Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Mambo mabaya hutokea kwa watu wema sometimes, na haimaanishi haupaswi kuwa mwema. Yupo atakae appreciate.
Ndio maana huyu nataka nimuache ili ampate atakaeendana nae.
Dada jaribu kujibu kwa busara kama ulivyojibu hapa, nmesoma comments zako zote majibu yako ni ya hovyo mno jaribu kubalance majibu yako kuna watu wanachangia vzuri kwa ustaarabu lakini unavyojibu kwa dharau/kejeli yani kama vita vile..

Nb: To every general rule there is an exception.
 
Probably huyu atakuwa mmarangu.. ndo wanapenda vitu hiv... kule kibosho au rombo au machame wanapenda mwanaume awe rough... yaan uwe mmbabeee ...
Me nadate manka mmoja ila nilichogundua nyinyi mabinti wa kichaga mnapenda sana mtu aliye romantic sana, hata km ana kibamia ila mwanaume akiwa romantic binti wa kichaga anapenda sana, na pia binti wa kichaga anapenda kuchezewa.....vzr hadi aive, then wakati ngoma inaingia usiingize yote piga juu pale binti wa kichaga anaenjoy sana. Kabila langu ni .....................otea ila cyo mchaga
 
Huyu ni wapili sasa, nikapiga story na mashosti walowahi kudate wachaga story is still the same. Nyie wenyewe mmethibitisha kwenye uzi huu kuwa mmechangamka kwenye utafutaji tu sio upande wa pili.

My sis unachopitia ni ukweli,Mimi nilipiga goti nikaomba Mungu sitaki tena mchaga maana ilikuwa ni serial dating ya chagas ilikuwa inatokea tu
Wakaka wazuri kwelikweli aisee hatarii lakini mambo mengine kidogo wanapwaya
Labda huyu mchaga mmoja wa old moshi alikaa nje kwa muda huyu alikuwa na uzungu uzungu wa kuletewa maua,visuprise,outings,kubebewa handbag etc lakini bado alikuwa na uchaga
Mchaga ni mchaga ila nawasifu wanajali familia zao
 
Mama!
Makabila yapo 120+.
Tafuta size yako.
Ukipenda zege kavu, au zege rojo la kutatuka, nini juu yako.
Kama specifically umeshagundua Wachagga kwako ni tatizo, tafuta kabila la size yako.
Kama hatujui mapenzi, imekuwaje Mkoa wa Kilimanjaro ukajaa watu?
Na bado nchi nzima wachagga tumeenea
Wachagga hatufanyi uma
Ulya lakana na kite ekyi kya nkutano ro mae!!!
 
Baharia kachokwa kweli kweli, maana anavyosemwa! Si mchezo.

Namuonea huruma baharia anayekumiliki na atakayekumiliki.
 
Unajua ili useme chakula hiki ni kibaya ni lazima umeshawahi kula chakula kitamu. Hauwezi kusema chakula ni kibaya huku haujui kitamu kipoje.
Hauwezi kusema mwanaume huyu amepooza, au hajui mapenzi kama haujawahi kuwa kwenye mahusiano na watu kadhaa ukaona utofauti.

Wanaoweza ni kwa sababu wanaume wao hao hao ndiyo waliowafundisha mapenzi yaani wameanza nao na wanaendelea nao. Huwa hawaonji nje ili kufananisha kama ladha ni tofauti au lah ndiyo maana tunaweza.

Wasio weza ni wale ambao wameshaonja ladha mbali mbali. Ni sawa na mtu anasema mtu ana kibamia, hawezi kusema hivyo kama hajawahi kukutana na kubwa. Lakini tungekuwa tunatulia kwenye mahusiano haya mambo ya kufananisha fananisha na kugundua kasoro za mwenzako yasingekuwepo.
Nifungulie milango ya pepo yako basi ; Tuje f tufaidi ayo maakili yako pamoja
 
Asili yako ni umalaya kiufupi sijakuelew eti hajachangamka sioni sababu hapo yakuachana labda kama mahitaji yako wewe kwa sasa nikutafuta njemba nyingine
 
Wewe mleta mada unatakiwa ujisajili xxx videos, Nadhani ndio fani yako
 
Ungetuma picha yako tukuone basi, inawezekana umechuja.ila trust me,humu ndani utapata wateja
 
Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all😤😤

Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
ww mwenyewe inaelekea kitandani una lalaga kama gogo yy ana poteza hisia, ila nahisi unataka ale 0714 lakini mchaga hawezi kula ni watu wa dini sana. Ushauri achana nae ukaolewe na Piere liquid au Dudu baya au baba dimond (dudu la yuyu)
 
Back
Top Bottom