli, ukiwa mrefu then huna hela waweza itwa shotii (short)
 
Back
Top Bottom