Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Wanawake tujikumbushie vituko vya leba

Sasa hiyo trela,,,kuna kubwa mbili ndo nikikumbuka naliaga tuu

Ntakusimulia moja.
Unajua uzazi wa kwanza unakua hujui vitu ,,sasa ikafika muda nimeshikwa haja ndogo lakini haitoki,( naskia mtoto anaweza gandamiza pale kwenye kibofu)kila nikienda haja haitoki,,nikaanza kuhisi maumivu makali sana,,nikaita nesi,,akaja kwa ukali,, nini?? Nikamwambia nesi tangia Jana usiku sijakojoa mkojo hautoki ( tangia SAA mbili usiku mpaka saa mbili asbh) akanambia pumbavu wewe kwa hiyo Mimi Nije kukukojolesha Nina kazi zangu usiniite ,,akaondoka. Kufika saa NNE nikaona kama sasa nakufa,, kama nataka kupasuka,,nikaita kwa yowe kubwa kwa uchungu sana,,,nilikua na mwenzangu mmoja( tuliweka chumba chetu Tulikua na pressure) akaita nesi njoo naye akawa anaogopa akajua nakufa,nesi akaja nikamwambia tena akafyonza akaondoka, ,Bahati muda ule kuna kijana wa field akapita ( Mungu ambariki aliko) nikamwambia akasema nipe hela nikanunulie mpira nje,,akaja akaniwekea ,,yani pale pale kifuko kikajaaa,,akasema Dada ulikua unapasuka kibofu,,SITASAHAU ,,,
Hakuna,, havihusiani.kuna Dada niliyekua naye,,alikua na tumbo limekaa km Chungu afu liko juu halijashuka na siku zimefika,,waliitana wanacheka njooni muone tumbo gani hili,,,tumbo kibuyu,,aisee nilijionea maajabu ya dunia,,,
Pole sana darling kwa machungu uliyopitia, aisee hawa ndugu zetu sijui wana roho za aina gani, hakika umewasemea wanawake millions wanaotaabika huko mahospitalini....

Wenzetu wapo mbele kwa kila kitu, hata kujali na kuliwaza wametupita.
Sijawahi kuona mama anauchungu halafu anapewa maneno ya karaha na kupigwa juu.
 
Sasa hiyo trela,,,kuna kubwa mbili ndo nikikumbuka naliaga tuu

Ntakusimulia moja.
Unajua uzazi wa kwanza unakua hujui vitu ,,sasa ikafika muda nimeshikwa haja ndogo lakini haitoki,( naskia mtoto anaweza gandamiza pale kwenye kibofu)kila nikienda haja haitoki,,nikaanza kuhisi maumivu makali sana,,nikaita nesi,,akaja kwa ukali,, nini?? Nikamwambia nesi tangia Jana usiku sijakojoa mkojo hautoki ( tangia SAA mbili usiku mpaka saa mbili asbh) akanambia pumbavu wewe kwa hiyo Mimi Nije kukukojolesha Nina kazi zangu usiniite ,,akaondoka. Kufika saa NNE nikaona kama sasa nakufa,, kama nataka kupasuka,,nikaita kwa yowe kubwa kwa uchungu sana,,,nilikua na mwenzangu mmoja( tuliweka chumba chetu Tulikua na pressure) akaita nesi njoo naye akawa anaogopa akajua nakufa,nesi akaja nikamwambia tena akafyonza akaondoka, ,Bahati muda ule kuna kijana wa field akapita ( Mungu ambariki aliko) nikamwambia akasema nipe hela nikanunulie mpira nje,,akaja akaniwekea ,,yani pale pale kifuko kikajaaa,,akasema Dada ulikua unapasuka kibofu,,SITASAHAU ,,,
Kwa kweli hizi storia sikia kwa wengine,pole kwa hiyo expetience
 
Hakuna,, havihusiani.kuna Dada niliyekua naye,,alikua na tumbo limekaa km Chungu afu liko juu halijashuka na siku zimefika,,waliitana wanacheka njooni muone tumbo gani hili,,,tumbo kibuyu,,aisee nilijionea maajabu ya dunia,,,
Kama ni kweli hao hawakuwa manesi ni vimeo
 
Pole sana darling kwa machungu uliyopitia, aisee hawa ndugu zetu sijui wana roho za aina gani, hakika umewasemea wanawake millions wanaotaabika huko mahospitalini....

Wenzetu wapo mbele kwa kila kitu, hata kujali na kuliwaza wametupita.
Sijawahi kuona mama anauchungu halafu anapewa maneno ya karaha na kupigwa juu.
Sisi wengi wanaosomea nursing ni waliofeli,,sio kupenda,,,,ndo mana . private wanalazimika kuwa wastaarabu kwa sababu ya kulinda kazi
 
Badae nilikuja kuanza kuhisi labda ni mawakala wa mashetani, ,sio kawaida,, ingawa Morogoro Hosp hayo mambo ni kawaida sana
Kwa waliojifungulia private wataona kama haya hayapo,ila kama wamo humu wajirekebishe,ukomtenda vibaua mjamzito wakati wa uchungu na bahati mbaya mwanaye akafariki hata utumie lugha gani hatakuelewa,somethong need to be done
 
Iliwahi tokea mke wangu kapigwa picha kaambiwa ana mapacha but mwisho wa siku akapewa mtoto mmoja mfu tena kwa ukatili wa hali ya juu.Hadi leo nikiangaliaga ile kadi na mimba ilivyokuwa kubwa na kumtesa hadi namuogesha nakumbuka mengi.Manesi wengine siyo kabisa.Duuuh.
 
