hivi wanawake mmejikomboa au wanaume ndo wamewakomboa, mwanamke akiwezeshwa anaweza, ha! kumbe tumewawezesha mnaturuka?
Wanaume wa siku izi ni wanaume suruali akinyimwa hela na mwanamke ananuna na kususa kama wangu ni jana tu nimemtolea nje kuhusu hela leo kanuna mbaya na mimi nimesema potelea mabali anune mpaka apasuke
Nimesoma tu page ya
kwanza nimechefuka....hivi watu bado wana mawazo ya hivi!! basi
turudishe mambo yote ya zamani.
turudishe kuonea wanawake kwa kisingizio cha utiifu na upole.
turudishe kuwapiga kwa kisingizio kuwa ni wadhaifu na wameumbwa kupenda
kuonewa na wanaume.
turudishe kukeketa wanawake kuwapunguzia hamu ili mwanaume amiliki
wanawake wengi na ili aone aibu kuwa na mwanaume mwingine, akae na
mateso ya mumewe.
turudishe wanawake kuwa wamama wa nyumbani ili wawe mali ya wanaume na
mume akifa arithishwe.
tuwanyang'anye haki zote za umiliki na ufanya kazi walizo nazo ili
mwanaume aonekane ndo kila kitu bila yeye hamna kitakachoenda.
NYIE WOTE MNAOTETEA KUPIGWA NA KUONEWA KWA WANAWAKE, ILI MWANAUME
AONEKANE YUKO JUU, KWA SABABU YOYOTE ILE, NI WAJING.A WAPUUZ.I
WENDAWAZIMU WASENG.E.
HAMNA MAANA. MMEKOSA HESHIMA KWA SABABU HAMNA HADHI YA KUPEWA HESHIMA.
MNATAKA KUTUMIA NGUVU KUPEWA HESHIMA.
KWANZA MTU ANAYENG'ANG'ANIA KUONYESHEWA UOGA ANA MATATIZO YA
KISAIKOLOJIA. muende kutafuta counseling.
wamejirahisisha sana na kujenga mazoea ya ovyo kwa watu ambao hata hawajuani. Siku hizi WANAPENDA FASTA, WANAOLEWA FASTA, WANAZALISHWA FASTA, WANAACHWA FASTA, WANAANZA KUCHAKAA FASTA.
Mfumo wa maisha umewabadilisha wanaume ni lazima wanawake nao wabadilike.
Wanaume wa sasa hivi wengi wao wanathamini pombe kuliko famila
Wao marafiki ndio watu wa muhimu kuliko familia (mke na watoto)
Ni wabinafsi na wachoyo
Wao hawana usiri vitu vya ndani ambavyo vingemalizwa ndani unakuta kavileta hapa au anawaeleza wenzie (Vifua na makoromeo ya kiume hakuna tena)
Kitandani ni balaa unaunga unga na bado unaenda kutongoa tongoza nje yaani nguvu za kutafutiza halaf bado wanafu...ck nje
Wao kudekeza hawawezi ila wadeke wao
Kujilegeza legeza ni wao ile kujikaza na kusema kweli kuna baba hapa ndani hakuna.
wanawake zamani bhana, siku hizi wanavaa mawigi utadhani majani ya masale na wengine wanapaka rangi za goldstar machoni
Vyoo vya zamani vilikuwa vya shimo siku hizi vyakukaa sasa ukikaa utabeba maradhi ya wangapi?.Hao wa zamani walikuwa hawavai kabisa.Walikuwa hawapendi hela kwasababu mwanaume alikuwa anacover nafasi ya hela sasa siku hizi ni taabu ndio maana na wao wamejanjarukawalikuwa hawapendi hela na walikuwa wanapenda USAFIiiiiiii...walikuwa hawavai pichu za kambaaa..walikuwa wakikojoa WANACHUCHUMAAA...kha wa sasa
WANAKOJOA huku wamesimamaaaaaaaa
Hivi hujui hakuna wanaume kama wa zaman? Kwani waliweza kuwatunza wake zao na kuwaridhisha ; je wa siku hizi wanaweza? Na hiyo michepuko je? Jiulize
Bado hata nisipo vaa mimi utaenda kwa wengine wanaume hamna jema ninyi kila kitu kwenu ni kasoro .wanawake zamani bhana, siku hizi wanavaa mawigi utadhani majani ya masale na wengine wanapaka rangi za goldstar machoni
Wanaume wa zamani hawakua mashoga kama wa siku hiziiiii wanaume wachacheee jamaniiii