Wanawake this is the harsh reality

Wanawake this is the harsh reality

Sema na sisi wanaume tusijiweke kwny kinvuli cha uanaume kutesa watoto wa watu natural tu mke ni mvumilivu sana sasa wengine huingiza hata wanawake wengine chumban kwao mbaka mke anapambana na ww ujue umefanya mengi ya kijinga
Wewe ni mbegu ambayo ipo hatarini kupotea duniani..
 
Ukiona tu mwanamke wako anahudhuria sana vi kongamano vya mwanamke na uongozi, sijui anamfwatilia joyce kiria tegemea mabadiliko makubwa sana yanakuja na dharau zinakaribia.
 
Yaan acha tuu mi kipindi nipo chuo nilipataga unconditional love kwa Baharia mmoja ivi yaan nilipotezaga mbaka rafiki angu kipenzi kisa nampenda mwanaume asiieleweka kumbe masikini nilijua nimepata mwanaume mmoja kati ya saba waliopo duniani kwa wakati ule hata wenye pesa niliwaona machoko tuu.

Ila sasa hizi kunguru nyeusi zinalala mbaka na mahouse gal alafu anataka umpelekee maji ya kuoga bafuni kummke zao. Hawajui kadri unavyocheat na mke anazidi kukuona mbuzi pori.
Tunapenda kuwa wema kwenu ila shida mwanamke ukimpa likizo ya stress anakuona zoba at the end 😂😂😂
 
Wanaume kuna kitu hawajui ukishafeli kumvallue mkeo lazma atake haki sawa mume muhuni sioni umuhimu wa kumpa thamani wakati anaishi kibachela ndoani.

Wanaume waliotulia ni mashahidi wanafurahia ndoa zao. Nyie kina baba Jonii na baba Swalehe endeleeni hivyohivyo.
Wanaume waliotulia wanafurahia ndoa zao. We uliskia wapii?!
Hamna wanaume wenye stress kama ambao wameamua ku stick na mwanamke mmoja. Mie ni shahidi na nikikusimulia mapito yangu unaweza ukatamani kumuacha mmeo uje kwangu 😂😂😂.

Yani sijui inakuwagaje but ukitokea umetulia basi lazma patner wako atakuletea uxenge tu. Kiburi dharau kejeli, kufanyiwa comparison na akina flani mara uonekane zoba. Ila eversince nimebadili upepo sahivi ndio napigiwa simu mie kila saa yani nainjoy kuwa baharia. I feel wanted
na kale ka wivu ka kike all the time.
 
Alot has been said multiple times ila imekuwa ni malumbano yasio na mwisho tu. Nimewaletea clip hii japo iwe funzo na muweze kuelewa kuwa nini hasa tunahitaji katika ndoa ili kujenga familia yenye amani na furaha.

Ni life experience ya ndoa na funzo toka kwa mwanamke ambaye aliolewa akaachika sababu ya kuendekeza upumbavu. Kuna la kujifunza before hamjajigeuza ma superwoman.
View attachment 1608998View attachment 1609232
pendomamtefu ishi na hiyo mama
 
Mnhh mwenzako anaona jukumu la kuwa na familia yenye peace and harmony ni la MWANAMKE na kukitokea kitu kidogo yeye ndio alaumiwe na kuwa purnished,NO!! ..ni responsibility yetu SOTE ku create a happy home......

Sijui nini kimeku cost (share if you dont mind) mpaka ukaona wa kuheshimiwa ni wanaume,na kwamba ukimtii mwanaume ndio unakuwa na furaha, trust me you have never experience love and to be loved, kama uko real, kutakua na msuguano na partner wako sometimes, nyinyi sio ndugu, mmekutana watu wazima, kuwa na migongano ni kawaida,,,,,na kuwa na migongano haimaanishi wewe una kiburi,

,,haya mama kuwa submissive wife ni chaguo lako,ila ningependa kukukumbusha you also need to be HEARD, SUPPORTED AND CARED FOR... dont die in a relationship that is emotionally draining..i mean ukichukia,chukia na umemuonyeshe mume wako umechukia,kunyamaza ili kuonekana ukiongea ni mwenye kiburi..ni kujitesa kisaikolojia na pia kama umepata mume abuser most wanatafutaga reason yoyote kukupiga hata kama umeongeza chumvi kidogo...
pole sana kwa yaliyokukuta
 
