Ukiona kuishi katika namna ambayo hutagombana na mumeo huwezi, ama kuwa submissive kwako ni kipengele basi its better ukatae mapema tu siku ya harusi sio unaapa madhabahuni kwamba for better & for worst af unaenda kuleta utoto mjengoni.hahahahahah bora umekuja na statistics...ukielewa kuwa majority ya women ni verbal abusers utaishi nao kwa akili, sijui nani alikuambia kumrudisha mwanamke kundini ni lazima umpige??? nimekupa stratergies pale juu..is either uignore ama ushirikishe wengine na sio kumpiga, anyway ushakua na jirani ambae anampiga mkewe?? je ilitokea mara moja?? au ni swala linalokua repeteadly si ndio???? sasa utamrudisha 'kundini' mara ngapi?
Kimsingi ku qoute wazungu kama role models ikiwa wao ndio wametuletea huu mpasuko sio sawa!Umeanza vizuri hapo mwisho kwenye reference ya wazungu ndio umeharibu, Hawa watu taasisi ya ndoa imewashinda kabisa, wanaweza uhusiano simple tu, sio watu wa kuwatolea mfano, family values kwa wazungu zimeshuka Sana, hawawezi kuishi ndani ya ndoa, hawawezi kulea watoto wao kwa maadili.
Kama unataka kuishi ulaya sawa ni vizuri ukaendelea kuwafanyia reference hao watu, kama unataka kuishi Africa especially Tanzania, just be yourself, angalia vitu kwa uhalisia wake, na tumia busara uliyopewa na Mungu na mambo yataenda vizuri. Family values za ulaya na tofauti kabisa na za sehemu nyingine, iwe Asia or Latin America.
Aende zake ila by the end atajuta tu kama huyo mdada kwenye hio clip! Ipo siku utatamani mwanaume uliemuona wa ninu arudi japo for a second na haitakaa itokee!Mwanamme mpigaji,yuko basi tu untolerant, atakupiga kwa lolote, ukiona mke abuser muache aende zake, kumpiga sio solution, and wanaume wengi wanakua provoked and dont resort into violence...iweje wewe umpige?
barikiwa sana mkuu kwa mchango wako huu ulotukuka, nadhani umemaliza kila kitu hivo ni jukumu letu kuufanyia kazi mchango wako ili tuiponye jamiiFamily values zipo, suala zinafundishwa? Je zinafuatwa. Je tunaishi kwa uhalisia, tunafuata jinsi dini zetu zinavyoamrisha. Je, tunaandaliwa kuishi kama watu wanaoheshimiana? Hili sio katika ndoa tu, angalia tunavyoishi na majirani zetu, makazini, barabarani, je tunaishi sawa?
Kuna tatizo somewhere, hebu mtu aniambie nyumba ambayo mzazi Sasa hivi anawaambia watoto wake kama ukikosea unatakiwa kuomba msamaha, je ukitaka kufanya kitu katika himaya ya mtu, unatakiwa kupata consent yake, je tunawafundisha watoto wetu kuomba radhi.
Mume au mke mzuri anaandaliwa. Binadamu anayejali watu, mwenye huruma anaandaliwa, Haibuki kama upepo tu.
Kuishi maisha ya furaha ni matokeo ya kukubali kuishi katika means zenu. Being real as much as possible, shida inayowacost wengi ni maigizo tu! Unawaza kuishi maisha makubwa kuliko uwezo unazalisha stress zinakuzidia unamuangushia zigo la hasira mwenzi wako.Tuwe tu honest; Waafrica wanaoziishi ndoa kama zinavyotakiwa ni wachache. Wengi tunaishi tu ni vile tuna watoto basi maisha yaende tuje tufe tupumzike kwa amani. Ndoa sio kitu chema tena kama Mungu alivyotuagiza, umekuwa uwanja wa Mapambano. Yes ndoa yoyote isiyo na amani; will affects the kids badly kuliko separation ya amani. Sio kwamba sisi tunajua sana kuishi kwenye ndoa; huku tunang'ang'aniana tu tukihofia jamii itatuonaje tukiachana; mwisho wa siku tunachomana visu, mara kuchomana na magunia ya mkaa.
Hizo family values hata kwetu waafrica hakuna; angalia single parenting families zinavyozidi kuongezeka kila siku. Sipati picha ikifika 2025 tutakuwa na single parents wangapi. Hivyo hata sisi ni wale wale kasoro rangi
We ulipaswa uzaliwe kanda maalum, huku hatupendagi ujinga.
😂Umeongea vyema kabisa; Mungu amempa kila mmoja wetu majukumu yake; sio mwanamke peke yake. Kinachonichosha ni kwamba kila siku ni mwanamke tu ndiye anakumbushwa wajibu wake katika ndoa; je wanaume hawatakiwi kukumbushwa? Ndoa ni ya mwanamke peke yake? Sio kila siku kusikia tu"mwanaume anahutaji hiki, mwanaume anapenda kile"; kwani sisi wanawake hatuna tunavyovihitaji na kupenda tutendewe na waume zetu?
Biblically; Kristo (mume) alijitoa sana hadi kuitoa nafsi yake, na kufanya kila lililowezekana kuhakikisha Kanisa lake (mke) yupo salama. Ila siku hizi kanisa ndiyo linamuhangaika Kristo; Kristo yeye ni kunyoosha tu miguu juu kama paka wa bar. Ndivyo Kristo alivyo-behave na kanisa lake? Mliuona vizuri upendo wa Kristo?
