Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Hahahahaha, mi sitaki beef na mtu humu jamaniHahahaha. . Mwali kabla sijasema wewe ni hot/cold naomba unifurahishe hapo mwisho maana ndo paliponigusa.
watu wakimsoma Mwali ni full kutabasam, no pain.
Sasa nikisha sema fulani ni absolute turn off kwangu
Lazima atachukulia negative, (but ni NOT HOT kabisaaaa)