snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 18,422
- 25,320
heshima ya mwanaume ni kutengeneza boma lake na kulipa mipaka.
hapa ni kwa fulani.huyu ni mtoto wa.fulani,yule ni mke wa fulani,wale ni ng'ombe wa fulani.wenzenu walikuwa na identity zao!nyie mpo mpo tu!kitu pekee mnachomiliki kwa hakika ni dhakar zenu ambazo pia hamjui kuzitumia!
hapa ni kwa fulani.huyu ni mtoto wa.fulani,yule ni mke wa fulani,wale ni ng'ombe wa fulani.wenzenu walikuwa na identity zao!nyie mpo mpo tu!kitu pekee mnachomiliki kwa hakika ni dhakar zenu ambazo pia hamjui kuzitumia!