Wanawake walikuwa zamani

Wanawake walikuwa zamani

Wanaume wa siku izi ni wanaume suruali akinyimwa hela na mwanamke ananuna na kususa kama wangu ni jana tu nimemtolea nje kuhusu hela leo kanuna mbaya na mimi nimesema potelea mabali anune mpaka apasuke

Acha ubinafsi mpe mwenzako kama unazo.
 
Wanaume walikuwa zawani, walijua kulea, kutafuta chakula, kubembeleza na walikuwa na mda na familia zao ila wa siku hizi kutwa kulelewa.
 
Poa ndugu upo naona umetaka tuwaanike wenzio hapa live ha ha ha

huyo mwanaume hakufai, kwani baba yako au mama yako kwamba huwezi mbadili?
 
Wanaume walikuwa zawani, walijua kulea, kutafuta chakula, kubembeleza na walikuwa na mda na familia zao ila wa siku hizi kutwa kulelewa.

What One Man Doesn't Another Man Will, kwa kauli mbiu hii kuna kitu hapa wanaume wenzangu?
 
ndo vile tupo 2014 na tunaendelea mbele.....

kuweni tu makini na huko mbele, maana siku hizi mambo yote NYUMA, si unaona tunawasifia wanawaka wa miaka ileeee ya nyuma?
 
Mwanamke utazaa kwa uchungu nawe mwanaume utakula kwa jasho lakini siku hizi unazaa kwa uchungu na unakula kwa jasho vile vile mwanamke huyo huyo akuzalie huyo huyo akakutafutie hela na bado 6/6 vigoli viwili tena kwa shida na heshima akupe sidhan kama babu zetu walikuwa hivi na wakapata heshima kwa wake zao
 
Mwanamke wa Zamani alikuwa ni Msiri sio Mpayukaji kama wa sasa,alikuwa mtihifu na mtitii kwa mumewe,ACHEPUKI HATA KIDOGO hapa natoa mfano kwa Mama mdogo wangu,ambaye mume wake alienda kenya kutafuta maisha alikaa miaka 9 bila kuwa na taarifa nae sisi tukajua kafa,gafla akaonekana kenya tuenda kumchukua alikuwa na Maisha safi huko,cha ajabu Mke wake alikaa kwa baba mkwe akilea watoto na kufanya kazi huku akilea watoto na alikuwa na adabu ile mbaya na uhakika ajawai kusaliti Ndoa yake,Mpaka leo wapo na wote mambo safi,Mke mwema hutengeneza familia nyema juzi mwanae kaolewa alipomaliza chuo Mume wake kaja katoa Sadaka kwa kumkuta BIKRA,BABA MDOGO UMEPATA MKE HONGERA SANA
Huko uchagani huko nina wasiwasi kama baba mkwe hakupiga!!!
 
lazima wawe hivyo kwa mambo haya.

wamejirahisisha sana na kujenga mazoea ya ovyo kwa watu ambao hata hawajuani. Siku hizi WANAPENDA FASTA, WANAOLEWA FASTA, WANAZALISHWA FASTA, WANAACHWA FASTA, WANAANZA KUCHAKAA FASTA.
 
Wanaume walikuwa enzi hizo walijua majukumu yao ...decision making..kuwafikisha wake zao

Wanaume wa siku hizi chipsi yai...kulia lia tu hawana hela za kuhonga..
Na kulalamikia kutoona mishahara ya wake zao "wanaume wa sikuhizi"
 
Hizo sifa za wanawake enzi zile zilikwenda sambamba na mfumo dume. Kwa kuwa mfumo dume umepungua nguvu na unaelekea kufa, mabadiliko ni lazima. Wanandoa wanatakiwa "kuleana".
Haiwezekani wamama wakatae mfumo dume wakati huo huo watake kuhudumiwa na wanaume kwa kila kitu. mfumo dume ukifa, majukumu ni 50/50. Msitake kula keki na kubaki nayo wakati huo huo - haiwezekani!
 
Wanawake wa zamani hata ukimuolea mke mwenza halalamiki, Lakini wa siku hizi hata kabla hujamuoa akisikia una kitu kingine patachimbika.

Wanawake wa zamani walielewa kuwa idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume, waliondokana na ile One to One function na wakaikubali ile ya One to Many function.
 
wanawake wa zamani walikuwa wanahudumiawa .. wa sasa tunajihudumia tukiomba huduma utasikia kanifanya buzi

Au utaskia nawe si unafanya kazi...au si ujishughulishe upate za kwako utumie unavyotaka!! Wanaume wa siku hizi ni majanga, badala ya kuhudumia wanapenda kuhudumiwa instead...
 
Wanawake zamani, usafi ilikuwa jadi yao, hta ukiwa nae kwa bed unasikia ile harufu ya asili harufu mariwadha ya kike wanawake "the scent of woman" wanawake wa siku hizi usafi ni 0. Wanategemea msaada wa perfume na sabun za kunukia. Mtu unafuga makucha maref ka muuza sembe atawezaje kujiswafi huko chini.
 
Wanawake wazamani hawakua na tamaa..wa sahvi uta sikia mara babe sina vocha,mara cjui nataka kubadilisha cm,mara hela ya pedecure..manecure mara nataka wig kama la rihanna gauni ka la beyonce,kiatu kama cha katty perry ptuuuuuuuu upuuzi mtupu.
 
Nimesoma tu page ya kwanza nimechefuka....hivi watu bado wana mawazo ya hivi!! basi turudishe mambo yote ya zamani.

turudishe kuonea wanawake kwa kisingizio cha utiifu na upole. turudishe kuwapiga kwa kisingizio kuwa ni wadhaifu na wameumbwa kupenda kuonewa na wanaume.

turudishe kukeketa wanawake kuwapunguzia hamu ili mwanaume amiliki wanawake wengi na ili aone aibu kuwa na mwanaume mwingine, akae na mateso ya mumewe.

turudishe wanawake kuwa wamama wa nyumbani ili wawe mali ya wanaume na mume akifa arithishwe.

tuwanyang'anye haki zote za umiliki na ufanya kazi walizo nazo ili mwanaume aonekane ndo kila kitu bila yeye hamna kitakachoenda.

NYIE WOTE MNAOTETEA KUPIGWA NA KUONEWA KWA WANAWAKE, ILI MWANAUME AONEKANE YUKO JUU, KWA SABABU YOYOTE ILE, NI WAJING.A WAPUUZ.I WENDAWAZIMU WASENG.E.

HAMNA MAANA. MMEKOSA HESHIMA KWA SABABU HAMNA HADHI YA KUPEWA HESHIMA. MNATAKA KUTUMIA NGUVU KUPEWA HESHIMA.

KWANZA MTU ANAYENG'ANG'ANIA KUONYESHEWA UOGA ANA MATATIZO YA KISAIKOLOJIA. muende kutafuta counseling.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom