Wanaume wa kichaga hawajui mapenzi

Wanaume wa kichaga hawajui mapenzi

Nenda kaedit fasta kabla marehemu babu yangu hajaisoma hii posti yako...... hapa bandani napoishi nimeotesha "isale" kabisa ili nisije nikabatizwa kabila jipya.... BTW pole kwa msiba wa mpiganaji wetu.... bado kama namuona vile. kila wakati nachkua simu nikitaka nimpigie ili nione kama ataitika lakini nasita.....

Acha tu kusema kiongozi, kifo si jambo geni lakini kila kikitokea hakizoeleki!!

Tumuenzi kwa kufanya yale aliyokuwa akiyapigania na kutekeleza, nadhani hilo tu ndilo tulilobaki nalo.
 
to me their my favorite
maisha sio ngono tu,kuna starehe nyingi
ngono inaaply kwa % chache
kuna starehe nyingi,kunywa mvinyo,kuwatch movie,kuchatchat nk
so kwangu mimi sijali kungonoka
i love u chagas

Mwambie guyo asiye jua na kama ni ngono jampata anayejua practz vzur mwambie arudie na mchaga mwngine kama ajakimbia!
 
Kiasili wenyewe hawamind kwa viile. X mas hadi X mas ndo walikuwa wakirudi mlimani kusababisha. Wanachokijua ndo ichoicho. Koni kujua ni kufanyaje.
 
Kuna kabila wakiamka asubui wanavaa msuli wanakaa barazani kutwa nzima. Ukimtaka unamwita tu anashughulika. Naona hao watakufaa dada.
 
ilikuwa "wanawake wa kichaga wazuri kwa sura na hawajui Mapenzi",
zoezi limegeuka! naona sana ni wanaume wa kichaga! jamani hizi topic kuhusu wachaga hapa JF zimekuwa nyingi mno!
inaboa sasa!


UKabaila au ukabila unaanza JF Chonde chonde wajameni
 
Wao wanajua kutafuta hela na kiukweli hela wanazo lakini kwenye mapenzi ni 0, hata kutongoza wengi wao hawajui wanajua kuhonga tu, na wanawake wanawakubali sababu wanapewa matumizi yakutosha ila wengi wa wake zao au magirl friend zao wana wanaume wapembeni wa kuwaridhisha kimapenzi. USIBISHE FANYA UTAFITI

Umeshalala na Wachaga wangapi na wasio Wachaga wangapi? Hii itatusaidia kujua kama hitimisho lako ni sawa ama la!
 
Umeshalala na Wachaga wangapi na wasio Wachaga wangapi? Hii itatusaidia kujua kama hitimisho lako ni sawa ama la!
Unaweza kuta bado, ni stereotype tu.

Anashindwa kutueleza ni utafiti gani aliufanya.

Siyo kila demu katembea na mchagga and vice versa, sasa sisi tutajuwa vipi kama hayumo miongoni mwa hao ambao hawajawahi lala na mchagga?

Ndo hapo, at least angeleta takwimu flani ie wachagga 50 wameni nanihii, na kati yao 30 hawajui mapenzi etc etc...ingesaidia kidogo.
 
Wao wanajua kutafuta hela na kiukweli hela wanazo lakini kwenye mapenzi ni 0, hata kutongoza wengi wao hawajui wanajua kuhonga tu, na wanawake wanawakubali sababu wanapewa matumizi yakutosha ila wengi wa wake zao au magirl friend zao wana wanaume wapembeni wa kuwaridhisha kimapenzi. USIBISHE FANYA UTAFITI

kwa hiyo hapa unawazungumzia mpaka wale wachaga wanaume maarufu katika politics za chama fulani cha kaskazini mwa nchi?
 
nimeishiwa na nguvu za kuchangia mpaka hapo.
huyu binti anadhalilisha wanaume wa kichagga huyu.huo utafiti wake atualeze kaufanyia wapi?
 
hureee mis you babu.umeona eeeh
Wajameni tusiipe neno mapenzi kumaanisha kutiana tu wala kusuguana wala kupiga katerero!!!!!!!Jaribu kuangalia kamusi na dictionary uone maana ya neno SEX/LOVE ina maana nyingi jamaniUnaweza kumuonyesha mwenzi wako mpz kwa namna nyingi kwa mawazo, kazi, zawadi, caring, fun games,cretivity, na mengine mengiPia sio hobby za watu ni tofauti mfano kutiana, kunywa pombe,michezo,jokking,story etcSo guys WIDEN UP YOUR BRAIN!
 
eheeee napita tu.nini wachaga kila siku mnawaongelea wao tu watu wenyewe full kufilisika sasa hivi hawana chao tena.tumechoka na story za wachaga bana.
 
Wao wanajua kutafuta hela na kiukweli hela wanazo lakini kwenye mapenzi ni 0, hata kutongoza wengi wao hawajui wanajua kuhonga tu, na wanawake wanawakubali sababu wanapewa matumizi yakutosha ila wengi wa wake zao au magirl friend zao wana wanaume wapembeni wa kuwaridhisha kimapenzi. USIBISHE FANYA UTAFITI

X Girlfriend,
ulifanya utafiti kwa wanaume wangapi?
Huo utafiti ulikua unafanyaje??
Sijui nisemeje,
ila kama Mmarangu wangu sio mchaga sitapingana na utafiti wako.
 
Aje ajibu hoja kuhusu hiyo risechi yake alikoifanyia.. Ni vyuoni,vijijini,ama Moshi sehemu gani,ama alikuwa changudoa,kazi iliyoifanya makusudically for research zake,atujuze...
I am a Chagga too,though si muumini wa kuhesabiwa mwisho wa mwaka..
 
Naona bwana wako wa kichaga keshakutema unakuja kumalizia hasira zako humu pole sana
 
Back
Top Bottom