Wanawake na magari

Wanawake na magari

Mkuu Kasinde
Hata wazazi nyumbani wanawagawanya watoto kwa vizawadi kutokana na jinsia. Mimi nina pacha wangu yeye ni KE, tulivyokua wadogo baba akileta zawadi basi mimi naletewa toy ya kigari na yeye analetewa kimdoli.

Hii inaonyesha dhahiri wadada na magari hasa kutengeneza sio mambo yao, wachache wanafanya.

well said
 
hawajui ujanja unashuka kwenye gari tana kama umependeza wewe unafungua boneti unajifanya unaangalia angalia watakuja wanaume tu..... kama ni pancha unachukua jeki unajifanya kuanza kurekebisha aah bwana wakaka wa mjini wanajisogeza pole pole mtoto wa kike huku unatabasamu ..... wanawake wengi hatujui hata kukagua gari ni basi.... kazi ya wanaume hiii sisi ni kuendesha tu
 
hawajui ujanja unashuka kwenye gari tana kama umependeza wewe unafungua boneti unajifanya unaangalia angalia watakuja wanaume tu..... kama ni pancha unachukua jeki unajifanya kuanza kurekebisha aah bwana wakaka wa mjini wanajisogeza pole pole mtoto wa kike huku unatabasamu ..... wanawake wengi hatujui hata kukagua gari ni basi.... kazi ya wanaume hiii sisi ni kuendesha tu
Hahahaa ntakupeleka VETA my dear upigwe msasa...Sitaki hao vijana wasije wakakuchepua lol!
 
Habari zenu wapendwa.
Nikiwa njiani leo kuelekea kazini kuna mama mmoja tyroad hand ikaachia tairi ya mbele kulia ikakaa migulu baja.

Nikiwa kwenye foleni mama akawasha hazard na kuchukua kilongalonga probably alikuwa anampigia husband au fundi.

Mbele kidogo nikiwa kwenye hizi barabara za vumbi maana tunapita huko kukwepa foleni njia kuu. Ikapita gari mama mwingine tairi ya mbele kushotoina pancha mama hana habari anakanyaga wese tuu.

Nikajikuta nawaza wanawake wanapenda magari na kuendesha kwa mbwembwe.

Issue inakuja gari ikiharibika inakabidhiwa mwanaume. Ni kudeka au ndo kawaida maana mie gari pancha nabadili mwenyewe, na vitu vidogovidogo.

Au kwakuwa mie sina husband nimejiseti tatizo likitokea ni langu.

Ni kweli wanawake wengi hawana utaratibu hata wa kuangalia maji asubuhi, upepo, oil etc sababu ya kudekezwa au kutofahamu tu.

Mimi mke wangu nilishamfundisha hizo mambo maana ana experience ya kutosha kwa majanga.

Asubuhi atafungua bonet(kama nikiwa nimeondoka tayari) ataangalia maji na oil(ingawa si kila siku) pia anajua kilometa za next service so anaangalia mara kwa mara kwenye dashboard kama zimefika.

Juzi juzi alitaka kutoka akakuta pancha. Wala hakunipigia alichofanya alitoa spea tire na jeki na kila kitu akaset namna ya kubadili tairi ndio akaomba msaada wa kuzungusha jeki huku akishiriki kufungua nati.

Nashauri tuwashirikishe wake zetu sio tu kwenye magari hata kwenye vitu vingine vidogo vidogo ambavyo havihitaji nguvu sana.

Kiukweli wanapenda kudekezwa ila wakiona majanga yake wanakuwa makini.
 
Sion ajabu kw mwanamke kushindwa kurekebisha gari...ni wangapi makwao wanamagari na hawawezi hata kufungua milango?so mambo haya ni kuwa na ujuzi na kujifunza tu sio kulaumiana na kushangaana.
 
Kasinde utakua kitandani mtamu sana ikiwa kama tyre tu unabadirsha wewe mwenyewe!!
kwa kukujibu tu ni mindset wangu wanawake wengi si unajua ni legelege so vitu vya mechanics kwao inakua ngumu kumeza
 
Last edited by a moderator:
hawajui ujanja unashuka kwenye gari tana kama umependeza wewe unafungua boneti unajifanya unaangalia angalia watakuja wanaume tu..... kama ni pancha unachukua jeki unajifanya kuanza kurekebisha aah bwana wakaka wa mjini wanajisogeza pole pole mtoto wa kike huku unatabasamu ..... wanawake wengi hatujui hata kukagua gari ni basi.... kazi ya wanaume hiii sisi ni kuendesha tu

Jamaa linakusaidia bila malipo, na ili kujifanya mstaarabu zaidi ht hakuombi number, huku moyoni anaumia balaa kwa kukutamani....
 
Mkuu bora umeongea wewe maana hawa vijana wa kisasa wana dharau sana
hivi kwa nini mnapenda kuwadharau na kuwadhalilisha mama zenu. Thank god mama angu anafanya zaidi ya hayo.
 
Back
Top Bottom