Wanawake na magari

Wanawake na magari

Habari zenu wapendwa.
Nikiwa njiani leo kuelekea kazini kuna mama mmoja tyroad hand ikaachia tairi ya mbele kulia ikakaa migulu baja.

Nikiwa kwenye foleni mama akawasha hazard na kuchukua kilongalonga probably alikuwa anampigia husband au fundi.

Mbele kidogo nikiwa kwenye hizi barabara za vumbi maana tunapita huko kukwepa foleni njia kuu. Ikapita gari mama mwingine tairi ya mbele kushotoina pancha mama hana habari anakanyaga wese tuu.

Nikajikuta nawaza wanawake wanapenda magari na kuendesha kwa mbwembwe.

Issue inakuja gari ikiharibika inakabidhiwa mwanaume. Ni kudeka au ndo kawaida maana mie gari pancha nabadili mwenyewe, na vitu vidogovidogo.

Au kwakuwa mie sina husband nimejiseti tatizo likitokea ni langu.

mhm. kuna uwezekano mkubwa kuwa wee ng'ong'ozo.
 
Nabado mdada akikamatwa na trafik utaona anapiga simu kwa mume wake au mpenziwe ili aongee na trafik au aambiwe afanyaje hehehe huwa nacheka sana

hawajui ujanja unashuka kwenye gari tana kama umependeza wewe unafungua boneti unajifanya unaangalia angalia watakuja wanaume tu..... kama ni pancha unachukua jeki unajifanya kuanza kurekebisha aah bwana wakaka wa mjini wanajisogeza pole pole mtoto wa kike huku unatabasamu ..... wanawake wengi hatujui hata kukagua gari ni basi.... kazi ya wanaume hiii sisi ni kuendesha tu
 
Yaani wewe ume summarise nilichokuwa namaanisha. Asante sana kwa mchango wako, pamoja sana mpe hi 5 wife wako.
Ni kweli wanawake wengi hawana utaratibu hata wa kuangalia maji asubuhi, upepo, oil etc sababu ya kudekezwa au kutofahamu tu.

Mimi mke wangu nilishamfundisha hizo mambo maana ana experience ya kutosha kwa majanga.

Asubuhi atafungua bonet(kama nikiwa nimeondoka tayari) ataangalia maji na oil(ingawa si kila siku) pia anajua kilometa za next service so anaangalia mara kwa mara kwenye dashboard kama zimefika.

Juzi juzi alitaka kutoka akakuta pancha. Wala hakunipigia alichofanya alitoa spea tire na jeki na kila kitu akaset namna ya kubadili tairi ndio akaomba msaada wa kuzungusha jeki huku akishiriki kufungua nati.

Nashauri tuwashirikishe wake zetu sio tu kwenye magari hata kwenye vitu vingine vidogo vidogo ambavyo havihitaji nguvu sana.

Kiukweli wanapenda kudekezwa ila wakiona majanga yake wanakuwa makini.
 
Utamu wa Kasinde anaujua Athumani msumeno mranda mbao, wakati tuko wadogo tulikuwa tunaimba, "Athumani nipasulie mbao aliakwechee kwechee alia kwechee msumeno". Ulikuwa unamaanisha matusi yaaniAthumanianavoranda au kupasua mbao kwa msumeno ndo sawa na jamaa ana msrew Asha
Kasinde utakua kitandani mtamu sana ikiwa kama tyre tu unabadirsha wewe mwenyewe!!
kwa kukujibu tu ni mindset wangu wanawake wengi si unajua ni legelege so vitu vya mechanics kwao inakua ngumu kumeza
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Umenikumbusha wakati nasoma driving school somo la riverse ilikuwa mtihani ila now days naweza rudi nyuma kwa kuendesha barabara yote ile ya samora niko fit God knows.
Wengi wao wanafahamu kuendesha kwenda mbele tu, shughuli huwa shughulini wakitakiwa kurudi kinyume nyume sehemu finyu au hata kwenye msongamano kama Mijini. Mmmmhhh tunaona mengi
 
Nilishawahi kulala kwenye gari as kitanda ila ilikuwa msibani enzi hizo nilipata mateka tukajimuvuzisha kwenye noah all night long...
Wewe yako ilikuwajee

Ww umewahi kugeuza gari kitanda?
 
vpi umerudi lini kutoka kwa Obama au unaongele ukiwa uko
Jamani mbona siku nyingi tuu kuna uzi ulikuwa unasema narudi kwetuu nyumbanii. Saa hizi nshaanza kuzichanga kwa ajili ya likizo mwakani full kutalii
 
Nilishawahi kulala kwenye gari as kitanda ila ilikuwa msibani enzi hizo nilipata mateka tukajimuvuzisha kwenye noah all night long...
Wewe yako ilikuwajee

Mm hata kesho nkikupata ww lazima cku 1 tulaze viti kwny gari
 
Nna hobby sana na simu yaani hivi naisubiria iphone 6 itoke niikamate, gari si kivile hivo ni hayahaya niliyonayo 2 siongezi labda yachoke niuze au nigawe ndo ninunue jingine. Dogodogo la mjini haapa kazini na sokoni na ndinga au grand la safari za nje ya mji na week ends au mitoko ya harusi.

Fundi atafanya service ya gari, atabadili spair iliyoharibika hivo kazi hatakosa hizi ndogo ndogo namaliza mwenyewe.

Unataka ku jog na Kasie, jiandae J3 saa kumi na moja sharp ukichelewa sikusubiri utanikuta mbele. Hv bado unapaki palepale? Ntakuzukia parking soon.

Hahah mi nimekupa pongezi tu bana ila nilijua hili ni gari la pili umenunua si lile la makrashi...



Mkifanya nyie kila kitu mafundi watakula wapi?



We mara kibao nimekwambia twende wote jogging lakini wanikimbia...

If u serious utanitafuta mwenyewe...
 
Yaani tyta hujakosea na huwa sipotezi muda fasta naingia chomboni naendelea na safari. Hiyo picha ni nearly Kasinde

lmi.jpg
 
Back
Top Bottom