Wanawake kutoka Tanzania ni wazuri zaidi ya nchi kadhaa zinazosifika kwa ukubwa hapa Africa

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Sep 1, 2021
2,157
10,718
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Namshukuru Mungu kiukweli nimepata fursa ya kutembelea nchi kadhaa hapa Barani Africa ikiwemo Ethiopia, Rwanda, Kenya, Uganda, Southafrica, Morocco, Madagascar, Seychelles, Nigeria, Congo RDC, Zambia, Malawi, Mozambique, Burundi, Central Africa Republican (Hapa nilienda kuangalia fursa ya Vyakula).

Hizo ndizo nchi nilizotembelea,kiukweli ninazo passport kama Tatu,Passport 2 ni kipindi kabla hazijaja hizi za kielekrotonic lakini 1 ndo ninayo hadi leo hiyo ya Kielectronic!.

Nina simulizi nyingi mno zinahohusu maisha yangu lakini sitakagi kusimulia kwasababu naonaga kama napoteza muda kwenye kundi la vijana wapumbavu waliopitwa na wakati!.

Turudi kwenye mada!

Kiukweli Pamoja na kutembea kote huko lakini naweza kusema wanawake wa Tanzania wamezidiwa Uzuri (Siyo Urembo) na wanawake wa mataifa yafuatayo:-

1.Morroco
2.Ethiopia
3.Rwanda

Hayo ndiyo mataifa yaliyowazidi wanawake wetu wa hapa Tanzania kwa Uzuri (Siyo Urembo) ,nacho zungumzia hapa ni uzuri wa Asili (Natural Beauty) siyo uzuri wa kujipamba (Urembo,ikiwemo make up na shedo).

Kwa Afrika Mashariki Tanzania Tunazidiwa na Rwanda Pekee!.

Nilienda Uganda nikapata mwanamke mmoja anafanya kazi kwenye taasisi ya mikopo,kiukweli she was so beautiful lakini bado hakufika levo za editha wangu wa pale Shinyanga!.

Wanawake wengi wa Uganda wana mamiguu manene kama wana Matende!.

Mimi na binti wa Yoweri Kaguta Museveni aitwaye Natasha Museveni tumewahi kuwa marafiki hadi akawa ananisaidia doll$ za kulipa kodi!,Je mnataka kufahamu sababu za mimi na yeye urafiki kufa?,Endeleeni kusubiri muda si mrefu nitaweka hapa simulizi itakayo elezea hayo yote!

Ila Maxence Melo jitahidi uweke kitufe cha kulipia kwasababu nakosa pesa!,Ina maana hii simulizi nitaitoa bure walahi hapa JF 😭!

OK!,iko hivi Tanzania kuna wanawake Wazuri mno,ninawathibitishia hili kwasababu ninaona mwenyewe kwa macho yangu (Nitasema ukweli daima, fitina kwangu mwiko)

Nchi ya Nigeria wakati naenda wanawake wote walikuwa wanafanana na wanaume,walikuwa wamekomaa na misuli kibao!.

Kiukweli niliogopa kuchakata mbususu Nigeria kwasababu ya mionekano yao.

Huwa nashangaa sana watu kutoka Tanzania Bara kusema eti Nigeria kuna wanawake wazuri!,Hivi mmewahi kudate na wanawake wa Nigerians?

Kama kuna taifa linaongoza kwa wanawake wabaya barani Africa bila shaka ni Nigeria & Congo RDC!.

Mwanamke mzuri (Uzuri wa Asili) anaonekana hata akivaa gunia,ndiyo maana nawaambia Tanzania ni habari nyingine ukiyatoa hayo mataifa matatu niliyoyataja hapo juu!

Mimi nimekaa na Nigeians na naelewa na walinifundisha namna ya kuwa Tapeli,nimewahi kutapeli nikafanikiwa kujipatia $ 7800/=,Aiseeee ni hatari sana ndugu zangu!.

Kifua kinabana sana kuhusu hizi simulizi,nashindwa kusimulia kwasababu ya sera mbovu hapa JF,sitaondoka na chochote zaidi ya Umaarufu tu!

Uganda nilichakata Mbususu kama 3 tofauti,kiukweli wamejaaliwa mambo na maji ya kutosha lakini si wazuri kama watanzania.

Rwanda nimechakata mbususu zaidi ya 7 hivi na kila moja ilikuwa na muonekano wake,kiukweli wanyarwanda ni wazuri kitandani ukilinganisha na wabongo,hata uzuri pia wametupiga fimbo vibaya!.

Nitarudi tena Rwanda, mamaaaeeeee!

Huko Ethiopia nilichakata pisi 2 lakini hadi sasa nashindwa kuelewa kiukweli kama waliumbwa au walishushwa!.

SI Unit ya wanawake wote wazuri Duniani (Bila shaka) basi ni ETHIOPIA!

Kama kuna mhali Mungu alipoteza Muda Mwingi kwenye uumbaji basi nadhani kilichosababisha ni hao wanawake kutoka uhabeshini (Ethiopia). Wanawake wazuri,watamu na unaona fahari kutoka naye nje!.

Naamini nitarudi tena Ethiopia lakini sidhani kama itakuwa hivi karibuni!

Morocco kiukweli sikufanikiwa kula demu kule kwasababu za kidini na ubaguzi ila kuna wanawake wazuri mno!.

Kwenye Kalenda yangu ya Malengo,Morocco ni nchi ambayo mwakani ninapaswa kuitembelea!.

Naamini nitachakata mbususu iwe isiwe,l!,Nitaleta mrejesho hapa!

Mjumbe auwawi

Ni hayo tu!
 
