ChangamkeniNitaghafirika bure nionekane wa jalalani... Bora nikae kimya




ChangamkeniNitaghafirika bure nionekane wa jalalani... Bora nikae kimya




Kama umezaa naye itabidi umzoee tu na kuendelea naye.I see!
Huyu namvumilia tu maana namalizia ujenzi wa nyumba yangu niachane nae maana sidhani if i can spend the rest of my life with someone like this. Nitamchoka mapema sana.
Unataka kusemaje partner in crime?
Huyu ni deal taker.... Angekuwa loyal to him yote hayo is just a peanut as long as they're well equipped on other angle.Hatimaye umetoa sababu ya kutaka kumuacha. Maana previous thread ulizunguka mbuyu haswaa..
Poleee. Mchangamshe wewe kama vipi. Au inawezekana humpendi tuu hata kwa kujilazimisha.
Hahahaha we jamaa ni noooomaaaa mbona umetukana sanaaaUlya lakana na kite ekyi kya nkutano ro mae!!!
Duuuh mnataka nini bibie? Do you think there is a perfectionism somewhere?

relax no one is perfect my friend How did you come up on superstition weighing? Are you victim? And how did you sum up that all are on such way?Ni wakimya jamani A)hawako romantic B)wanwaza hela C) ni wachukuliaji nyota na washirikina wanapenda sana kanisa hawakosi ili wapunguze dhambi.
Sio wanyimi niwatunzaji ila sio wote hwajui mambo ila kaa ujue wanapenda biriani sana ndio maana asilimia nyingi wameoa wazungu.
Nawaogopaga sana kudate now baada yakuwajua tabia zao.
Sielewi huwa mnatakaga nini wanawake, huwa nachukizwa sana kuona kwenye jamii kuna mwanamke anawapotosha wenzake, jifunze kutoka kwangu ni hivi ukiona Mwanaume akijali familia yako, anatoa hela za matumizi anakujali wewe na ndugu zako hayo ndiyo mambo ya msingi sana kwenye mahusiano yoyote, ...jambo la kutokukufikisha kileleni ni mambo mnaweza kujadili na mkafundishana pasipo kumuumiza hisia za mume wako,mambo ya kutokua romantic pia mnafundishana kwa upendo sio kujifanya unayajua mapenzi sana...,sasa ukisema utafute mchumba mwingine kila mchumba atakua na mapungufu yake huoni unaanza kuwa na kaumalaya utatembea na wangapi, unaweza mpata aliekua romantic lakini hana hela hakuna mkamilifu siku ya mwisho utakua unatangatanga tuHabari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all
Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Unataka washinde nyumbani wamwagilie bustani au wakusongee ugali?Hakuna alielalamika wala kung'ang'ana
Namueleza mtoa mada hali halisi ya wachaga
Jeuri yenu ndo hio ni kushinda baa kwa wingi
Kando ya hapo wako bize na pesa
Kabisaa kabisaaa
Lyekana na shite shi nae










Tatizo anajichanganya sana huyu mwanamama, hajui analosimamia ni lipi maana katika maisha ya sasa you choose between the 2:tatizo unataka mapenzi ya tamthiliya na kuskia kw watu.. ukitaka enjoy hayo tafuta vijana wa kazikaz dar Marioo..
Huwa unakuwa biased tatizoThank you. Ila siku zote huwa naongea ukweli.![]()
Usiwaangalie wenzio kwa short sighted (myopia) sasa kama unaamini no one is perfect.. And BTW your flooded just stay on your lane.relax no one is perfect my friend
Haya maisha jipende wewe kwanza inatosha
Back then when my cup was half ndio nilikuwa natoa story yangu hio
Now my cup is full and overflowing,yani nina mapenzi ya kutosha kujipenda mimi na kumpa mwenzangu bila kumdai
Nazidi kuelemika kwa michango yako kuntu na nazidi kuuelewa unguli wako....Unataka kusemaje partner in crime?
Hatuwezi kuchangamkia add-onsChangamkeni![]()
Sio kwa mchaga tu sahivi jamii imechafukwa, hamna mambo ya kizamani. Vipaumbele ni aidha mtu anataka pesa au mapenzi na si kwa wachaga tu. Wanaume wote wana exercise hii notion.Kadri siku zinavyosogea wachaga tunazidi kuchukiwa ::: aise
Mchaga Sheria Kwetu
Kimoja Kinatosha