Wanawake this is the harsh reality

Wanawake this is the harsh reality

MNhhhh kila mtu aplay part yake, correct,sio jukumu la mwanamke pekee kutii ama kuwa na heshima kwenye uhusiano...

Mahusiano ambayo mwanamke pekee ndio mwenye heshima na utii..hayako healthy..sisi binadamu ni nature kuexchange vitu katika uhusiano, you give respect and you will be given respect...mambo ya kuwa wewe ndio una give tu ...haziko hivyo my dear...

ningependa uelezee jinsi ya kumaliza mambo kiheshima...ila kama mwanamke ndio anatakiwa amalize kiheshima..usinijibu LOL
Kwa jinsi unavyochangia maada ni wazi kuwa una chembe za kiburi na ushindani katika mahusiano.Mungu hakukosea aliposema Wanawake wawatii waume zao Wakolosai 3:18-19

Enyi wake, watiini waume zenu, kwani ndivyo apendavyo Bwana

Kwanini hakusema enyi wanaume watiini wake zenu badala yake anasema wapendeni wake zenu? Hapana hakusema hivyo kwasababu tangu uumbaji Mwanaume yupo juu ya Mwanamke kiutawala na mwanamke hana budi kuwa mtiifu kwa kichwa cha familia.Kila mmoja ana majukumu yake katika ndoa.Lakini kuwa mtiifu ni jukumu la kwanza kwa mwanamke.
 
Tuwe tu honest; Waafrica wanaoziishi ndoa kama zinavyotakiwa ni wachache. Wengi tunaishi tu ni vile tuna watoto basi maisha yaende tuje tufe tupumzike kwa amani. Ndoa sio kitu chema tena kama Mungu alivyotuagiza, umekuwa uwanja wa Mapambano. Yes ndoa yoyote isiyo na amani; will affects the kids badly kuliko separation ya amani. Sio kwamba sisi tunajua sana kuishi kwenye ndoa; huku tunang'ang'aniana tu tukihofia jamii itatuonaje tukiachana; mwisho wa siku tunachomana visu, mara kuchomana na magunia ya mkaa.

Hizo family values hata kwetu waafrica hakuna; angalia single parenting families zinavyozidi kuongezeka kila siku. Sipati picha ikifika 2025 tutakuwa na single parents wangapi. Hivyo hata sisi ni wale wale kasoro rangi
Hamna kizazi kibaya kama kitacho kuzwa na Single parent ni kizazi kilichokosa UPENDO na hakijua nini maana au thamani ya FAMILIA.

Sema kama jamii tumechemka kwenye misingi ya ndoa,kila mtu kambale lkn vitabu vya dini vimefafanua vizuri sana.
 
Back
Top Bottom