Hii nchi wanawake wao wamebarikiwa protein za kutosha huko kweny gluteus muscles.
Kwa simulizi nilizopitia hapa JF, inasemekana wanejazia sana makalio kama ambavyo wanyamwezi wa Tabora wanavyosifiwa.Mwakani nikiwa hai kiuchumi na kimwili,nitajitahidi niende Tabora,miaka ya mbeleni nikiwa hai kiuchumi zaidi,nitaenda Afrika kusini nikadhuhudie pia.
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!

Namshukuru Mungu kiukweli nimepata fursa ya kutembelea nchi kadhaa hapa Barani Africa ikiwemo Ethiopia, Rwanda, Kenya, Uganda, Southafrica, Morocco, Madagascar, Seychelles, Nigeria, Congo RDC, Zambia, Malawi, Mozambique, Burundi, Central Africa Republican (Hapa nilienda kuangalia fursa ya Vyakula).

Hizo ndizo nchi nilizotembelea,kiukweli ninazo passport kama Tatu,Passport 2 ni kipindi kabla hazijaja hizi za kielekrotonic lakini 1 ndo ninayo hadi leo hiyo ya Kielectronic!.

Nina simulizi nyingi mno zinahohusu maisha yangu lakini sitakagi kusimulia kwasababu naonaga kama napoteza muda kwenye kundi la vijana wapumbavu waliopitwa na wakati!.

Turudi kwenye mada!

Kiukweli Pamoja na kutembea kote huko lakini naweza kusema wanawake wa Tanzania wamezidiwa Uzuri (Siyo Urembo) na wanawake wa mataifa yafuatayo:-

1.Morroco
2.Ethipoia
3.Rwanda

Hayo ndiyo mataifa yaliyowazidi wanawake wetu wa hapa Tanzania kwa Uzuri (Siyo Urembo) ,nacho zungumzia hapa ni uzuri wa Asili (Natural Beauty) siyo uzuri wa kujipamba (Urembo,ikiwemo make up na shedo).

Kwa Afrika Mashariki Tanzania Tunazidiwa na Rwanda Pekee!.

Nilienda Uganda nikapata mwanamke mmoja anafanya kazi kwenye taasisi ya mikopo,kiukweli she was so beautiful lakini bado hakufika levo za editha wangu wa pale Shinyanga!.

Wanawake wengi wa Uganda wana mamiguu manene kama wana Matende!.

Mimi na binti wa Yoweri Kaguta Museveni aitwaye Natasha Museveni tumewahi kuwa marafiki hadi akawa ananisaidia doll$ za kulipa kodi!,Je mnataka kufahamu sababu za mimi na yeye urafiki kufa?,Endeleeni kusubiri muda si mrefu nitaweka hapa simulizi itakayo elezea hayo yote!

Ila Maxence Melo jitahidi uweke kitufe cha kulipia kwasababu nakosa pesa!,Ina maana hii simulizi nitaitoa bure walahi hapa JF 😭!

OK!,iko hivi Tanzania kuna wanawake Wazuri mno,ninawathibitishia hili kwasababu ninaona mwenyewe kwa macho yangu (Nitasema ukweli daima, fitina kwangu mwiko)

Nchi ya Nigeria wakati naenda wanawake wote walikuwa wanafanana na wanaume,walikuwa wamekomaa na misuli kibao!.

Kiukweli niliogopa kuchakata mbususu Nigeria kwasababu ya mionekano yao.

Huwa nashangaa sana watu kutoka Tanzania Bara kusema eti Nigeria kuna wanawake wazuri!,Hivi mmewahi kudate na wanawake wa Nigerians?

Acheni matajiri wamwage pesa kwa wasanii wa muziki wa bongo fleva kwasababu huko kwenye Uigizaji hakuna cha maana zaidi ya utapeli!.

Mimi nimekaa na Nigeians na naelewa na walinifundisha namna ya kuwa Tapeli,nimewahi kutapeli nikafanikiwa kujipatia $ 7800/=,Aiseeee ni hatari sana ndugu zangu!.

Kifua kinabana sana kuhusu hizi simulizi,nashindwa kusimulia kwasababu ya sera mbovu hapa JF,sitaondoka na chochote zaidi ya Umaarufu tu!



Uganda nilichakata Mbususu kama 3 tofauti,kiukweli wamejaaliwa mambo na maji ya kutosha lakini si wazuri kama watanzania.

Rwanda nimechakata mbususu zaidi ya 7 hivi na kila moja ilikuwa na muonekano wake,kiukweli wanyarwanda ni wazuri kitandani ukilinganisha na wabongo,hata uzuri pia wametupiga fimbo vibaya!.

Nitarudi tena Rwanda, mamaaaeeeee!

Huko Ethiopia nilichakata pisi 2 lakini hadi sasa nashindwa kuelewa kiukweli!.

Kama kuna mhali Mungu alipoteza Muda Mwingi kwenye uumbaji basi nadhani kilichosababisha ni hao wanawake kutoka uhabeshini (Ethiopia). Wanawake wazuri,watamu na unaona fahari kutoka naye nje!.

Naamini nitarudi tena Ethiopia lakini sidhani kama itakuwa hivi karibuni!

Morocco kiukweli sikufanikiwa kula demu kule kwasababu za kidini na ubaguzi ila kuna wanawake wazuri mno!.

Kwenye Kalenda yangu ya Malengo,Morocco ni nchi ambayo mwakani ninapaswa kuitembelea!.

Naamini nitachakata mbususu iwe isiwe,l!,Nitamwaga noticed!

Ni hayo tu!
Nimeishia ulipotaja Shinyanga
 
Back
Top Bottom