Am independent woman, everything in my name nimegharamia mwenyewe with my own money. Siombi mtu sitegemei mtu thank God nina uzima afya tele viungo sawia mwilini nafanya kazi napata hela natumia nitakavyo. Na tena ukisema halali najua mipaka ya money laundery sijihusishi nazo.
Ushamfaham Kasinde!!?
We hujaacha uchonganishi tuu, mbona mchochezi hivoo, Ebenezer Junior hajambo??!
Hahahahaaaaaa!!!! That the reality Bro!!! kwa wale mnaosoma btn the lines!!!
Niko salama sana Mkuu... Familia haijambo pia.
Napita tu
Ahahaha mie kimyaaaaaaa.....
Hajambo anamuulizia anti ake kila siku!!!
Haiye awae! Kazi unayo....
Aika simba. Iwa mara mapfungye nae, ngimuambuya tupu chandu aimba iha, kuore kindo kyoose pfo. Naikushela tupu!!! ngekaria ma imbia pfa womo pfo mbe kany. Leka ngieendelee iitukuo tikyi kipfa ngiwonyi wandu wafoi wawonyi kuore kindo kya uloi iha.. Pure tupu mangyi yako.
Mkuu hakuna matata, Nipo na Kasinde tunakula ujana mdogo mdogo!!!!
Wenzako hata wakijing'ata tu wanatamani kuita ambulance!Niko fit mnoo nikikupigia ujue nahitaji ambulance maana sitaweza kuendesha kwa kuumwa
Oohhoooo maumivu ya kichwa huanza polepole
Kweli kabisa maam, lakini kinyume chake ni pale mwanaume anapoingia jikoni kupika,kina dada wanakuchungulia kiudadisi kama unaweza kweli kupika chakula,ukikosea kidogo tu wanakucheka na kuusaidia upishi, Kifupi ngoma ni drooo.hawajui ujanja unashuka kwenye gari tana kama umependeza wewe unafungua boneti unajifanya unaangalia angalia watakuja wanaume tu..... kama ni pancha unachukua jeki unajifanya kuanza kurekebisha aah bwana wakaka wa mjini wanajisogeza pole pole mtoto wa kike huku unatabasamu ..... wanawake wengi hatujui hata kukagua gari ni basi.... kazi ya wanaume hiii sisi ni kuendesha tu
Utamu wa Kasinde anaujua Athumani msumeno mranda mbao, wakati tuko wadogo tulikuwa tunaimba, "Athumani nipasulie mbao aliakwechee kwechee alia kwechee msumeno". Ulikuwa unamaanisha matusi yaaniAthumanianavoranda au kupasua mbao kwa msumeno ndo sawa na jamaa ana msrew Asha
Haya mumie twende mdogo mdogo