Unataka ku jog na Kasie, jiandae J3 saa kumi na moja sharp ukichelewa sikusubiri utanikuta mbele. Hv bado unapaki palepale? Ntakuzukia parking soon.
Habari zenu wapendwa.
Nikiwa njiani leo kuelekea kazini kuna mama mmoja tyroad hand ikaachia tairi ya mbele kulia ikakaa migulu baja.
Nikiwa kwenye foleni mama akawasha hazard na kuchukua kilongalonga probably alikuwa anampigia husband au fundi.
Mbele kidogo nikiwa kwenye hizi barabara za vumbi maana tunapita huko kukwepa foleni njia kuu. Ikapita gari mama mwingine tairi ya mbele kushotoina pancha mama hana habari anakanyaga wese tuu.
Nikajikuta nawaza wanawake wanapenda magari na kuendesha kwa mbwembwe.
Issue inakuja gari ikiharibika inakabidhiwa mwanaume. Ni kudeka au ndo kawaida maana mie gari pancha nabadili mwenyewe, na vitu vidogovidogo.
Au kwakuwa mie sina husband nimejiseti tatizo likitokea ni langu.
Hii inahusu wenye magari mie ngoja nipite kimya kimya
Nabado mdada akikamatwa na trafik utaona anapiga simu kwa mume wake au mpenziwe ili aongee na trafik au aambiwe afanyaje hehehe huwa nacheka sana
Ikifika zamu ya daladala ntakuita
wese ataweka kwa oda ya ofisini kwangu hilo si tatizo...
Same old place darling....waitin for ya call
Nilikuwa kwa akina Khantwe, nikampitia miss neddy wakati narudi... Ntuzu na Mentor shikamooni lakini!!!!
You have an independent woman right there..she even forgets upo anajiita single!!!
Ooops marahaba...salama!??
Nilikuwa kwa akina Khantwe, nikampitia miss neddy wakati narudi... Ntuzu na Mentor shikamooni lakini!!!!
We hujaacha uchonganishi tuu, mbona mchochezi hivoo, Ebenezer Junior hajambo??!
Hahahahaaaaaa!!!! That the reality Bro!!! kwa wale mnaosoma btn the lines!!!
Niko salama sana Mkuu... Familia haijambo pia.