Wanawake this is the harsh reality

Wanawake this is the harsh reality

Alot has been said multiple times ila imekuwa ni malumbano yasio na mwisho tu. Nimewaletea clip hii japo iwe funzo na muweze kuelewa kuwa nini hasa tunahitaji katika ndoa ili kujenga familia yenye amani na furaha.

Ni life experience ya ndoa na funzo toka kwa mwanamke ambaye aliolewa akaachika sababu ya kuendekeza upumbavu. Kuna la kujifunza before hamjajigeuza ma superwoman.
View attachment 1608998View attachment 1609232
Mama Terry kaa humu kwanza
 
Ohoo
Nimekubali kijana mwenzangu kaanza process za ndoa,mahari tayari tunasogea taratibu
Meanwhile msukuma hajui
With time tutapata suluhisho naamini
Ohhhh....
Basi nikutakie kila la kheri
 
Hakuna usawa ktk mahusiano. Hizi idea za usawa ndo inawapotezaga. Halafu ukute mtu andika idea za usawa ila mkute kwa mumuwe anavyobehave...very mtiifu za kuambiwa changanya na za mbayuwayu....wadada si kila unalosoma ni la Ku apply...

Wanaume wanao komenti hapa JF huwakilisha wa mtaani...tafakari chukua hatua let no one fool you even the feminists
Umeongea point sanaa, hata Mimi nacoment kuwakilisha Hali halisi mtaani jaman 😁, kweli maisha wayajua mwenyewe so za kuambiwa changanya na zako
 
Kibaya ni kwamba wanawake wanaaminishwa kumtii mwanaume ni utumwa lkn hapo hapo mtu anatafuta mwanaume wakumpenda.

Wasijue utii unapoondoka kwenye ndoa basi na mapenzi yameondoka

Halafu mtu anayewadanganya dada zetu kwamba ukiwa na kazi ukawa na maisha yako yakujitegemea huitaji mwanaume anawapoteza sana.

Oneni wanaume matajiri wenye uwezo wa kutembea hata na wanwake million 1 kulala na mwanamke mzuri kweli kweli katika hotel ya kifahari dunia.Mnadhani ni wajinga kuwakuta wameoa?mnadhani huduma zote km za kupikiwa,usafi na ngono watakosa wasipooa???mnaaminishwa mnaweza kuishi wenyewe yaani ukiwa na million 5 bank,vits na kazi mshahara million basi mwanaume ni taka taka .

Mmesahau mnapambana na nature,mmesahau sumaku inavutana na chuma.Ukija kujua kuwa na partner wako maisha ni achievement basi ni too late,unatongozwa na vitoto tena vimekuja kimaslahi.
 
Huko ndo penyeweee especially ukiwa unapendwaaaaaa.
Ujue Kuna kitu hujaelewa wanawake wengi ni submissive mnooo sema wengine wanatake advantage hii kumpiga na kunyanyasa.
Wanawake walioolewa wangeweza kuishi katika kauli za huyo bi mdada kwa 80% kesi za phsyical abuse zingepungua kwa 90% nina hakika.
Upendo ungetawala mno.

Mwanamke anayeishi nje ya hayo yaliozugumzwa maana yake anaishi in denial. Gharama zake ni kuharibu haribu mahusiano kwa kujenga roho ya chuki na visasi. Usipomuheshimu mwanaume una distort psychology yake vibaya mno na kamwe hawezi kaa akupende as you wish. Huwezi mpenda mtu anaekuondolea amani na furaha.
 
Wanawake walioolewa wangeweza kuishi katika kauli za huyo bi mdada kwa 80% kesi za phsyical abuse zingepungua kwa 90% nina hakika.
Upendo ungetawala mno.

Mwanamke anayeishi nje ya hayo yaliozugumzwa maana yake anaishi in denial. Gharama zake ni kuharibu haribu mahusiano kwa kujenga roho ya chuki na visasi. Usipomuheshimu mwanaume una distort psychology yake vibaya mno na kamwe hawezi kaa akupende as you wish. Huwezi mpenda mtu anaekuondolea amani na furaha.
Tunategemeana sanaa, Mara nyingi mke anayependwa kamwe utiii haukomi kwake as kwanza anakupenda. Kwenye madhaifu tuelekezane tu kwa utulivu tuache kutumia nguvu.
Kila mtu akifanya majukumu yake na kuacha ubinafsi aisee tutaishi kwa Raha mnooo.
Tuanze sisi wote hapa kubadilika na tujenge jamii yenye upendo.
 
