Wanawake wachaniwa nguo Mwanza

Wanawake wachaniwa nguo Mwanza

Ukiwa jobless utaona haraka nguo fupi,lakini kama ratiba yako ina mambo ya msingi , nguo fupi ni tone katika bahari. Wakati mwingine ushamba unahusika.
 
  • Thanks
Reactions: prs
hongera vijana wa mwanza kwa kutekeleza mawazo mazuri ya m-7, chana nguo zote wabaki uchi wazi nadhani hata wengine hawatatoka au watarudi kubadilisha nguo zao. Ikibidi hata suruali za kubana na hizo wavuliwe uvaaji wa namna hiyo ni kuonyesha kuwa ikijatokea tnzania ikapata rais mwanamke au waziri mkuu mwanamke basi wanawake wataruhusiwa kwenda kazini na vi-bikini

ukiona mtu anashabikia sana issue ya kuwachania kina dada nguo na kuwaweka uchi ujue huyo ni mpiga chabo sugu! tulitegemea katika situation hiyo umfunike huyo binti kwa kanga au hata gunia au gazeti hapo ungekuwa umeonyesha dhamira ya kweli kwa kile usichokitaka. mi naamini hawa jamaa wanafanya hivi ili wapate nafasi ya kuwachungulia dada zetu nyeti zao na wala si vinginevyo.
na ni aibu kwa binadamu kushindwa kucontrol emotion zako, kama unaweza kuchukua maamuzi ya kungonoka kwa sababu tu ya kuona mapaja ya mwanamke basi, you are as good as an animasl that are driven by instincts and not thinking!!!!!
 
Kuna tofauti kati ya sheria na maadili.maana sheria imewekwa na serikali inatoa adhabu au muongozo ila maadili ni vile jamii ilivyozoea kutenda katika usahihi sasa endapo mtu atakwenda kinyume cha maadili serikali haitamchukulia hatua kwani maadili si sheria mfano kuvaa nguo fupi,kuhudhuria msibani,kusalimia watu,kuvaa mlegezo na nk ila sheria ikivunjwa serikali husimama kidete kulishughulikia. Wanachofanya vijana wa mwanza ni kuvunja sheria ya nchi(shambulio la aibu) hivyo wasijione wako sahii hata kidogo.
 
Tangu juzi hapa jijini Mwanza kumezuka kundi la vijana wanaowasulubu wanawake wanaovaa nguo fupi. Muda mfupi uliopita hapa maeneo uhuru karibu na shule ya thakafa dada mmoja kavuliwa nguo zote kabaki kama alivyo zaliwa. Wasamaria walijaribu kumpa khanga nayo ikachanwa,waathirika wakubwa wamekua niwanafunzi wa viwo hususan st Augustine, CBE nk. Vijana hawa wanadai wanatekeleza agizo la rais Museven
Serikali izuie uovu huo ndivyo wanavyoanzaga kama Bokoharam,Alshababu, Alquida
 
Ukiamua kuwa moto basi kuwa moto, na ukiamua kuwa baridi basi kuwa baridi kuliko kuwa vuguvugu hata MUNGU alisema atakutapika!! ni bora watembee uchi kuliko kushawishi kwa kuvalia nusu uchi au ni bora wangevaa kinadhifu kabisa wapewe sifa bora!
Bora imejulikana wako uchi kabisa na tuone kama kesho watapenda kutembea uchi au wakiwa wamejisitiri vyema!

Hata shetani alitumia Biblia kutaka kumshawishi Yesu afuate matakwa tofauti na Mungu, hivyo nawe wafanye vile alivyotaka fanya Lucifa
 
ukiona mtu anashabikia sana issue ya kuwachania kina dada nguo na kuwaweka uchi ujue huyo ni mpiga chabo sugu! tulitegemea katika situation hiyo umfunike huyo binti kwa kanga au hata gunia au gazeti hapo ungekuwa umeonyesha dhamira ya kweli kwa kile usichokitaka. mi naamini hawa jamaa wanafanya hivi ili wapate nafasi ya kuwachungulia dada zetu nyeti zao na wala si vinginevyo.
na ni aibu kwa binadamu kushindwa kucontrol emotion zako, kama unaweza kuchukua maamuzi ya kungonoka kwa sababu tu ya kuona mapaja ya mwanamke basi, you are as good as an animasl that are driven by instincts and not thinking!!!!!

Hao dada zako tayari wanatembea uchi !
Wala huna haja ya kucha nguo kuona hizo nyeti zao mbovu!

We muangushie noti ya shs 5000 chini tu! Akiinama tu! ngoma yoote iko wazi!.

We unaoneka kuwadi au pashkuna mtetea ngono na zinaa inayo sababisha watu kufa hovyo na maradhi ya zinaa!

