Wanaume wa kichaga

Wanaume wa kichaga

Bila shaka wenye kabila lao wamekupopoa vyakutosha😊🤭🤭!!
 
Habari wadau wa MMU.
Hivi kuna mtu aliwahi kudate mwanaume wa kichaga akapata its fun being with them?
Niko na huyu mwanaume 2years+ ila amepooza haswaaa, nothing about him is fun. Natafuta tu namana ya kumtoka maana sienjoy kuwa nae.
Kabla yake niliwahi pia kuwa na mwanaume mmoja wa Old Moshi, it was the same. They are not romantic,viburi na hata hawanogi kuwa nao yaani. Hawajachangamka kuanzia sebuleni hadi chumbani wamepooza "kweri kweri".
Nyie mloolewa au mnaodate hawa watu mnawezaje maana mie naona its not my cup of coffee at all.
Kwenye utafutaji kweli wanajitahidi, ila huu upande mwingine wanafanya maisha yanakuwa magumu kweli. Huyu wangu kuna wakati namuangaliaaa hata simmalizi, yes he is handsome ila thats all

Kuulizia ulizia hapa na pale story zikawa ni hizo hizo tu.
Akina Manka sijui wanayawezaje haya.
Wewe ndo umepooza mimi ni mchaga na napendwa na mademu wananisifiaga balaa kwa moto naopeleka japo nimeoa basi sijakuambia mashangazi niliyoyapelekea moto hadi wengine wananihonga na kuning'ang'ania ili niwatafune
 
C54B3304-0045-4E83-9721-C9269DED8A1C.jpeg
 
Mnavyojisingizia kutafuta pesa sasa wakati wengine hamna hata mia.
Tatizo lako huna muonekano kiufupi humfai huyo jamaa ndo maana hata anaona hakuna haja ya kuwa romantic kwako au kukupa show show infact wewe sio fungu lake ktk mahaba
 
Hizo sehemu ziliwekwa mahususi kwa kupata uzao,hayo mengine tafuta hata mbwa anaeeza $&@$&?type
 
Back
Top Bottom