Wanawake this is the harsh reality

Wanawake this is the harsh reality

Wanawake wana maajabu jaman. I have a friend ambaye mwanamke anaeish nae amemkataza jamaa asije hata kwangu sababu mimi namwambia jamaa ukweli, huyu mwanamke anamtesa jamaa na kamfanya jamaa zombie familia ya jamaa yote wanajua na hawana la kufanya. Ukimuuliza jamaa anasema yeye ana exercise haki sawa. Mfano, most of the times jamaa akiwa hayupo job au kwake he is hanging with me, he is my best friend sasa basi atapigiwa video call ataulizwa upo wapi, upo na nani ? nimwone huyo mtu , na vitu kama hivyo mshikaji anakuwa forced kudanganya sana ili aaminike, anateseka sana. Mmeenda sehemu mmeagiza nyama na bia moja moja itapigwa simu(video call), uko wapi , nataka baada ya dakika tano uwe hapa, jamaa atatoka nduki kama kafungwa engine ya jet.

Mimi sio muumini wa mambo ya haki sawa kivile ila pia i dont oppress women. Ila kupitia mfano wa jamaangu aisee mwanamke lazima awe chini yangu nikikuona unaleta ujuaji nakukula kimasihara nakupiga chini kimya kimya hata hauta jua na wala huwez leta kiherehere yako sababu i will be very very aggressive and cruel na nakosa kabisa ushirikiano, huo ushetan wako mpelekee mwanaume mwingine sababu kuna wale mazombie wa YES MADAM ALL THE WAY...
 
And you’d always here about what a woman has to do for a man to keep him, but never will you ever hear nothing about how men should behave to keep their wives... I’ve been fed these nonsense for so long I’m actually really tired of hearing them nimechoka kusikia hizi habari za kuongelesha wanawake jinsi ya kuvumilia ujinga na kuwa submissive kwa wanaume ambao hawajielewi kabisa, ndoa ni ya watu wawili lkn ndoa nyingi za africa wanawake ndo wanafanya kazi kubwa kuziweka ziwe in shape ndo mana zinafeli. Lets stop all these please tuongelee vitu vingine
Yapo masomo mengi jinsi ya kukaa na kuishi vizuri na mke au mpenzi wako, narudia yapo mengi Sana, Ila hujayaona na hujayatafuta kwa sababu wewe sio mwanaume. Wanaume wanaohitaji wanayatafuta na kupata elimu huyo.

Kwa wale walio waislamu yapo mafunzo yanafundisha hivyo kwa kuanzia Kuna kitabu kinaitwa "furaha katika ndoa" , kimeeleza kwa undani majukumu ya pande zote. Pia Kuna masomo ya majukumu ya mwanaume katika ndoa yanaelezea vizuri mambo yote, jinsi ya kumpenda mke na kuishi nae, na pia hii phrase ya mwanamke kumtii mume inamaanisha nini, kutii sio kule kwa kitumwa au kikondoo, Kuna utaratibu umewekwa vizuri tu, na ukisoma unaelewa. Hebu tusome Kwanza na kuelewa maana ya maandiko. ni information ambayo inakuweka huru kama mume au mke.
 
Unajua status ya huyo mwanamke au umeamua kuropoka tu?
Status yake juu ya nini, acha mambo ya wanawake utakua mwanamke, umemsikiliza ukaingiwa mazima, mtakua mnafanana kitabia, huo upuzi nani aundekeze ndiyo maana kaachika, unatafuta sympath kiboya hivi
 
Mimi mwenyewe nimechoka kwa kweli khaaaaa
Usichoke kusikia ukweli my sista. Mume na mke wakiishi kama Mungu alivotuelekeza mbona ndoa ni paradiso kabisa. Shida tumekengeuka

After all hizo za kidhungu mnazo-refer to mbona hazidumu sasa?! Hakuna watu wenye mahusiano delicate kama wazungu. Si bora mara 100 ndoa zetu hizi za kiafrica zinadumu.
 
