Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Fix hizo, mabaharia tushaelewa kali!
Wewe si ndiye unayelalamika,muache basi kwanini unamng'ang'ania huku unamsema pembeni?? Eti mpaka umalize ujenzi,wakati hatoi hata senti ya ujenzi....unasubiri nini sasa??
 
Embu muulize mchepuko wake ni nini hufanya ku-spice mambo na meku wako.

Naonaga wanasema laiti Simba nae angeongea hizi simulizi za wawindaji mahiri zingehaririwa upya.
 
Wewe si ndiye unayelalamika,muache basi kwanini unamng'ang'ania huku unamsema pembeni?? Eti mpaka umalize ujenzi,wakati hatoi hata senti ya ujenzi....unasubiri nini sasa??
Well i dont need to explain my self to you. Just do you.
 
Yaani hapa kuwa romantic nafikiri vinazungumziwa vitu mbali mbali

Kumbeba beba ukiwa unampeleka bafuni

Hug za nguvu unapopata nafasi

Maneno matamu ikiwepo sifa sifa kibao

Vizawadi zawadi vya hapa na pale, outing mbili tatu katika mwezi

Love languages muhimu sana

Nb; Tanzania ya viwanda
 
Sijui swali la mtoa mada linataka nini.
Uchangamvu wa mtu hauhusiani na kabila.
Wachagga tunajua mapenzi, ila hatuabudu na kusujudia wanawake.
Mapenzi na kiwango yanatofautiana kulingana na mahitaji ya mtu.
Mfano, Muhaya na Msambaa akiolewa na Mchagga, kuna uwezekano mkubwa wa malalamiko kutokea.
Sababu ni kwamba, Muhaya na Msambaa sana mahitaji makubwa kingono yaani bila kutiwa mara mbili kwa Siku hawatosheki.
Ila Mchagga akiwa na Mchagga mwenzake watashibana kwa sababu wanawake wa Kichagga siyo watu wapenda ngono sana na hawana mahitaji makubwa ya ngono.
Ni hivi, siyo lazima uolewe na Mchagga, kama unapenda sana ngono olewa na makabila kama Wahaya, Waha, Wangoni, Wasambaa, Warangi na wengineo.
Wachagga tunasex ila sex na ngono siyo kipaumbele.
Mapenzi yanaletwa na utulivu wa kiuchumi.
Kama unapenda sana ngono kupita kiasi, na kama unataka mwanaume wa kukuabudu achana na mahusiano na Mchagga maana hatupendi vishoia shobo hadi kwa majirani.
Ha ha ha eti Vishoia..
 
Halafu majibu yenyewe ya kitoto sana, kwa umri wako ungetafuta tu mwanaume wa kukuoa, si kutafuta soko kama hivi mtandaoni tena JF bora ungeenda huko facebook.
Kwa majibu yako ya kitoto, najua jinsi utakavyojibu
Vipi huko facebook ushauza sana eeh hadi unalijua soko lake? Naona sasa umeamua kuuza jf, kwa majibu yako ya kichoko najua tu utajibu nini.
 
Embu muulize mchepuko wake ni nini hufanya ku-spice mambo na meku wako.
Naonaga wanasema laiti Simba nae angeongea hizi simulizi za wawindaji mahiri zingehaririwa upya.
Huyu kama ana mchepuko basi kazi ipo, natamani hata nimjue ili nipatiepo sababu.
 
Ubaya ni kuwa licha ya kufanya yote unaweza ukaonekana kolo tu
Yaani hapa kuwa romantic nafikiri vinazungumziwa vitu mbali mbali

Kumbeba beba ukiwa unampeleka bafuni

Hug za nguvu unapopata nafasi

Maneno matamu ikiwepo sifa sifa kibao

Vizawadi zawadi vya hapa na pale, outing mbili tatu katika mwezi

Love languages muhimu sana

Nb; Tanzania ya viwanda
 
Yaani hapa kuwa romantic nafikiri vinazungumziwa vitu mbali mbali
Kumbeba beba ukiwa unampeleka bafuni
Hug za nguvu unapopata nafasi
Maneno matamu ikiwepo sifa sifa kibao
Vizawadi zawadi vya hapa na pale, outing mbili tatu katika mwezi
Love languages muhimu sana
Nb; Tanzania ya viwanda
Well viwanda tunajenga na mapenzi yanachukua nafasi yake.
 
Kasema nyumba yake, kwani ni lazima awe anajengewa yeye hana huo uwezo?
Wako brain washed hao, wanafikiri kila mwanamke lazima afanyiwe kila kitu na mwanaume. Nyumba kitu gani mbona mambo madogo tu hayo. Kama wao wanaweza why sisi tusiweze?
 
Back
Top Bottom