.......uncivilized society...........
Right on mazee.
Halafu cha kushangaza zaidi unakuta wanawake wengine nao wanaona hayo manyanyaso ni sawa tu.
Lakini unategemea nini kwenye jamii ambayo haithamini utu wa mtu?
.......uncivilized society...........
Right on mazee.
Halafu cha kushangaza zaidi unakuta wanawake wengine nao wanaona hayo manyanyaso ni sawa tu.
Lakini unategemea nini kwenye jamii ambayo haithamini utu wa mtu?
hivi kama mtu mwenyewe hawezi kujitambua na kujiheshimu, ni nani atakayemheshimu yeye?
jamani dada zangu,mnapendeza sana hata msipoyabana makalio, hips na hizo nyonyo! mi nadhani mjiheshimu nanyi mtaheshimika tu.
vinginevo mkashawishi wajumbe wa bunge la katiba wapitishe katiba itakayoruhusu watu wote kutembea uchi hadharani... sipati picha uko njiani uchi na mwanaume unayeenda kupishana naye pia yuko uchi, halafu umeingia m.p.!
Tangu juzi hapa jijini Mwanza kumezuka kundi la vijana wanaowasulubu wanawake wanaovaa nguo fupi. Muda mfupi uliopita hapa maeneo uhuru karibu na shule ya thakafa dada mmoja kavuliwa nguo zote kabaki kama alivyo zaliwa. Wasamaria walijaribu kumpa khanga nayo ikachanwa,waathirika wakubwa wamekua niwanafunzi wa viwo hususan st Augustine, CBE nk. Vijana hawa wanadai wanatekeleza agizo la rais Museven
Kama unachukizwa na muonekano wa mguu wa mwnamke, lazima utakuwa ni shoga au hauko rijali. Kajichunguze. Mimi binafsi sina shida kabisa kutazama hii kazi murua ya Mwenyezi Mungu.
Acheni kuforce vitu mnavyothani ni ukweli. Kabla ya mzungu kuja africa, tulikuwa tunatembe uchi wa mnyama. In fact, ukitaka kudumisha utamaduni halisia ya mwafrica unakuwa unamaanisha kutembea uchi, kuabudu miungu na kuendeleza mawazo ya ushirikina kwa kuenda mbele.
Hivi toka mwanza hadi kwa musdveni na mwanza hadi dar mbali wapi? Inawezekana kina ngosha wanasiklza sana radio za uganda!
.......uncivilized society...........
mwanza ni Tanzania au ni Uganda mpaka hawa vijana wamnatii Mseveni?Tangu juzi hapa jijini Mwanza kumezuka kundi la vijana wanaowasulubu wanawake wanaovaa nguo fupi. Muda mfupi uliopita hapa maeneo uhuru karibu na shule ya thakafa dada mmoja kavuliwa nguo zote kabaki kama alivyo zaliwa. Wasamaria walijaribu kumpa khanga nayo ikachanwa,waathirika wakubwa wamekua niwanafunzi wa viwo hususan st Augustine, CBE nk. Vijana hawa wanadai wanatekeleza agizo la rais Museven
Operesheni tokomeza mini
Hhahhahah, hahahah! I just thought the comment is a little bit below your usual standards!
Umeona ee! bei ya nguo za watoto imepanda kinoma kisa mitindo ya kisasa,kuvaa nguo za wadogo zao imekuwa fasion.haya wavueni.
Hahahahaha mbona mi sijavuliwa wamenigwayaaa nini,nilikua maeneo hayo