Tangu tukiwa watoto; kila binti atakachokifanya ni kwa ajili ya kumuandaa kuja kuwa mke huko mbeleni; what about our baby boys? Wao hawahitaji ndoa au hawatakiwi kuja kuwa waume bora? My point was; kama tunavyohangaika kumuandaa mtoto wa kike kuja kuwa mke mwema; tuhangaike pia kumuandaa mtoto wa kiume kuja kuwa mume mwema; ndoa ni watu wawili. Tunalea kizazi cha watoto wa kiume ambao watakuja kuwa mizigo kwa wake zao. Huyo binti ukimuandaa peke yake; haitosaidia akipata mume mzigo; itakuwa sio ndoa bali mateso. Na hakuna anayestahili kuteseka.
Sijaangalia hiyo clip wala kurefer ndoa za kizungu. But at least wazungu wametuzidi kwenye suala la kuwa honest; wenzetu akiona hapa hakueleweki akhaa kila mtu anashika 50 zake na maisha yake. Huku wengi tuna ndoa za kinafiki; huku nje Mr &Mrs; huku ndani tunaishi kama wapangaji wa nyumba moja, tukionana ni kupeana misonyo tu. Hiyo nayo ni ndoa ya kuigwa, au hata tunaweza kuiita ndoa in the first place? Huko sio kudumu kwa ndoa; ni kuishi tu siku ziende.
Nijuavyo mimi kupenda ni neno pana sana linakila kitu humo ndani tuma na ya kutolea,nywele zimefumuka ghafla,simu mbovu(ninunulie mpya),Kodi ya nyumba,yani makorokocho ni mengi.😅😅imebidi ni google mkuu kuhusu utii labda nilikua sijui maana yake...
ila imekuja in english ni obedience,sasa hii ni mwanamke tu anatakiwa ku obey??? ...
Kumpenda mke, sio kumsikiliza,kumu obey (kumtii) ..???
View attachment 1609555
Mnhh mwenzako anaona jukumu la kuwa na familia yenye peace and harmony ni la MWANAMKE na kukitokea kitu kidogo yeye ndio alaumiwe na kuwa purnished,NO!! ..ni responsibility yetu SOTE ku create a happy home......
Sijui nini kimeku cost (share if you dont mind) mpaka ukaona wa kuheshimiwa ni wanaume,na kwamba ukimtii mwanaume ndio unakuwa na furaha, trust me you have never experience love and to be loved, kama uko real, kutakua na msuguano na partner wako sometimes, nyinyi sio ndugu, mmekutana watu wazima, kuwa na migongano ni kawaida,,,,,na kuwa na migongano haimaanishi wewe una kiburi,
,,haya mama kuwa submissive wife ni chaguo lako,ila ningependa kukukumbusha you also need to be HEARD, SUPPORTED AND CARED FOR... dont die in a relationship that is emotionally draining..i mean ukichukia,chukia na umemuonyeshe mume wako umechukia,kunyamaza ili kuonekana ukiongea ni mwenye kiburi..ni kujitesa kisaikolojia na pia kama umepata mume abuser most wanatafutaga reason yoyote kukupiga hata kama umeongeza chumvi kidogo...
Na wewe pia una tatizo mahali,ingawa hutaki ku admitt ila kila topic ya kuwaponda wanawake umo, sooo sorry dear you carry emotional scars...pole saaana
Mwali, vipi ulifanikiwa kumaliza ule mchakato??Nakazia
Stupidity at it’s highest level
Hakuna usawa ktk mahusiano. Hizi idea za usawa ndo inawapotezaga. Halafu ukute mtu andika idea za usawa ila mkute kwa mumuwe anavyobehave...very mtiifu za kuambiwa changanya na za mbayuwayu....wadada si kila unalosoma ni la Ku apply...Mnhh mwenzako anaona jukumu la kuwa na familia yenye peace and harmony ni la MWANAMKE na kukitokea kitu kidogo yeye ndio alaumiwe na kuwa purnished,NO!! ..ni responsibility yetu SOTE ku create a happy home......
Sijui nini kimeku cost (share if you dont mind) mpaka ukaona wa kuheshimiwa ni wanaume,na kwamba ukimtii mwanaume ndio unakuwa na furaha, trust me you have never experience love and to be loved, kama uko real, kutakua na msuguano na partner wako sometimes, nyinyi sio ndugu, mmekutana watu wazima, kuwa na migongano ni kawaida,,,,,na kuwa na migongano haimaanishi wewe una kiburi,
,,haya mama kuwa submissive wife ni chaguo lako,ila ningependa kukukumbusha you also need to be HEARD, SUPPORTED AND CARED FOR... dont die in a relationship that is emotionally draining..i mean ukichukia,chukia na umemuonyeshe mume wako umechukia,kunyamaza ili kuonekana ukiongea ni mwenye kiburi..ni kujitesa kisaikolojia na pia kama umepata mume abuser most wanatafutaga reason yoyote kukupiga hata kama umeongeza chumvi kidogo...
Sunday has its specialty
I sometimes call them fools.Kitu cha maana ambacho wanaume tunatakiwa tujifunze ni kwamba sio kila mwanamke anafaa kuwa kwenye mahusiano na mwanaume. Wewe ukishaona mwanamke ambae anapenda ligi kwenye kila kitu ujue huyo sio wife material, kwahiyo kaa nae mbali. Wanawake dizaini hiyo ni pasua kichwa hata ukiwa nae ni tabu tupu.