Wanawake wa JF. . .who is hot, who is not.

Nitaje tu usiogope mimi siwezi kuwa na bifu kwa mrembo kama wewe
Yummy, nikikusoma nakumbuka matangazo fulani ya kuku wa kupaka
"Yumyyyy, it is fingerlicking good". and it was sooo suggestive, very hot.
 
Last edited by a moderator:
Eti kuna members wananiambia Lizzy ana sura kama ya Maria Mutola a.k.a. Bi kidude!
Kwendeni zenu nyie sijui mkoje!
 
Eti kuna members wananiambia Lizzy ana sura kama ya Maria Mutola a.k.a. Bi kidude!
Kwendeni zenu nyie sijui mkoje!

Hahahaha. . .hata hawajakudanganya Mungi. . .ila wana vimbelembele kweli.
 
Last edited by a moderator:
mie namkubali AfroDenzi..
Binti wa ukweli,ana maswagga ya kijanja,mnana,so hot ..
Kikubwa chochote anachopost unafeel amepost mtoto wa kike..


Ivi Gaijn yuko wapi sku izi??
Uyu nae nilipenda misimamo yake japo alikuwa ananiuzi
 
Kwa avatar siwafahamu but in ninaowafahamu aisee kuna wanne wako hot sana
 
Back
Top Bottom