Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Sielewi huwa mnatakaga nini wanawake, huwa nachukizwa sana kuona kwenye jamii kuna mwanamke anawapotosha wenzake, jifunze kutoka kwangu ni hivi ukiona Mwanaume akijali familia yako, anatoa hela za matumizi anakujali wewe na ndugu zako hayo ndiyo mambo ya msingi sana kwenye mahusiano yoyote, ...jambo la kutokukufikisha kileleni ni mambo mnaweza kujadili na mkafundishana pasipo kumuumiza hisia za mume wako,mambo ya kutokua romantic pia mnafundishana kwa upendo sio kujifanya unayajua mapenzi sana...,sasa ukisema utafute mchumba mwingine kila mchumba atakua na mapungufu yake huoni unaanza kuwa na kaumalaya utatembea na wangapi, unaweza mpata aliekua romantic lakini hana hela hakuna mkamilifu siku ya mwisho utakua unatangatanga tu
Mwache akajifunze, hao ndio wanawake ambao hawana priorities in life. Angekuwa nazo angestick na mtu mmoja ambae anaeleweka tu very early, anaonekana mtu wa kujaribu jaribu mahusiano.
 
Mwache akajifunze, hao ndio wanawake ambao hawana priorities in life. Angekuwa nazo angestick na mtu mmoja ambae anaeleweka tu very early, anaonekana mtu wa kujaribu jaribu mahusiano.
Tatizo ameshaonja kila kona unategemeaje mtu kama huyu kufarahia au kulizika na mahusiano yake...wanawake wajuaji huwa wana tabu sana...na siku ya mwisho upoteza kila kitu
 
I see!
Huyu namvumilia tu maana namalizia ujenzi wa nyumba yangu niachane nae maana sidhani if i can spend the rest of my life with someone like this. Nitamchoka mapema sana.
Hapa ndipo point ilipo, ushamchuna hadi nyumba anamalizia kujenga ndo unamuona hayupo romantic..
Aisee nyie viumbe sijui munataka nini haya chukua na roho yake basi uridhike mama angu... 😢
 
Tatizo ameshaonja kila kona unategemeaje mtu kama huyu kufarahia au kulizika na mahusiano yake...wanawake wajuaji huwa wana tabu sana...na siku ya mwisho upoteza kila kitu
No doubt bro...nimeshuhudia wengi
 
Back
Top Bottom