CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Duh... Kumbe sie watu wa Mza ni Waganda??? Sijajua hili....
wanamvalia nani nguo fupi wakati wanaenda kupiga pindi, wavuliwe kabisa tuone vyote.. safi sana majita
Hahahahaha mbona mi sijavuliwa wamenigwayaaa nini,nilikua maeneo hayo
Navuta picha huenda akawa anafanana BETINA wa gazeti la SANI ndiyo maana hao vijana wamempotezea.
Kama unachukizwa na muonekano wa mguu wa mwnamke, lazima utakuwa ni shoga au hauko rijali. Kajichunguze. Mimi binafsi sina shida kabisa kutazama hii kazi murua ya Mwenyezi Mungu.
kama waliwakuta wanatembea uchi, sasa walikuwa wanawavua nini..??upuuzi wewe unaona kutembea uchi ni sifa.
Hapo blue ipo mkuu,ushawahi kuskia wananchi wenye hasira kali wanashtakiwa?kumbe na wewe ni mchana nguo za wanawake? pole sana, wapelekeni kwenye vyombo husika, hamna mamlaka ya kujichukulia sharia mkononi
Hahahahaha mbona mi sijavuliwa wamenigwayaaa nini,nilikua maeneo hayo
Duh... Kumbe sie watu wa Mza ni Waganda??? Sijajua hili....
Acheni kuforce vitu mnavyothani ni ukweli. Kabla ya mzungu kuja africa, tulikuwa tunatembe uchi wa mnyama. In fact, ukitaka kudumisha utamaduni halisia ya mwafrica unakuwa unamaanisha kutembea uchi, kuabudu miungu na kuendeleza mawazo ya ushirikina kwa kuenda mbele.Wanaiga wazungu,kiukweli ukienda ulaya wakati wa summer ni balaa,tatizo huku kwetu wanaume wanaingia majaribuni,wadada acheni kuvaa vimini
shida si miguu, ni mapaja.. au hujui nguo fupi huishia wapi?.. mlete mkeo home kwangu halafu atakusimulia kama mimi rijali au la
Navuta picha huenda akawa anafanana BETINA wa gazeti la SANI ndiyo maana hao vijana wamempotezea.
Hahahahaha mbona mi sijavuliwa wamenigwayaaa nini,nilikua maeneo hayo
Kama unachukizwa na muonekano wa mguu wa mwnamke, lazima utakuwa ni shoga au hauko rijali. Kajichunguze. Mimi binafsi sina shida kabisa kutazama hii kazi murua ya Mwenyezi Mungu.
Asee! Kuishiwa point kubaya sana. Sasa hapo hiyo hoja yako mbona haijaungika vizuri. Causal relationship ya kutazama-kuvua na hali ya kutokuwa shoga iko wapi? Mbona shoga pia anaweza kabisa akatazama na kuvua akiona alichopenda?Shoga ni wewe utazamaye bila kuvua. Rujali hutumiza haja za mwili wake kwa kuvua. Subiri utavuliwa.
walikuwa hawatembei uchi wa mnyama,walivaa ngoziAcheni kuforce vitu mnavyothani ni ukweli. Kabla ya mzungu kuja africa, tulikuwa tunatembe uchi wa mnyama. In fact, ukitaka kudumisha utamaduni halisia ya mwafrica unakuwa unamaanisha kutembea uchi, kuabudu miungu na kuendeleza mawazo ya ushirikina kwa kuenda mbele.