Wanawake this is the harsh reality

Wanawake this is the harsh reality

Kaanza na ujinga kusema naropoka sikua na haja ya kufika huku, kuna muda mtu anakujaribu ili aone upande wa pili wa shilingi
Haya baba mfukuzeni huyu shetani jamani☹️☹️Malumbano hayana maana kabisa naimani nyote wawili huku kuna watu mnaheshimiana nao..msifike huko tafadhali. Iceberg9 na Extrovert hakuna haja ya kufika mbali brothers nawaomba.
 
sijawahi kuwa kwenye ndoa ila nachojua maelewano/chemistry ndo kitu Cha muhimu zaidi.japo inasemekana ndoa nyingi baada ya miaka 10 -15 huwa zinakuwa hoi
Upo sawa, na chemistry huwa mnaipata kama mkiwa mnazungumza punde mkiingia tofauti, mapema kabla jua halijazama, heshima, utii, hofu ya Mungu na busara ni nguzo pia kwa wanandoa,

Na wanandoa wanatakiwa wawe wanasali kwa pamoja nyumbani na kwenda kwenye nyumba za ibada
 
Hapana sina ubaya wowote na jamaa, rejea hoja zangu za awali utagundua yeye ndiyo kaanza matusi, hoja yangu ilikua ni kupinga hoja ya huyo mwanamke, yeye kaniambia naropoka sasa naropokaje
Mkuu nimesoma uzi mpaka mwisho, nakiuhalisia wewe na Extrovert sioni mnachotofautiana labda hukuielewa video, wewe ukichosema nidem huyo kuexpose vitu vyake vya ndani yandoa, ndio jamaa akakujibu unamfaham status yahuyo mwanamke. Huyo mwanamke anazungumzia ujinga aliofanya mpaka akaachika kwa lengo lakufundisha wakina dada wengine, kuwa watii kwa waume zao. Sema nahisi mmepishana tu katika maelewano lkn wote mnazungumza lugha moja ya mwanamke kutii mwanaume . Mjaribu kutulia nakuvumiliana kiongozi, kupishana katika lugha msianze kutukanana matusi yasio na msingi kaka mkubwa.
 
Haya baba mfukuzeni huyu shetani jamaniMalumbano hayana maana kabisa naimani nyote wawili huku kuna watu mnaheshimiana nao..msifike huko tafadhali. Iceberg9 na Extrovert hakuna haja ya kufika mbali brothers nawaomba.
Shetani leo kapata upenyo sio hulka yangu ila poa, Yesu atanisamehe kwa pale nilipoteleza, jirani wewe ni hodari sana kwenye upatanishi Mungu amekupa hiyo Kalama uitunze, heri wapatanishi maana........
 
Shetani leo kapata upenyo sio hulka yangu ila poa, Yesu atanisamehe kwa pale nilipoteleza, jirani wewe ni hodari sana kwenye upatanishi Mungu amekupa hiyo Kalama uitunze, heri wapatanishi maana........
Ndo na mimi nashangaa umekumbwa na nini jirani😅😅

Halafu mi nawaonaga kama ndugu mjue nafikiri nilishawahi kuwaambia hili..
Itabidi leo twende mlimani mimi,wewe na Extrovert tukafanye maombi ya kuimarisha ulinzi.😆
 
Mkuu nimesoma uzi mpaka mwisho, nakiuhalisia wewe na Extrovert sioni mnachotofautiana labda hukuielewa video, wewe ukichosema nidem huyo kuexpose vitu vyake vya ndani yandoa, ndio jamaa akakujibu unamfaham status yahuyo mwanamke. Huyo mwanamke anazungumzia ujinga aliofanya mpaka akaachika kwa lengo lakufundisha wakina dada wengine, kuwa watii kwa waume zao. Sema nahisi mmepishana tu katika maelewano lkn wote mnazungumza lugha moja ya mwanamke kutii mwanaume . Mjaribu kutulia nakuvumiliana kiongozi, kupishana katika lugha msianze kutukanana matusi yasio na msingi kaka mkubwa.
Ahsante sana kwa kulilainisha na kulifumbua zaidi, nashukuru kwa kufanya kutafuta kilicholeta sintofahamu nakutambua wapi mistake ilitokea, all in all tunachangia humu lakini pia ni vyema kuwa makini huwa napenda kushauri kitu kisichomletea mtu mwingine matatizo na kikamjenga, maana kuna watu humu huwa wanabeba ushauri kama ulivyo.
 
I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.

A women needs a man just as much as a man needs a women.

Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
This kind of a woman is rear to find,ume comment madini yenye akili sana,it can only take a wise woman to understand you...
 
