Mie ni muoga kweli tena muoga fisi, I wont call ubana si unajua simu ntapita pale kwa muuza matunda nikiwa natembea nikifika Ohio naanza kukimbia thats Kasie. I know u r agood old friend. But dont welcome Mentor, ameshaniharibia hapa nina bifu nae...
Halafu ujue good friends wanatafutana hata wakipotezana hawanuniani wakijakutana tena urafiki unaendelea
Hahaha...huyo Mentor wajuana naye mwenyewe na hapo juu kakuchongea teh teh!!!
Basi nipe jukumu la kukutafuta kama hutaki nitafuta, yule jamaa wa matunda huwa hategi mingo kila siku pale bana...
Hahhahaha. ...tulisubiria hilo 'liharia' jukwaa la picha...lol
Tupite wote..na mim hayanihusu