Wanawake wana maajabu jaman. I have a friend ambaye mwanamke anaeish nae amemkataza jamaa asije hata kwangu sababu mimi namwambia jamaa ukweli, huyu mwanamke anamtesa jamaa na kamfanya jamaa zombie familia ya jamaa yote wanajua na hawana la kufanya. Ukimuuliza jamaa anasema yeye ana exercise haki sawa. Mfano, most of the times jamaa akiwa hayupo job au kwake he is hanging with me, he is my best friend sasa basi atapigiwa video call ataulizwa upo wapi, upo na nani ? nimwone huyo mtu , na vitu kama hivyo mshikaji anakuwa forced kudanganya sana ili aaminike, anateseka sana. Mmeenda sehemu mmeagiza nyama na bia moja moja itapigwa simu(video call), uko wapi , nataka baada ya dakika tano uwe hapa, jamaa atatoka nduki kama kafungwa engine ya jet.
Mimi sio muumini wa mambo ya haki sawa kivile ila pia i dont oppress women. Ila kupitia mfano wa jamaangu aisee mwanamke lazima awe chini yangu nikikuona unaleta ujuaji nakukula kimasihara nakupiga chini kimya kimya hata hauta jua na wala huwez leta kiherehere yako sababu i will be very very aggressive and cruel na nakosa kabisa ushirikiano, huo ushetan wako mpelekee mwanaume mwingine sababu kuna wale mazombie wa YES MADAM ALL THE WAY...