Wanawake na magari

Wanawake na magari

Hahahahahaa huu ukaguzi nomahapo lazima upate spana iliyowima kukaza nuts chezea mbinjuo huo looh!!!

mer.jpg
 
Habari zenu wapendwa.
Nikiwa njiani leo kuelekea kazini kuna mama mmoja tyroad hand ikaachia tairi ya mbele kulia ikakaa migulu baja.

Nikiwa kwenye foleni mama akawasha hazard na kuchukua kilongalonga probably alikuwa anampigia husband au fundi.

Mbele kidogo nikiwa kwenye hizi barabara za vumbi maana tunapita huko kukwepa foleni njia kuu. Ikapita gari mama mwingine tairi ya mbele kushotoina pancha mama hana habari anakanyaga wese tuu.

Nikajikuta nawaza wanawake wanapenda magari na kuendesha kwa mbwembwe.

Issue inakuja gari ikiharibika inakabidhiwa mwanaume. Ni kudeka au ndo kawaida maana mie gari pancha nabadili mwenyewe, na vitu vidogovidogo.

Au kwakuwa mie sina husband nimejiseti tatizo likitokea ni langu.

Hapo Kwenye Red inaitwa Tie rod end. Anyway ulisharudi kutoka US??? au na huko kuna vumbi kama hapo kwenye blue?? Usinitupie mawe Kasinde
 
Last edited by a moderator:
Mie nina baiskeli nitachangia nini kuhusu magari any way ngoja nisubiri labda wenye baiskeli watakuja na mada zao ili nasi tupate kuchangia mawazo yetu panapotuhusu
 
Nabado mdada akikamatwa na trafik utaona anapiga simu kwa mume wake au mpenziwe ili aongee na trafik au aambiwe afanyaje hehehe huwa nacheka sana

Trafiki unamwangalia huku unatabasamu unamwambia me yani sikujua kama ni kosa unafikiri acha .... eeeh kwa hiyo tufanyaje sasa ukishamwingiza yeye anajifanya anakutrain unamwambia bye bye kesho ukipita unamsalimia shikamoo kaka trafiki siku imepita rafiko tayar huyo
 
Hahahahaaaaaa!!!! That the reality Bro!!! kwa wale mnaosoma btn the lines!!!

Niko salama sana Mkuu... Familia haijambo pia.
You have an independent woman right there..she even forgets upo anajiita single!!!

Ooops marahaba...salama!??
 
We hujaacha uchonganishi tuu, mbona mchochezi hivoo, Ebenezer Junior hajambo??!
You have an independent woman right there..she even forgets upo anajiita single!!!

Ooops marahaba...salama!??
 
Eehhh Doctor mahabat, ukipita kwenye huu uzi vua miwani usione maandishi, halafu weka zile za kupimia kifua huku unasikiliza mapigo masikioni kifaa chenyewe sjui kinaitwa nini...scope hikohiko weka masikioni kwako kisha sikiliza mapigo yangu ya moyo huku mie nakukuna kichwani kama vile nahesabu mvi zako looh, usimsikilize Mentor

Hahahahaaaaaa!!!! That the reality Bro!!! kwa wale mnaosoma btn the lines!!!

Niko salama sana Mkuu... Familia haijambo pia.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom