Nakupa like Mkuu hamna MTU hapo![]()
We malizia vyovyote tu if it wiil make you sleep well at night.Si umesema unajua kutafuta wewe au?
sasa si uachane nae nyumba yako utamalizia mwenyewe?
inaonyesha mama ulikuwepom kwa ajili ya mkwanja na hapo ndo shida inaanzia
kwa ufupi inabidi tu ni-CONCLUDE kwamba wewe ni MALAYA muuza papuchi
Nisamehe kwa conclusion yangu.
Kwahiyo kisingizio chenu ni kuwaza pesa? Kama muda wote mwawaza pesa si mzitafute then mbaki wenyewe? Ya nini kutafuta mapenzi ambayo mmeprove hamyawezi wala hamna muda nayo?Tafuta msambaa au makonde hao ndio wamechangamka kila saa wanawaza ngono sio pesa kama Wachagga
We malizia vyovyote tu if it wiil make you sleep well at night.
Namalizia ujenzi wa kwangu then nihamie kwangu. Na hajachangia hata msumari kwenye ujenzi wa nyumba yangu.
Sijui swali la mtoa mada linataka nini.Aikambee njoo uwatetee wenzako
Huyu ni wapili sasa, nikapiga story na mashosti walowahi kudate wachaga story is still the same. Nyie wenyewe mmethibitisha kwenye uzi huu kuwa mmechangamka kwenye utafutaji tu sio upande wa pili.Shida IPO hapa, amekuganda sana, labda na kitandani kama kapooza kweli, ila sio wote tupo hivyo, we're plenty, you cant generalize like that
Mama!Kwahiyo kisingizio chenu ni kuwaza pesa? Kama muda wote mwawaza pesa si mzitafute then mbaki wenyewe? Ya nini kutafuta mapenzi ambayo mmeprove hamyawezi wala hamna muda nayo?
Nimeelezea kutokuchangamka kwake, hayo mengine ni yako mkuu.yaani hajachanga mka kivipi? ukute jamaa ni gentlemen na nice guy wanawake huwa hawawapendi wanaume wa namna hii...njia ya nzuri ya kuwa na mwanamke act, be rough, **** her good, give her money she will be your slave
Kabisaa kabisaaaSijui swali la mtoa mada linataka nini.
Uchangamvu wa mtu hauhusiani na kabila.
Wachagga tunajua mapenzi, ila hatuabudu na kusujudia wanawake.
Mapenzi na kiwango yanatofautiana kulingana na mahitaji ya mtu.
Mfano, Muhaya na Msambaa akiolewa na Mchagga, kuna uwezekano mkubwa wa malalamiko kutokea.
Sababu ni kwamba, Muhaya na Msambaa sana mahitaji makubwa kingono yaani bila kutiwa mara mbili kwa Siku hawatosheki.
Ila Mchagga akiwa na Mchagga mwenzake watashibana kwa sababu wanawake wa Kichagga siyo watu wapenda ngono sana na hawana mahitaji makubwa ya ngono.
Ni hivi, siyo lazima uolewe na Mchagga, kama unapenda sana ngono olewa na makabila kama Wahaya, Waha, Wangoni, Wasambaa, Warangi na wengineo.
Wachagga tunasex ila sex na ngono siyo kipaumbele.
Mapenzi yanaletwa na utulivu wa kiuchumi.
Kama unapenda sana ngono kupita kiasi, na kama unataka mwanaume wa kukuabudu achana na mahusiano na Mchagga maana hatupendi vishoia shobo hadi kwa majirani.