Tunategemeana sanaa, Mara nyingi mke anayependwa kamwe utiii haukomi kwake as kwanza anakupenda. Kwenye madhaifu tuelekezane tu kwa utulivu tuache kutumia nguvu.
Kila mtu akifanya majukumu yake na kuacha ubinafsi aisee tutaishi kwa Raha mnooo.
Tuanze sisi wote hapa kubadilika na tujenge jamii yenye upendo.
Wanakusikia mama 😂
 
Wanaume kuna kitu hawajui ukishafeli kumvallue mkeo lazma atake haki sawa mume muhuni sioni umuhimu wa kumpa thamani wakati anaishi kibachela ndoani.

Wanaume waliotulia ni mashahidi wanafurahia ndoa zao. Nyie kina baba Jonii na baba Swalehe endeleeni hivyohivyo.
 
Wanaume kuna kitu hawajui ukishafeli kumvallue mkeo lazma atake haki sawa mume muhuni sioni umuhimu wa kumpa thamani wakati anaishi kibachela ndoani.

Wanaume waliotulia ni mashahidi wanafurahia ndoa zao. Nyie kina baba Jonii na baba Swalehe endeleeni hivyohivyo.
Ukiwasikia wanaume hapa wanavyopamban ohh mke asiondoke watoto watateseka ohh walalelewa na single mama, hutaamin ndo hao hao wapo ndoani na wanazaa nje ya ndoa daily. Hao watoto sijui hawawi affected??? Na ndo wakwanza kuhamasisha single maza waliowazalisha wasiolewe
Nakuapia wanaume mkiwa na hofu ya Mungu mba nafasi kubwa Sana ya kuleta Aman na furaha kwa familia
 
Ukiwasikia wanaume hapa wanavyopamban ohh mke asiondoke watoto watateseka ohh walalelewa na single mama, hutaamin ndo hao hao wapo ndoani na wanazaa nje ya ndoa daily. Hao watoto sijui hawawi affected??? Na ndo wakwanza kuhamasisha single maza waliowazalisha wasiolewe
Nakuapia wanaume mkiwa na hofu ya Mungu mba nafasi kubwa Sana ya kuleta Aman na furaha kwa familia
Yaan acha tuu mi kipindi nipo chuo nilipataga unconditional love kwa Baharia mmoja ivi yaan nilipotezaga mbaka rafiki angu kipenzi kisa nampenda mwanaume asiieleweka kumbe masikini nilijua nimepata mwanaume mmoja kati ya saba waliopo duniani kwa wakati ule hata wenye pesa niliwaona machoko tuu.

Ila sasa hizi kunguru nyeusi zinalala mbaka na mahouse gal alafu anataka umpelekee maji ya kuoga bafuni kummke zao. Hawajui kadri unavyocheat na mke anazidi kukuona mbuzi pori.
 
Mwanamke na mwanaume hawapo sawa...japo Ni marafiki wakuubwa Sana..niwatu wakaribu Sana..

Mwanaume Ni Authority na anapambana kwa ajili ya familia..sijui Sasa Unvyotaka amtii mwanamke una maana gani.labda sijakuelewa.
Samahani Dada,hapo unaposema mwanaume unapambana kwa ajili ya familia,Ina maana mwanamke hapambani kwa ajili ya familia?
 
Yani leo ningekuwa nipo vizuri ningekwambia uje makumbusho uchague iPhone unayopenda niilipie fasta. This is how a real woman should be and think 😍 umekuwa positive sana leo.
Ex,acha kumsifia Sana,tunaomba atuelezee kwa kina hapo kwenye mwanaume mpambanaji,je wanaume wasiopambana nao tuwatii au tusiwatii?Kuna familia nyingi breadwinner ni mwanamke je Nani apewe utii hapo?
 
Back
Top Bottom