Wanawake this is the harsh reality

Wanawake this is the harsh reality

I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.

A women needs a man just as much as a man needs a women.

Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
Anaemiliki huyu mtu aoe haraka , kuna mwanamke hapa
 
Kama hujavuka miaka 45 hujachelewa sana,unaweza kuwa na matumaini kwa mbali.
I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.

A women needs a man just as much as a man needs a women.

Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
 
Sema na sisi wanaume tusijiweke kwny kinvuli cha uanaume kutesa watoto wa watu natural tu mke ni mvumilivu sana sasa wengine huingiza hata wanawake wengine chumban kwao mbaka mke anapambana na ww ujue umefanya mengi ya kijinga
Utakuwa na asili ya upumbavu kama utamuingizia mkeo malaya ndani. Mwanamke ambaye anakupa nafasi ya kutamba kama kidume with full respect.
 
Acha ligi isio na msingi...Mwanaume ukimtii na kumuheshimu automatically atakuthamini na kukupenda kama lulu. Mbona unatumia nguvu sana kujaribu kuleta msuguano baina ya pande mbili. Ukiwa neutral utavunjika popote?

Kitu cha maana ambacho wanaume tunatakiwa tujifunze ni kwamba sio kila mwanamke anafaa kuwa kwenye mahusiano na mwanaume. Wewe ukishaona mwanamke ambae anapenda ligi kwenye kila kitu ujue huyo sio wife material, kwahiyo kaa nae mbali. Wanawake dizaini hiyo ni pasua kichwa hata ukiwa nae ni tabu tupu.
 
Hakuna wanawake wanawake pasua kichwa na wanaokera kama wale wanaotaka kuleta ligi katika mahusiano.
Kuna wanawake wanaamua ku pick up fights ambazo sio za lazima. Kama ukiwa neutral hutavunjika popote kwanini usichague kuwa neutral. Kuleta ligi katika mahusiano hakuleti afya zaidi ya mifarakano. Hili ndio feminist wengi linawagharimu
 
Kitu cha maana ambacho wanaume tunatakiwa tujifunze ni kwamba sio kila mwanamke anafaa kuwa kwenye mahusiano na mwanaume. Wewe ukishaona mwanamke ambae anapenda ligi kwenye kila kitu ujue huyo sio wife material, kwahiyo kaa nae mbali. Wanawake dizaini hiyo ni pasua kichwa hata ukiwa nae ni tabu tupu.
Kweli mkuu ni kujiepusha nao tu.
 
Kibwagizo"" Only Legend;; wataelewa"
FB_IMG_1603426496894.jpg
 
I can't even waste my time and data to open that video. Men always like women who say things that support their primitive characters. Yani ukiwavumilia / kuwa support automatically you are a good woman. Most women want men's acceptance so bad they tolerate anything!
Wewe usiyetaka kuwa mvumilivu kaolewe na ibilisi basi ,LA sivyo utabaki kuwa mdangaji na masela watakichezea hadi kichakae.
 
I've never been married but Kuna Mambo nlifanya yamenicost Sana. Huku kutaka mashindano,kukosa adabu, kuwa na kiburi, kusema hata Mimi na hela I don't need a man Sio Kweli.

A women needs a man just as much as a man needs a women.

Tuwaheshimu kuwajali na kuwatii wanaume...They are precious to us.I love the feeling of having a supportive and loving man beside me.
Kuwa na heshima na utii kwa mwanaume kutakufanya uishi maisha mazuri na yafuraha... trust me.
Wewe wa pwani leo umenifurahisha umeongea point, usishindane na mume, mtaishia kuwa akina Joyce kiria
 
Mnhh mwenzako anaona jukumu la kuwa na familia yenye peace and harmony ni la MWANAMKE na kukitokea kitu kidogo yeye ndio alaumiwe na kuwa purnished,NO!! ..ni responsibility yetu SOTE ku create a happy home......

Sijui nini kimeku cost (share if you dont mind) mpaka ukaona wa kuheshimiwa ni wanaume,na kwamba ukimtii mwanaume ndio unakuwa na furaha, trust me you have never experience love and to be loved, kama uko real, kutakua na msuguano na partner wako sometimes, nyinyi sio ndugu, mmekutana watu wazima, kuwa na migongano ni kawaida,,,,,na kuwa na migongano haimaanishi wewe una kiburi,

,,haya mama kuwa submissive wife ni chaguo lako,ila ningependa kukukumbusha you also need to be HEARD, SUPPORTED AND CARED FOR... dont die in a relationship that is emotionally draining..i mean ukichukia,chukia na umemuonyeshe mume wako umechukia,kunyamaza ili kuonekana ukiongea ni mwenye kiburi..ni kujitesa kisaikolojia na pia kama umepata mume abuser most wanatafutaga reason yoyote kukupiga hata kama umeongeza chumvi kidogo...
Wewe ni feminist kama Joyce kiria huna lolote, harafu inaonekana ni jeuri na unapenda kushindana na wanaume.

Kumbuka huwezi kwenda haja ndogo ukiwa umesimama razima uchutume,

Tulia utajizeekea mwenyewe shauri yako
 
Back
Top Bottom