Wanawake walikuwa zamani

Wanawake walikuwa zamani

Wanawake walikuwa zamani bwana wasikuizi wakufuata klabuni huku watoto wakilia njaa

wee acha tu wanaume zamani bhana sikuhizi mkewe ananyonyesha nayeye atolea jicho nyonyo sijui mtoto anyonye nin sasa....
 
hivi wanawake mmejikomboa au wanaume ndo wamewakomboa, mwanamke akiwezeshwa anaweza, ha! kumbe tumewawezesha mnaturuka?

sasa kama tayari tulikuwa kwenye mfumo dume! lazima mwanaume mmoja alichombezachombeza akaenda "against all odds". mwanaume alianzisha vita. mwanamke anaindeleza.

mimi sisemi "haki sawa". mwanaume na mwanamke hawatoweza kuwa "sawa".

mke akizaa mwanaume na yeye hawezi kupewa leave ya miezi mitatu! homoni za mwanaume hazikai kubadilikabadilika kama mwanamke. jinsi ubongo wetu unavyofanya kazi ni tofauti. hata mfumo wa baba (au mama) kufanya kazi wakati mwenzake kakaa nyumbani haufai kwa maskini kama wewe (ha! ha!) wakati huu wa ubepari.

hata tukiamua mwanaume awe decision-maker, UONEVU HAPANA. Mwisho wa siku kila mtu awe na uhuru wa maamuzi.
 
Kwahyo hutaolewa mkuu?[/QU Mkuu kuolewa ni hatua nyingine baada ya hatua za kwanza kuonesha kufaulu.sasa kama hutaki niweke manywele na mimi nisipoweka hakuna nnachodhurika sitaweka .na hapo kama una matabia ya hovyo ambayo naona kwangu ni shida hayavumiliki hutaki kuyaacha heee!ya nini kukomalia ndoa isiyo na furaha off you go!
 
Wanawake zaman unamkuta anamiaka 28 lakin bado bikra anaitunza heshima ya mumewe mtarajiwa lakin sasa hivi unakutana na cave, mwanamke zaman ilikuwa mwiko kujibizana na mume wake mbele ya watoto hata akipigwa akiona watoto wamekuja anajifuta lakn sasa hvi duu!
Wanaume wa zaman halikuwepo suala la kumfumania mkewe alikuwa ni aibu kwa mwanaume ndio maana baba kama anarudi nyumban usk alikuwa anaanzia mbali kuimba ili kama kuna mwiz akimbia

hahahaaa, nimependa hapo mwisho, mume kuimba ili kama kuna mwizi akimbie
 
na wanaume walikuwa zamani akikupiga anakwambia nayamaza wasasaivi akikupiga basi mpaka njee atakutoa na kukuvua nguo na hadi watoto watajua na majirani, na mkiaachana basi matangazo mpaka magazetini utatolewa. ila wzamani unapigwa bakora ndani kwa ndani hakuna kujua. sasa unanaposema najifuta machozi nikikaribisha mtu nifute machozi wakati wewe mwanaume ikisikia hodi ndio kipgo kinazidi na matusi ili asikie anayekuja.
 
wanawake wa zamani walikuwa wanatunza bikra zao...sasa hivi wanampa yeyete mwenye kuhitaji...

hapo wanaume wasasa mnashangaza hizo bikra wanajitoa wenyewe au wanatolewa na wanaume wa zamani? usipoitaka unafkiri utaipata?
 
wanawake walikua zamani bhana ukimkumbatia na kumnyonya chuchu tu tayari kileleni, lakini cku hizi hata umpikiche kisimi hakojoi nyege zote zimekwisha kwa vitombo
 
lol!!! Naweza kuirudia kauli hiyo hata mara millioni rafiki 🙂🙂.....Umbea hauna mshahara wala posho lakini Wambea ndivyo walivyo!!!! Wala wasikukoseshe usingizi rafiki QA weye fanya ya kwako. Uwe na weekend njema.

ha haaaa, you can say that again rafiki
 
lol!!! Naweza kuirudia kauli hiyo hata mara millioni rafiki 🙂🙂.....Umbea hauna mshahara wala posho lakini Wambea ndivyo walivyo!!!! Wala wasikukoseshe usingizi rafiki QA weye fanya ya kwako. Uwe na weekend njema.
lol! got you rafiki
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Enzi zile mwanamke amepigwa na mumewe analia, akisikia tu hodii hodiii haraka sana anajifuta machozi na kuanza kucheka, wa siku hizi mbona ataenda kulilia kwa jirani ili dunia nzima ijue kapigwa au huyooo mahakamani. Hebu sasa tutumie uzi huu kutaja matendo ya wamama wa zamani ya kishujaa kama hili nililolitaja ili hawa watoto wa siku hizi kina miss neddy, DEMBA, mama la mama, miss chagga na wengine wajifunze.

Si kweli wanawake wa siku hizi akipigwa kidogo tu anajibandika picha kunako Facebook, Insta, na kwenda Global Publishers kujitangaza ili mradi tu apate bwana wa kumpoza kisha amfanyie naye vituko baada ya kumzoea. Na stori bado inaendelea....
 
kuweni tu makini na huko mbele, maana siku hizi mambo yote NYUMA, si unaona tunawasifia wanawaka wa miaka ileeee ya nyuma?

hao ni by chance tu walizaliwa miaka hiyo wakaishi hivo wangezaliwa leo wangeishi tunavoishi leo
 
Mbona na wanaume walikuwa zamani cku hiz ikibeba mimba akahisi co yake bas vikao na DNA inahusika lkn zamani utasikia kitanda hakizai haramu hp nakumbuka bb yangu mdomo aliongezewa wtt wawili wa jirani yk na alijua lkn hakusema kitu mpk kifo kilipowatenganisha

hahhaha kindergaten tu ada unakuta millioni,dna lazma apimwe mtoto
 
wanawake zamani bhana, siku hizi wanavaa mawigi utadhani majani ya masale na wengine wanapaka rangi za goldstar machoni

mwanamke sifa yake kujiremba.....wanae wa ss tunashindana kwa vipodozi na wengine kujichubua..hereni masikioni kweli huyo anastahili kuitwa baba wa familia kweli
 
Na kwa nini unampiga mwanamke?
Wallahi siku mwanaume atakayo nyanyua mkono wake kunipiga kofi na mahusiano yanavunjika sekunde hiyo hiyo
 
  • Thanks
Reactions: BAK

Similar Discussions

Back
Top Bottom