Hahahahaha mbona mi sijavuliwa wamenigwayaaa nini,nilikua maeneo hayo
Mkuu acha kashfa, huwezi kumfananisha mwanajf mwenzio na katuni, je na wewe ukifananishwa na DOCTOR LOVE PIMBI au COMRADE KIPEPE utajisikiaje?
we siyo mzuri hata ukavaa fupi haijalishi walizani bro flan.....
wanamvalia nani nguo fupi wakati wanaenda kupiga pindi, wavuliwe kabisa tuone vyote.. safi sana majita
Na kabla ya kuja mzungu, hatukuwa na elimu ya darasani, hapakuwa na rais, hapakuwa na magari, kompyuta, simu, n.k, mbona hivyo hujasema kama tuvirudie ila kwenye nguo fupi ndo unadai inapaswa kurudiwa?. Mbona umesoma na hukuamua kukaa kama waafrika wa kabla ya wazungu? kama unaonaa kukaa uchi ni haki kwa mwafrika, basi usitumie hata internet na kila cha mzungu urudi enzi za kabla ya wazungu.
Shooyakibabe, is that you?
Mimi nadhani hawa wanadada dada wanaopenda vinguo vifupi, dawa yao ni ndogo sana, ni kupunguza adhabu ya kubaka kwa yeyote aliefanya ubakaji kwa mwanamke ambae amevaa nguo za kutamanisha. Maana mtu anapokuwa tempted kwenye Hilo suala, huwa na akili kidogo inakuwa inahama kwa mda mpaka suala hilo litoke. Sasa kama ni haki tu za kupeana hovyo hovyo, haki ya mwanaume anapokuwa tempted itakuwa haijazingatiwa sana pale anapo amua kuipa Roho yake kile alichokiona hapo. Maana siku zote mwanamke aliejistiri vizuri huwa ni automatic anaheshimiwa na watu na wala hawawezi kumchokoza chokoza ( flirt).
kumbe na wewe ni mchana nguo za wanawake? pole sana, wapelekeni kwenye vyombo husika, hamna mamlaka ya kujichukulia sharia mkononi
Ina maana Mu 7 amri zake zinatekelezwa hadi Mwanza?!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Kama unachukizwa na muonekano wa mguu wa mwnamke, lazima utakuwa ni shoga au hauko rijali. Kajichunguze. Mimi binafsi sina shida kabisa kutazama hii kazi murua ya Mwenyezi Mungu.
what are you talking about mckenzie? is there any more SHOOyaKIBABE than me?