Poa jirani imeisha kwa moyo mweupe kwa upande wangu kirohoo safi, watu wengi ime wa disturb.
🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️🤸‍♂️
🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀
🥂🥂🥂🥂🥂🥂

Halafu leo ni wikend jirani unajaribu kuizungumziaje🤪🤪
 
I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.

A women needs a man just as much as a man needs a women.

Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
Comment yako nimependa sana, sio kwa vile ni mwanaume na nataka "heshima na utii", lakini kwa vile tunahitajiana. Anayekuja kusema women/men this or that, huyo ana lake jambo na huenda mahusiano sio fungu lake. Hongera kwa comment nzuri.
 
I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.

A women needs a man just as much as a man needs a women.

Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
Point
 
alichosema huyo hutokea, kuna wanaume huitumia vibaya nafasi yao lakini kwa kua lawama za ndoani ashatupiwa mwanamke zigo hubebeshwa yeye, kuna me wanaongea na michepuko hata wakiwa mbele za wake zao alafu ke akija zingua utasikia wanawake wa sasa hawafai, tukiishi nafasi zetu za uanaume kama walivoishi mitume wa mungu kwa kuwaheshimu wake zao sidhani kama haya makando kando ya wanawake tutayaona, tizama ibrahimu alipotaka kuzaa na kijakazi wake alimuomba ruhusa mkewe na wala hakumkosea adabu kisa hazai ndo maana hata kijakazi alipokosa adabu kwa sarah kisa kuzaa bado ibrahim alimsikiliza mkewe na kumuondoa kijakazi ili mkewe asikwazike, huu ndo uanaume tunaotakiwa kuwa nao na sio kuwakandia tu ke akati hata sisi wenyewe baadhi ni mapopoma na ndo waanzilish wa migogoro mingi ndoani
Hivi janamke kama Joyce kiria, ulipeleke mwendo wa mke wa huyo Ibrahim pataeleweka kweli?
 
Alot has been said multiple times ila imekuwa ni malumbano yasio na mwisho tu. Nimewaletea clip hii japo iwe funzo na muweze kuelewa kuwa nini hasa tunahitaji katika ndoa ili kujenga familia yenye amani na furaha.

Ni life experience ya ndoa na funzo toka kwa mwanamke ambaye aliolewa akaachika sababu ya kuendekeza upumbavu. Kuna la kujifunza before hamjajigeuza ma superwoman.
View attachment 1608998View attachment 1609232
Sawa!
 
And you’d always here about what a woman has to do for a man to keep him, but never will you ever hear nothing about how men should behave to keep their wives... I’ve been fed these nonsense for so long I’m actually really tired of hearing them nimechoka kusikia hizi habari za kuongelesha wanawake jinsi ya kuvumilia ujinga na kuwa submissive kwa wanaume ambao hawajielewi kabisa, ndoa ni ya watu wawili lkn ndoa nyingi za africa wanawake ndo wanafanya kazi kubwa kuziweka ziwe in shape ndo mana zinafeli. Lets stop all these please tuongelee vitu vingine
Tulia single maza, tii mwanaume siku zako zipate kuwa tele duniani
 
Extrovert rafiki yangu basi msilumbane jamani..mbona ni mambo ya kawaida tu..binafsi sipendi malumbano
Rule of the thumb:
Ukiwa mtu mzima act accordingly, thats called discpline!

Huwezi kwenda kusokotea bangi kwenye counter ya polisi ati kwa sababu una haki ya kufanya jambo lolote bila kuingiliwa ndani ya TZ. Utawajibishwa tu!
 
Kimsingi heshima ni kiunganishi kikubwa sana baina ya wanyama, binadamu wote hata kazini, barabarni, kwenye familia, bus n.k. Panapoishi watu zaidi ya wawili yawapasa kuheshimiana.

Tunamfundisha mwanamke heshima tunamuacha mwanaume kwenye mafundisho haya tunakosea. Mwisho tutakuwa na familia zenye mama mwenye heshima ila baba ni mkiritimba, hashauriki, anafanya lolote na haulizwi, anasaliti ndoa ila anapaswa aulizwe kwa unyenyekevu wakati kaumiza mwenzake.
Madhara yake ni kuzalisha vizazi vya wanawake wenye visasi kulipiza kulingana na maumivu waliyoyapitia muda mrefu.

Kina baba, kina mama, watoto hebu tuyeyushe mioyo yetu! Tujaliane, tuombane radhi tunapokoseana, tusichepuke, tusiwe na masiri mazito mazito yakuangamiza familia.
N:B. Familia lazima iwe na kiongozi mmoja ambaye anatambulika ambaye atatoa kauli ya mwisho baada ya kusikiliza kwa makini maoni ya mwezake.
Mia kwa mmoja, hiyo ni exceptional case, wanawake wengi pasua vichwa
 
Back
Top Bottom