madogo yana afadhali.Makuuuuubwa!
Hakuna shida, nitaanzia Q-Bar kwa shots kidogo za yegabom.
YM hujipendi?Mie naona Lizzy ndio mrembo kuliko wote humu ndani
Kumbe unatumia ile kitu ya kuongeza naniliuuu......unatumia kavu au unamix na redbull?
Aaaaah, wantamanisha! ngoja nipige simyummy yummy aaaahhhhhhmmuuuuuu denda lina tokaaa
yummy yummy aaaahhhhhhmmuuuuuu denda lina tokaaa
YM hujipendi?
mie naona kongosho,huyu huwa ananikosha kwa majibu yake!
Si ndio uwataje sasa?Kwa avatar siwafahamu but in ninaowafahamu aisee kuna wanne wako hot sana