Ukiona tu mwanamke wako anahudhuria sana vi kongamano vya mwanamke na uongozi, sijui anamfwatilia joyce kiria tegemea mabadiliko makubwa sana yanakuja na dharau zinakaribia.
Ha ha ha doooh
 
I can't even waste my time and data to open that video. Men always like women who say things that support their primitive characters. Yani ukiwavumilia / kuwa support automatically you are a good woman. Most women want men's acceptance so bad they tolerate anything!
"Two alphas can't exist on the same territory".
Caption that
 
Mnhh mwenzako anaona jukumu la kuwa na familia yenye peace and harmony ni la MWANAMKE na kukitokea kitu kidogo yeye ndio alaumiwe na kuwa purnished,NO!! ..ni responsibility yetu SOTE ku create a happy home......

Sijui nini kimeku cost (share if you dont mind) mpaka ukaona wa kuheshimiwa ni wanaume,na kwamba ukimtii mwanaume ndio unakuwa na furaha, trust me you have never experience love and to be loved, kama uko real, kutakua na msuguano na partner wako sometimes, nyinyi sio ndugu, mmekutana watu wazima, kuwa na migongano ni kawaida,,,,,na kuwa na migongano haimaanishi wewe una kiburi,

,,haya mama kuwa submissive wife ni chaguo lako,ila ningependa kukukumbusha you also need to be HEARD, SUPPORTED AND CARED FOR... dont die in a relationship that is emotionally draining..i mean ukichukia,chukia na umemuonyeshe mume wako umechukia,kunyamaza ili kuonekana ukiongea ni mwenye kiburi..ni kujitesa kisaikolojia na pia kama umepata mume abuser most wanatafutaga reason yoyote kukupiga hata kama umeongeza chumvi kidogo...

Mbona kama unajichanganya, maana post yake haijaonesha popote kama amekuwa abussed ila wewe umeonesha hilo kwenye post yako!
Nini kimekupata? Hadi kukuchanganya kiasi hicho?
 
I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.

A women needs a man just as much as a man needs a women.

Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
😘
 
I can't even waste my time and data to open that video. Men always like women who say things that support their primitive characters. Yani ukiwavumilia / kuwa support automatically you are a good woman. Most women want men's acceptance so bad they tolerate anything!
You sound bitter whats the problem...
 
I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.

A women needs a man just as much as a man needs a women.

Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
Mkuu umepata likes 95 soon zinafika 100.

Unajielewa sana.,
 
I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.

A women needs a man just as much as a man needs a women.

Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
Umeongea vyema sana.Ndoto yangu ni kupata mwanamke wa aina hii.Mwanamke mnyenyekevu na mtiifu asiye na kiburi wala dharau
 
Mnhh mwenzako anaona jukumu la kuwa na familia yenye peace and harmony ni la MWANAMKE na kukitokea kitu kidogo yeye ndio alaumiwe na kuwa purnished,NO!! ..ni responsibility yetu SOTE ku create a happy home......

Sijui nini kimeku cost (share if you dont mind) mpaka ukaona wa kuheshimiwa ni wanaume,na kwamba ukimtii mwanaume ndio unakuwa na furaha, trust me you have never experience love and to be loved, kama uko real, kutakua na msuguano na partner wako sometimes, nyinyi sio ndugu, mmekutana watu wazima, kuwa na migongano ni kawaida,,,,,na kuwa na migongano haimaanishi wewe una kiburi,

,,haya mama kuwa submissive wife ni chaguo lako,ila ningependa kukukumbusha you also need to be HEARD, SUPPORTED AND CARED FOR... dont die in a relationship that is emotionally draining..i mean ukichukia,chukia na umemuonyeshe mume wako umechukia,kunyamaza ili kuonekana ukiongea ni mwenye kiburi..ni kujitesa kisaikolojia na pia kama umepata mume abuser most wanatafutaga reason yoyote kukupiga hata kama umeongeza chumvi kidogo...
"Enyi wanawake watiini na kuwaheshimu waume zenu "
 
Back
Top Bottom