Iliwahi tokea mke wangu kapigwa picha kaambiwa ana mapacha but mwisho wa siku akapewa mtoto mmoja mfu tena kwa ukatili wa hali ya juu.Hadi leo nikiangaliaga ile kadi na mimba ilivyokuwa kubwa na kumtesa hadi namuogesha nakumbuka mengi.Manesi wengine siyo kabisa.Duuuh.
Pole Sana, mimi pia ni mchanga wa hospitali zetu za serikali. Ila hakikisha kama mkeo ni mjamzito uwe unamweka kwenye maombi Sana. Pia kumbuka kuombea hao watakaomuhudumia mkeo. Ni jambo dogo lakini limetusaidia Sana. Mungu anasikia na atajibu. Usiku mwema.
 
Morogoro Hosp nikienda kujifungua pale, ukilia unapigwa kama mtoto, wale waupe mpaka wa napata wekundu kwa makofi. Mi hawakunipiga ila waliniulia mtoto.


Unanyanyaswa mpaka unaona hiki nini,,,sitasahau pale uchungu umekolea naambiwa nenda kafate dawa nje( sikujua kumbe wanataka rushwa) nikaanza kutambaa kwenda( kumbuka sakafu ya leba na serikalini uchafu wake) nilipofika mlangoni nikaskia we vipi wewe rudi,,utaendaje sasa


Aiseee I have a tale to tell
Duh! Pole sana lakulini mateso haya yatapungua endapo tutayaweka wazi nao wataogipa
 
Morogoro Hosp nikienda kujifungua pale, ukilia unapigwa kama mtoto, wale waupe mpaka wa napata wekundu kwa makofi. Mi hawakunipiga ila waliniulia mtoto.


Unanyanyaswa mpaka unaona hiki nini,,,sitasahau pale uchungu umekolea naambiwa nenda kafate dawa nje( sikujua kumbe wanataka rushwa) nikaanza kutambaa kwenda( kumbuka sakafu ya leba na serikalini uchafu wake) nilipofika mlangoni nikaskia we vipi wewe rudi,,utaendaje sasa


Aiseee I have a tale to tell
Pole sana mkuu
 
Morogoro Hosp nikienda kujifungua pale, ukilia unapigwa kama mtoto, wale waupe mpaka wa napata wekundu kwa makofi. Mi hawakunipiga ila waliniulia mtoto.


Unanyanyaswa mpaka unaona hiki nini,,,sitasahau pale uchungu umekolea naambiwa nenda kafate dawa nje( sikujua kumbe wanataka rushwa) nikaanza kutambaa kwenda( kumbuka sakafu ya leba na serikalini uchafu wake) nilipofika mlangoni nikaskia we vipi wewe rudi,,utaendaje sasa


Aiseee I have a tale to tell
Dah pole sana mamii....stori yako imenihuzunisha..Mungu atusimamie wanawake wote tunapitia makubwa
 
Sasa hiyo trela,,,kuna kubwa mbili ndo nikikumbuka naliaga tuu

Ntakusimulia moja.
Unajua uzazi wa kwanza unakua hujui vitu ,,sasa ikafika muda nimeshikwa haja ndogo lakini haitoki,( naskia mtoto anaweza gandamiza pale kwenye kibofu)kila nikienda haja haitoki,,nikaanza kuhisi maumivu makali sana,,nikaita nesi,,akaja kwa ukali,, nini?? Nikamwambia nesi tangia Jana usiku sijakojoa mkojo hautoki ( tangia SAA mbili usiku mpaka saa mbili asbh) akanambia pumbavu wewe kwa hiyo Mimi Nije kukukojolesha Nina kazi zangu usiniite ,,akaondoka. Kufika saa NNE nikaona kama sasa nakufa,, kama nataka kupasuka,,nikaita kwa yowe kubwa kwa uchungu sana,,,nilikua na mwenzangu mmoja( tuliweka chumba chetu Tulikua na pressure) akaita nesi njoo naye akawa anaogopa akajua nakufa,nesi akaja nikamwambia tena akafyonza akaondoka, ,Bahati muda ule kuna kijana wa field akapita ( Mungu ambariki aliko) nikamwambia akasema nipe hela nikanunulie mpira nje,,akaja akaniwekea ,,yani pale pale kifuko kikajaaa,,akasema Dada ulikua unapasuka kibofu,,SITASAHAU ,,,
Duh! Pole sana mpendwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom