JT2014
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 1,863
- 1,374
Mkuu bado somo la uraia linatakiwa sana,niliona kwenye skonga mwanafunzi mmoja aliulizwa rais wa Tanganyika ni nani akasema ALhassan Mwinyi,mwanza ni Tanzania au ni Uganda mpaka hawa vijana wamnatii Mseveni?
Hivyo nadhani kwa kuwa mZA kuna bidhaa nyingi kutoka uganda zinauzwa kwa hiyo vijana wanadhani rais wa tanzania ni M7.