Kasinde kwanza nimefurahi kujua kwamba huna mume..... pili.........Habari zenu wapendwa.
Nikiwa njiani leo kuelekea kazini kuna mama mmoja tyroad hand ikaachia tairi ya mbele kulia ikakaa migulu baja.
Nikiwa kwenye foleni mama akawasha hazard na kuchukua kilongalonga probably alikuwa anampigia husband au fundi.
Mbele kidogo nikiwa kwenye hizi barabara za vumbi maana tunapita huko kukwepa foleni njia kuu. Ikapita gari mama mwingine tairi ya mbele kushotoina pancha mama hana habari anakanyaga wese tuu.
Nikajikuta nawaza wanawake wanapenda magari na kuendesha kwa mbwembwe.
Issue inakuja gari ikiharibika inakabidhiwa mwanaume. Ni kudeka au ndo kawaida maana mie gari pancha nabadili mwenyewe, na vitu vidogovidogo.
Au kwakuwa mie sina husband nimejiseti tatizo likitokea ni langu.
Braza braza!!!!!!! Tafadhali heshimu makubaliano yetu.
Nimeyaheshimu na kuyazingatia...shaka ondoa braza!!!
Nimeyaheshimu na kuyazingatia...shaka ondoa braza!!!
ujue kuna wanaotafuta kupongezwa kwa kupongeza hawapati we unashangaa...............!! haya siku njema
Pale TRA...nataka ushuhudie mijiprosesi yote ya usajili na kadi uchuku kabisa
pili................ nina gari
tatu.................... najihudumia mwenyewe
nne............ malizia
Poa basi unitumie gari mida ya saa 4 nitakuwa nimeishamaliza kujiandaa