Nitakusearch nikusome vizuri kumbe, siyo kwa madini haya leo
Yaani gap ni kubwa, kumbe huwa anapasua kichwa tu, yeye yupo pembeni anaendelea na perspective zake kiulaini,
 
Ukiona mikono haiungiki jirani unga miguu
Jirani huyo mwanamke anatafuta huruma kiboya sana, hawa ndiyo aina ya wanawake wanataka ligi na mwanaume, sasa huyu bwana mdogo nae kaileta huku eti mjifunze, wewe unaweza kuwa open open kwa kila kitu mambo yenu na mume wako unayaweka wazi ili upate nini huruma? Watu wenyewe siku hizi wanafiki kufa, huyo dogo kaleta uzi wa kiboya sana
 
Kwani mabubu si wapo mkuu? Tafuta bubu wako ukaishi nae sababu mwanamke kuongea ni asili ila mwanamke kuwa na hekima ni baraka kwa familia.
Utakua unapitia mapito fulani hivi, achana na mambo ya generalization hiyo ni fallacy, hakuna mwalimu wa mahusiano, ila kuwa mwanaume kamili ni rahisi kujua madhaifu ya mwanamke na kuyajenga, sio unakutana na mwanamke analilia mtandaoni kaachika unamtafutia huruma, unajua aliishije na jamaa mpaka hapo walipofikia, wewe pia utakua na tabia za kike kusemasema mambo ya ndoa yako kwa wanaume wenzako nyuzi zako zina halalisha
 
Status yake juu ya nini, acha mambo ya wanawake utakua mwanamke, umemsikiliza ukaingiwa mazima, mtakua mnafanana kitabia, huo upuzi nani aundekeze ndiyo maana kaachika, unatafuta sympath kiboya hivi
Mzee jiheshimu basi, usinifungue turbo asubuhi hii..Tafadhali sana!!!

Huyo mwanamke ana point ambayo iko blank kabisa. Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu lazma ataing'amua ila kama umeamua kuwa mpinzani kaa kwa pattern mzee. Mie ni mtu cool sana ila dkk 0 naeza kuwa wild katika namna ambayo huwezi kuamini. Jiheshimu!
 
Mzee jiheshimu basi, usinifungue turbo asubuhi hii..Tafadhali sana!!!

Huyo mwanamke ana point ambayo iko blank kabisa. Kwa mtu yeyote mwenye akili timamu lazma ataing'amua ila kama umeamua kuwa mpinzani kaa kwa pattern mzee. Mie ni mtu cool sana ila dkk 0 naeza kuwa wild katika namna ambayo huwezi kuamini. Jiheshimu!
Acha kuropoka kama ni mtu cool san, halafu jibu hoja sijataka mipasho,mimi sio lissu nimechangia mada kama member wengine
 
Utakua unapitia mapito fulani hivi, achana na mambo ya generalization hiyo ni fallacy, hakuna mwalimu wa mahusiano, ila kuwa mwanaume kamili ni rahisi kujua madhaifu ya mwanamke na kuyajenga, sio unakutana na mwanamke analilia mtandaoni kaachika unamtafutia huruma, unajua aliishije na jamaa mpaka hapo walipofikia, wewe pia utakua na tabia za kike kusemasema mambo ya ndoa yako kwa wanaume wenzako nyuzo zako zina halalisha
Mie niko Neutral mzee, halafu naona unataka kunletea mazoea ya kichoko wewe. Sihitaji dhambi!!! Pelekesha kipele chako mbele huko mxenge maji kweli ww. Sikuhizi nimesilimu huwa cifiri!
 
Mie niko Neutral mzee, halafu naona unataka kunletea mazoea ya kichoko wewe. Sihitaji dhambi!!! Pelekesha kipele chako mbele huko mxenge maji kweli ww. Sikuhizi nimesilimu huwa cifiri!
Ona sasa ulichoandika umeshajaa upepo, jamba basi, kamropokee mkeo ujinga huo,
 
Ona sasa ulichoandika umeshajaa upepo, jamba basi, kamropokee mkeo ujinga huo,
Utajamba wewe baada ya kupelekewa moto,,,mtoto wa kiume unaleta ushoga asubuhi asubuhi! Katawaze washeli hio kwanza!
 
Back
Top Bottom