Nenda kafe kwengine. Hapo mwanza vijana wanafanya kazi ambayo serikali inatakiwa kuifanya!

Na mimi nawapa heko KUBWA SANA!

Watu kama nyie mnaotetea uchafu mnatakiwa mkusanywe mkatupwe kwenye kisiwa kama ukerewe halafu mnyang'anywe zile boti zote!

Mkapakuane huko mpaka mfe! Lkn msitoke nje ya hapo!

we busara zako na Mzito Kabwela na Remote ni sawasawa.

Mnfnsssssssssssss!
 
Last edited by a moderator:
Tangu juzi hapa jijini Mwanza kumezuka kundi la vijana wanaowasulubu wanawake wanaovaa nguo fupi. Muda mfupi uliopita hapa maeneo uhuru karibu na shule ya thakafa dada mmoja kavuliwa nguo zote kabaki kama alivyo zaliwa. Wasamaria walijaribu kumpa khanga nayo ikachanwa,waathirika wakubwa wamekua niwanafunzi wa viwo hususan st Augustine, CBE nk. Vijana hawa wanadai wanatekeleza agizo la rais Museven
Mtambo wa kurekebisha sheria.
 
Hii ndo komesha yao hao wadada. Wengine wanaiga tu kwani mkivaa nguo ndefu hampendezi,kila kitu kuiga kwa wazungu na mnaiga vibaya. Nguo za ufukweni mnavaa mtaani
 
Hii ndo komesha yao hao wadada. Wengine wanaiga tu kwani mkivaa nguo ndefu hampendezi,kila kitu kuiga kwa wazungu na mnaiga vibaya. Nguo za ufukweni mnavaa mtaani

Kwani uvaaji wa nguo Waafrika wameiga toka wapi?
 
kumbe na wewe ni mchana nguo za wanawake? pole sana, wapelekeni kwenye vyombo husika, hamna mamlaka ya kujichukulia sharia mkononi

Unafurahishwa na visuruari vya kubana mwili wale ndy wachaniwe pia. Sharia ipi uitakayo AIBU KUTEMBEZA Matekenya wazi ati uonekane soft kumbe minyama iliyojikunja mitepetepe. Aibu wawavue watacheka mbavu hawana kitu na box
 
kumbe na wewe ni mchana nguo za wanawake? pole sana, wapelekeni kwenye vyombo husika, hamna mamlaka ya kujichukulia sharia mkononi

Mkuu hivi Tz kuna mtu anatekeleza sheria kweli? Wako sawa tu mbona zanzibar wanafanyiwa na hamtetei
 
Unafurahishwa na visuruari vya kubana mwili wale ndy wachaniwe pia. Sharia ipi uitakayo AIBU KUTEMBEZA Matekenya wazi ati uonekane soft kumbe minyama iliyojikunja mitepetepe. Aibu wawavue watacheka mbavu hawana kitu na box

Mkuu nini maana ya Sharia,matekanya, ndy?
 
Mimi nadhani hawa wanadada dada wanaopenda vinguo vifupi, dawa yao ni ndogo sana, ni kupunguza adhabu ya kubaka kwa yeyote aliefanya ubakaji kwa mwanamke ambae amevaa nguo za kutamanisha. Maana mtu anapokuwa tempted kwenye Hilo suala, huwa na akili kidogo inakuwa inahama kwa mda mpaka suala hilo litoke. Sasa kama ni haki tu za kupeana hovyo hovyo, haki ya mwanaume anapokuwa tempted itakuwa haijazingatiwa sana pale anapo amua kuipa Roho yake kile alichokiona hapo. Maana siku zote mwanamke aliejistiri vizuri huwa ni automatic anaheshimiwa na watu na wala hawawezi kumchokoza chokoza ( flirt).

Pale mwanamke anapo vaa sketi fupi na ya kubana makalio yake, kumshika shika makalio isiwe ni kosa, maana anakuwa ameku tempt kufanya hivyo. Kisha tuone nani atakae thubutu kuvaa sketi fupi na ya kubana?

Like t!!!! Well done!!!. Kama ni kufata uzungu yapo mengi ya kuiga mazur na sio kimini. Hiv kwa akili tu wadada hawawezi tofautisha perception kwa anayevaa "yesu ni mwamba" (sket ndefu) na anaevaa min sket. Kuwa mwanachuo au kuelimika sio kuvaa kimin. Education must shape you postively,ndipo twaweza sema umeelimika. Emetoka kwenu kwa baba mchungaji umeingia jijini umeona wewe ndo wewe hakuna mwenye mapaja mazur kama wewe. Vijana wa mwanza nyie mchane tu kesho watapita na yesu ni mwamba na waislam watapita na mahijabu. Wanaotetea kuwa waafrika tunatembea uchi warud shule. Thats not in our culture & norms
 
Back
Top Bottom