Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 26,765
- 51,267
Badilisha simuHizi clip mbona huwa hazifunguki kwa simu yangu...Au laana ya umasikini imefika Hadi kwa Tecno yangu...Dooooh!![]()
Badilisha simuHizi clip mbona huwa hazifunguki kwa simu yangu...Au laana ya umasikini imefika Hadi kwa Tecno yangu...Dooooh!![]()
Kwani mabubu si wapo mkuu? Tafuta bubu wako ukaishi nae sababu mwanamke kuongea ni asili ila mwanamke kuwa na hekima ni baraka kwa familia.Siungi mkono hoja, mwanamke akishakua talkative anapoteza mvuto wa kuwa mkr bora/mama bora,
Safi sana, yani it is very nonsenseNONSENSE!
Ukiona mikono haiungiki jirani unga miguu🤪🤪Bado sijaunga mkono
Unajua status ya huyo mwanamke au umeamua kuropoka tu?Hiyo ya kujifanya kuwa open open open sipendezwi na mwanamke anaezungumzia sana mahusiano yake au kumuongelea mume wake either kwa mazuri au kwa mabaya, usi support hii rubbish,
Kwa Msaada Wa Watu Wa MarekaniNimeomba ufadhili kwa Watu wa Marekani...Wamesema kuna iPhone 4 zipo za mtumba watanitumia.
Hivi kumbe uko vizuri hivi mdau, hongera sanaI've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.
A women needs a man just as much as a man needs a women.
Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.


Nitakusearch nikusome vizuri kumbe, siyo kwa madini haya leoMwanamke na mwanaume hawapo sawa...japo Ni marafiki wakuubwa Sana..niwatu wakaribu Sana..
Mwanaume Ni Authority na anapambana kwa ajili ya familia..sijui Sasa Unvyotaka amtii mwanamke una maana gani.labda sijakuelewa.
@creditanalystYani leo ningekuwa nipo vizuri ningekwambia uje makumbusho uchague iPhone unayopenda niilipie fasta. This is how a real woman should be and thinkumekuwa positive sana leo.
Yaan sikuwa namchukulia hivi hata mimi.Anaemiliki huyu mtu aoe haraka , kuna mwanamke hapa
Word.. upo wap nikupe windhoek baridiiiiìiI've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.
A women needs a man just as much as a man needs a women.
Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
And you’d always here about what a woman has to do for a man to keep him, but never will you ever hear nothing about how men should behave to keep their wives... I’ve been fed these nonsense for so long I’m actually really tired of hearing themnimechoka kusikia hizi habari za kuongelesha wanawake jinsi ya kuvumilia ujinga na kuwa submissive kwa wanaume ambao hawajielewi kabisa, ndoa ni ya watu wawili lkn ndoa nyingi za africa wanawake ndo wanafanya kazi kubwa kuziweka ziwe in shape ndo mana zinafeli. Lets stop all these please tuongelee vitu vingine
Aisee nime download hiyo app lakin hizi attachment hazifunguk .. nifanyejeDownload App Ya Videoder""" Ama Vidmate"""""zen''' ukienda ifungua unaisukumia hapo"" ni fasta tuu"" utaziona""" na ata_kuzichukua ukitaka
Asante![]()